MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,180
Hakuna cha kubembelezana hapo.. Huo ni uroho tu.Haaa haa haaa we kiboko ungenifanyia mimi hivo siku hiyo hiyo ndo ingekuwa bye bye!...see mi na tabia hii lakini sio kama namdokolea lahasha! Jus show love to him, kuwa tuko pamoja! We inaonekana hujui hata kubembeleza/ kubembelezwa utakimbiwa coz wanawake wanapenda kudeka sana shauri yako!