Cheaters: The Series

Episode 14.

Zahra.

Hello good people.
Kama ambavyo nahisi mtakua mnajua ndugu wasomaji, mimi Zahra nlifunga ndoa. Lakini kabla na baada ya ndoa yangu na Rama, mambo mengi sana yalitokea, mazuri na mabaya. Ili tupate mtiririko mzuri wa hayo yaliyotokea kabla na baada ya ndoa yangu, naomba tuende kama ifuatavyo.

-----Takribani mwezi mmoja kabla ya ndoa----

Binadamu yeyote yule kaumbwa na tamaa. Na kimsingi tamaa ni moja kati ya vitu vilivyosababisha sisi binadamu kama viumbe, tufike katika kiwango hiki cha maendeleo na ustaarabu. Na mimi kama binadamu wengine, ninamatamanio kadhaa katika maisha yangu. Lakini tamanio moja ambalo linawaka katika moyo wangu ni siku moja kupata nafasi ya kufanya mapenzi na Ras. Najua tamaa hizi zilikaribia kuvunja undugu na heshima tuliyoijenga kati yetu, lakini kiukweli nimeshindwa kabisa kuitoa hii picha kwenye akili yangu. Nimejaribu kila niwezalo niweze kulishinda hili ila nimekwama. Kinachozuia kuzifanyia kazi hisia zangu ni heshima niliyonayo kwake. Pamoja na kua ni mwanamme ninayempenda, Ras ni kama kaka yangu, na sitafanya chochote kitakacho vunja hii heshima niliyonayo kwake. So the only option iliyobaki ni kusubiria, huenda siku moja atagundua, mwanamke pekee anayempenda kwa dhati, is only one knock-on-a-door away from him.

Yaliyoandikwa hapo juu ni maneno yangu niliyokuwa nimeyaandika kwenye diary yangu siku ya leo. Ndoa yangu tumepanga iwe wiki ya mwisho ya mwezi ujao. Nikikumbuka hili, najikuta nakosa raha na sometimes natokwa machozi. Naolewa kwa kuwa Ras kama kaka yangu ameniomba sana niolewe. Kwamba itawafanya wazazi wangu huko waliko wafurahi. Lakini kilichonifanya hadi nikubali kuolewa ni Ras mwenyewe aliposema kati ya vitu ambavyo vitamfanya ajisikie vizuri ni kama mm nikiolewa. Ningekataaje kwa mfano. I just had to say yes.

Asubuhi ya leo, kama ilivyokua jana mvua kubwa inanyesha, lakini pia, kama ilivyokua jana, Ras and Da’ Zoya asubuhi ya leo were having sex. Na kama ilivyokua jana, asubuhi ya leo nlikua nasikia kelele za Da’ Zoya kuonesha mechi inayopigwa huko ndani sio mchezo. Lakini asubuhi ya leo kimeongezeka kingine, pamoja na kusikia tu mechi yao, nimeishuhudia live walau kwa dakika chache.

Sijui Ras alikua kalewa bangi, maana ile mi natoka kwenda washroom, naona mlango wa kutokea nje kupitia jikoni uko wazi. Nlipousogelea ndo nawaona wanakatikiana kwenye mvua, dah. Nlijisikia aibu lakini iliyochanganyika na ham ya hatari. Nikawaacha waendelee na yao, mm kama kawaida nikarudi room kujipa raha mwenyewe. I wish Rama ambaye ni mume wangu mtarajiwa atakua ananila vizuri kama Ras anavyowala madem zake. Maana sio Zoya wala Shubi, wote huwehuka wakiwa chumbani kwa Ras.

Ingawa siku ya leo ilianza vizuri kwa Ras, ila sijui nini kilitokea kati yake na Da’ Zoya. Maana baada ya kumsindikiza airport, Ras alivyorudi alikua hana raha kabisa. Baada ya kuona chakula nlichompikia hakichangamkii kama kawaida yake nikimpikia pilau, ilibidi nikae pembeni yake nimuulize kwa upole kama kuna kitu kinamsumbua.
“we acha tu mdogo wangu, mapenzi haya sina bahati nayo” ndo lilikua jibu lake.
“Ila Da’ Zoya anakupenda shem, na inaonekana unampenda pia, so whats the problem?”
Ras akatulia kwa muda bila kujibu. Akaniangalia kwa sekunde kadhaa, kisha akajiegemeza vizuri kwenye sofa alilokalia. “Zoya ndo anaenda kuolewa, muda wote huu nlikua nafikiri nikimuonesha namna gani nampenda atamuacha huyo mchumba wake, ila inaonekana kachagua pesa Zaidi ya mapenzi ya kweli”.

Of course, nlikua najua Da’ Zoya anamchumba, tena wa miaka mingi tu. Na nlikua najua mchumba wake kicheche tu maana alishanitaka hata mm. so siku zote nliamini kwa namna nnavyo mfaham Zoya, hawezi kubali kuolewa na yule bwana ake. So kusikia Zoya kaamua kufunga ndoa na yule bazazi, hata mm nlikua shocked. Nlifikiria niseme nini ili nimpooze machungu Ras, but sikua na maneno ya kumwambia. Nlichofanya kwa kuwa nlikua karibu yake nikauchukua mkono wake mmoja nikaushika kwa mikono yote miwili juu ya miguu yangu. Ingawa kiuhalisia kwa hali aliyonayo alistahili kupata hug, ila ujasiri wa kumhug Ras sikua nao.

“looks like ntaishi alone for the rest of my life”, Ras aliendelea kuongea huku akitoa tabasamu. Tabasamu ambalo nlijua limebeba maumivu na sio furaha. Nlimhurumia, ingawa yy hakua ananiangalia, ila muda wote tunaongea macho yangu hayakubanduka usoni kwake. “Usiseme hivyo Shem, I will always be here for you”, nlivyomwambia haya, Ras akanigeukia na kunipa jicho lile la kama kuniambia ‘you are just saying that to make me feel good’. Nlichofanya nikaukamata vizuri Zaidi mkono wake, “I am not joking Ras, unajua wazi naolewa just because wewe ulipenda iwe hivyo, niko radhi kuahirisha yote so that I take care of you”.

Ras, alitabasam Zaidi aliposikia hivi. Akanikaribia Zaidi na kunizungushia mikono yake mabegani kwangu, “Usijali Zahra, I will be okay. Get married and be happy with your own family”. Maneno yake yakaniuma. Nikaanza kutokwa machozi kimyakimya. Sikutaka anione nikilia, so nikamkamata vizuri ili kidevu changu kiegemee mabega yake. “okay”, nikamjibu kwa kujikaza. Ras akaanza kunishika nywele kama ananibembeleza hivi. Nikajikuta nasahau majonzi yangu na yake. Nikaanza kupata shida katikati ya mapaja. Nikatambua kabisa kwa nyege nlizonazo juu yake, nikiendelea kukaa hapa ntamvunjia heshima. Nikajibandua mwilini mwake nikasepa room.

Nikiwa chumbani nikachukua diary na kuongezea matukio ya siku ya leo. Na namna alivyonifanya nefeel alivyonishika nywele. Ndugu msomaji usijedhani labla nina hobbie sana ya kuandika diary kila siku. Hii ni moja kati ya strategy nlizoamua kuzitumia ili kumfikishia Ras ujumbe. Ilikua kila nikitoka hapa home hii diary naiacha juu ya kitanda, nikitumaini kuwa Ras akiingia atatamani kujua kulichomo na huenda akaamua kunipa nnachotaka. Strategy nyingine ya kumnasa Ras nliipata baada ya kuangalia movie moja hivi ya wakorea. Kupitia hiyo movie nilitambua kuwa mwanaume ambaye ameku friend-zone au ameku ndugu-zone, ataanza kukupa attention pale tu utakapoanza kuwa karibu na mwanaume mwingine. So nikapanga namna ya kuwa karibu na mmoja wa guys ambaye alikua ananifuatilia kitambo.

---------Mwaka mmoja kabla ya ndoa---------.

Rama alianzaga kunifukuzia kitambo sana. Since tuko chuo. Yeye alikua ni mfanyakazi katika idaya ya uhasibu kwenye chuo nlichokua nasoma. Nakumbuka first time mimi kumuona ilikua kwenye foleni ya kupeleka risiti za malipo ya ada ili nipewe kitambulisho cha kufanyia mtihani. That day nlikua niko period, na maumivu yake ndo yalikua yamepamba moto. Kwa kuwa ndo ilikua siku ya mwisho, watu walikua kibao na nisingeweza kutoka kwenye line so ilinibidi niwe navumilia tu maumivu huku line ikisonga taratibu mno.

Kuna muda nlisikia bonge moja la pain, nikawa nimejishika tumbo huku nimefumba macho na kukunja sura, ile nafungua macho nakutana na macho ya Rama ameniangalia. Kipindi hicho sikua namfaham, ila alikua kavaa kitambulisho kuonesha ni staff. Rama akanioneshea ishara kuwa nimfate. Akaniongoza hadi ndani ya ofisi zao, akatoa maelekezo nisaidiwe maana naonekana naumwa, then akaniacha pale. Sikumuona tena that day, ila baada ya siku mbili nikakutana nae getini. Nikamsalimia fresh akaitikia. Nlipotaka kuendelea na mishe zangu, akanistopisha, tena nakumbuka nlikua na Shubi that day. niliposimama kumsikiliza, akaniomba namba ya simu, wakati nasita kutoa, Shubi akaitaja kwa sauti namba yangu, ndo mawasiliano na Rama yalipoanzia.

Sikutakaga kabisa kumpa hata matumaini, so nlikua nampa makavu kabisa kuwa asahau kuwa na mm kila aliponitamkia nia yake ya kufunga ndoa na mimi. Ila Rama hakukata tamaa kabisa. Mpaka namaliza chuo akawa bado ananiomba nimfikirie na kuwa hana nia mbaya na anachotaka ni kuanzisha familia na mm. Ndo wazo la kuwa na mtu ili nimrushe roho Ras likanijia. Walikuepo wanaume wengi wanaonitaka, ila mtu pekee ambaye ningeweza kuwa nae na nikampa masharti ya kutoniomba game mpaka tutakapooana na akakubali ni Rama peke yake.

So nikaanza kuwa nampa attention Rama. Akinipigia napokea, tena nahakikisha naenda kuongea nae sebuleni na kujichekesha chekesha mbele ya Ras ili ajue upande wa pili kuna lijamaa linalegezewa sauti. Siku nyingine namwambia anifuate home, na kabla hajaja nitajipamba vya kutosha, marashi kama yote yani. Ras akiuliza namwambia natoka out na Rama, bt ntawahi kurudi. Ras akawa anaitikia tu sawa. Ikafika kipindi baada ya miezi kadhaa, nikaona Ras kama hajali, tena ndo kwanza ananisifu kwa kupata a good man. Na to make matters worse awa ananishauri nimwambie Rama aanze mchakato wa kuhalalisha mahusiano, yaani ndoa. Dah. Plan ikawa inanitokea puani.

Nlipoona Ras habadili hisia zake kwangu, ikabidi hii project niipige chini. Ila ndo Rama akawa kashakolea juu yangu. Nlimuonea huruma ila sikua na namna nyingine Zaidi ya kumwambia tupigane chini. Baada ya kuona juhudi zake za kunirudisha zinagonga mwamba ndo ikabidi aongee na Ras. Ras kanikalisha chini na kunishawishi niwe na Rama. Eti anamfahamu ni kijana katulia sana, na mambo mengine mengi hasa kuhusu yeye mwenyewe atakavyo jisikia nikiolewa na Rama. Uchumba ukaanza rasmi mimi na Rama. Ilikua ngumu mno, mno, mno kuuambia moyo wangu ukubali matokeo. Na ndo tangu kipindi hicho nikawa naandika diary, ili walau siku moja Ras akiisoma aone kila nlichoamua kufanya is to make him happy.

---------Siku mbili kabla ya ndoa----------

Kadri siku zilivyokua zinasogea ndivyo hali yangu ilivyokua inazorota. Mpaka kufika siku mbili kabla ya ndoa nikawa siwezi tena vumilia. Nlijua kila kitu kimeshapangwa, wageni washaalikwa, zawadi zishaandaliwa, mahali ishalipwa, yaani kila kitu kilikua tayari, ila kuna kitu kilikua kimenikaba kooni, kama kaa lamoto likinichoma. Nlijua mimi mwenyewe ndo wa kulaumiwa, maana nimeacha mpaka mambo yamefikia hapa, ningekataaga hukohuko mwanzo. Lakini part ya lawama nlimuangushia Ras. Alipaswa kutambua hisia zangu juu yake. Lakini hata kama hana hisia hizo kwangu, alipaswa aniruhusu nifanye maamuzi ambayo naona mimi kuwa yatanipa furaha. Sasa maisha gani ya kwenda kuishi na mtu nisiyempenda, nitawezaje jamani.

Nakumbuka ilikua ni jioni, Ras akawa amerudi kutoka kwenye mizunguko ya kufanya final preparations za harusi ambayo kimsingi ilikua inafanyika hapahapa home. Alinikuta nimekaa kwenye sofa, uso ukionesha kabisa kuwa nimelia karibia siku nzima ya leo. Hata chakula sikua nimegusa. Alivyoniona alijua kabisa siko vyema, na amekua akilijua hili kwa wiki kadhaa sasa. Na kama kawaida yake, aliamua kukausha as if haoni siko poa. Ile anataka kupitiliza room kwake, nikamuwahi kwa kumuita, “Shem, I don’t feel right about this. Please call off the wedding, siko ready kuolewa na Rama”. Ras alisimama kimya kwa sekunde kadhaa, then akasogea nilipokua nimekaa.

Akiwa kasimama akaanza kunisomea risala, na kipindi hiki haikua sauti ya kunibembeleza, he was angry. “Umekumbwa na shetani gani we Zahra, unataka wahuni waje wakuharibu ndo ufikirie kuhusu ndoa? Na ni kitu gani kinachofanya usitake kuolewa? Siku zote nakwambia unavyojisikia ni kawaida kwa mtu yeyote, ni uoga ambao unapaswa kuupotezea, sasa wewe endelea kuulea”, Ras alimaliza huku akianza kuondoka. Nlijikuta nalia Zaidi, “tena unyamaze, na nikitoka chumbani nikute hicho chakula ulichopika mchana umekila chote, umenisikia?”, Ras aliongea kwa hasira na akatulia kusubiria jibu, “umesikia?” aliniuliza tena kwa ukali baada ya kutopata jibu, “ndiyo Shem”.

Of course sikutaka kumuudhi. Nlijitahidi nikala, then nikaenda kujifungia room. Nimekuja kupitiwa usingizi usiku wa manane. Hata ndoto nazo zikawa za mauza uza tu. Nikaona hapa tena sina namna ya kuchomoka kwenye huu mtego. Nikatamani nizuge naumwa, ila nlijua wazi Ras atajua kabisa nazuga, na itamuudhi. So kesho ndo naolewa hivyo, yaani mtego nlioutega umeninasa mwenyewe, dah.

Nimekuja stuka saa nne asubuhi. Ni Ras ndo aligonga mlango wangu kuniambia niamke ninywe chai. Ikabidi niamke kivivu nikaenda kwanza kuoga ndo nikatoka kupata chai. Ila nlihakikisha nlipomaliza tu narudi kulala, I was not in the mood kabisa. Nikiwa kitandani vichozi vikinitiririka, nikasikia Ras anagonga tena, “may I come in Zahra”, aliniomba kuingia room kwangu. “yeah karibu shem”, nlimjibu huku nikijifunika vizuri blanketi asije akaniona nusu uchi maana nlikua nimepunguza nguo nikipanda kitandani na kubakiwa na kichupi na sidiria.

Ras aliingia akakaa kwenye kitanda. Wakati huo nimegeukia ukutani maana sikutaka kumface. “Mbona uko hivyo Zahra, unafanya nijisikie guilty, as if nakulazimisha uolewe, au labda kuna faida mm ntapata wakati hii ni kwa faida yako mwenyewe” Ras aliongea kwa upole leo. Ila sikua na lakumjibu, nliendelea kukaa kimya ili nimpe nafasi anipe hayo mawaidha aliyojiandaa kunipa. “why hutaki kuolewa na Rama?” ilibidi aniulize swali baada ya kuona kimya cha muda. “simpendi Rama shem”, nlimjibu kiufupi ila kwa heshima, “lakini Zahra, ni wewe ndo ulikuwa unampenda kipindi kile, kitu gani kilikubadilisha mawazo, au kuna mtu mwingine unampenda?”, Swali la Ras lilinifanya nianze kulia upya. Nlitamani nimwambie kuwa its you, ila sikuweza. Kilio changu kikamfanya ras anishike bega anigeuzie upande wake, blanketi nlilojifunika kidogo liniache wazi, ila likabakia likinisitiri, ila ningejisogeza nyma kidogo tu Ras angeona mwili wangu.

Nlipomgeukia, akaanza kunibembeleza kwa kunipapasa nywele. Ila kila nikiwaza kuwa huenda ndo mara ya mwisho Ras ananishika nywele, kilio kinaongezeka. Alivyoona situlii, ikabidi anihug, ila ili anihug ilibidi alale pembeni yangu. Bahati mbaya katika kunihug na mimi kujiweka vizuri blanketi likawa halinitoshi, maana kwanza amelilalia so hata kulivuta ili linifunike vizuri ikawa ngum. Bt Ras hakuonekana kustukia, maana mikono yake yote miwili ilikua kama imekikumbatia tu kichwa changu. Na mm kwa kutotaka kujivunjia heshima kama siku ile alivyonizabaga kibao, mikono yangu nikawa nimeikusanya tu kifuani kwangu. “nambie ukweli, kuna mtu ulimpenda ukaamua kumuacha Rama”?, kilio changu nadhani kilifanya aamini kuwa kuna mtu labda namlilia. Ikabidi nikatae kwa ishara ya kutikisa kichwa. “are you sure? Sasa mbona unakua hivyo mdogo wangu. Just tell me whats wrong, maybe pamoja twaweza solve”.

Ikabidi nijikaze. Huku nalia nikamwambia, “its you shem, naona kama nakuacha mwenyewe”, maneno yangu yalimfanya anikumbatie Zaidi. Mkono wake mmoja sasa ukawa mgongoni kwangu. “Usiniwazie mimi Zahra, mi ntakua fine. Think about your happiness first”,
“but what if my happiness is with you”, taratibu nikaanza kujitoa ufahamu, liwalo naliwe. Hata hivyo kesho sipo hapa.
“what do you mean Zahra, furaha yako ni kuwa na familia na watoto wako na mume wako”, nikajikuta naanza kulia kwa sauti sasa baada ya kusikia sentensi hii. Why is he making this so hard for me? Nikiwa nalia nikajikuta naropoka katikati ya sauti ya kilio,
“Furaha yangu ni kuwa na wewe Shem, I love you still, I love you so much”, kama ni mtama nishaumwaga. Nikawa nasubiria vibao kama siku ile. But Ras alitulia kimya as if hajasikia chochote. Mi mwenyewe nikawa ile hali ya kulia imeisha, nipo tu nasubiri adhabu. Ile hunihug kwa nguvu kukawa kumepungua, yaani akawa amenilegeza kiasi. Nikajua anajiandaa kusepa zake.

Nikasikia ule mkono uliokua mgongoni ukishuka slowly hadi kwenye pindo la chupi. Nikawa kama sielewi kinachoendelea. Then slowly mkono ukapita juu ya chupi hadi kwenye paja. Ikabidi nimuangalie, as if kumuuliza, ‘for real?’, bahati mbaya macho yake alikua ameyafunga. Alivyorudisha mkono wake kwenye tako langu, nikasmile. Nikamsogelea vizuri. Nikampa lips. Akazipokea. We kissed so passionately. Sikua naamini kinachotokea, ila nikasema kama ni ndoto basi itabidi nihakikishe naliwa kabla hakujakucha au ndoto kuisha kabla sijaonja.

Nlichofanya nikaitoa chupi nliyokua nimevaa, then nikamkamata kama nambeba ili aje juu yangu. Sikujali amevaa shati na pensi, I just wanted him juu yangu. Nikiwa bado nafurahia denda, Ras akawa anapapasa vilivyo makalio kwa pembeni. Na nlikua tayari nishatanua miguu kumpa nafasi. Ras hakuremba, nliona mkono wake mmoja akiupitisha kati yetu, then nikahisi dushe yake ikinipapasa kwenye nanlii yangu kama mara tatu hivi, then nikaifeel ikipenya, “oooh, shem”, nikajikuta naacha kumkiss kuusikilizia mshedede ukipenya sentimita baada ya sentimita. Akaanza kunitwanga ile slow motion. Nlijikuta machozi ya furaha yakinitoka ndugu msomaji.

Sikujua hasa ni nini kilimfanya Ras anile. Ni huruma kwangu kwa jinsi nlivyokua ninasononeka? Au ni kwa kuwa na yeye alikua lonely baada ya kutemwa na mademu zake wote wawili, au ni ugwadu tu alikua nao so kama mwanaume akajikuta kanila. Vyovyote ila kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi ya kumtunzia, yaani since nimeliwa na yule mume wa anti yangu, leo siku moja kabla ya ndoa yangu, nikaliwa na mwanaume ninayemfeel ile kinoma. Zile hisia za mapenzi yangu kwake, na ile hali ya kuwa nimemsubiria kwa muda mrefu, ukichanganya na hali ya baridi iliyokuepo, nlijikuta nainjoi sana game ya Ras. Ndo maana wenzangu walikua wanalia hahaha, kumbe tam hivi. Ila mm nlikua nainjoi kimyakimya.

Baada ya kunimwagia huko ndani, akabaki juu yangu kama dakika tatu nyingine. Sijui alichokua anawaza. Ila baada ya kujichomoa, mi nikashuka ili niende bathroom, ila kabla sijatoka nikatoa ile diary yangu nikampa asome. Mpaka natoka bafuni akawa bado anasoma tu, nikavaa chupi nyingine huku juu nikavaa sweater lililoishia chini kidogo ya matako, then nikaenda jikoni kuandaa msosi. Nimekaa jikoni Zaidi ya saa moja, ndo ras akaja. Nikajua ndo atakua kamaliza kusoma ile diary.

Alichofanya, alinifata mpaka nilipo, akanihug tena, hakua na haja ya kusema lolote. Alinivua lile sweater akanishusha na chupi, then ndo akanipa mambo sasa yaliyofanya akina Zoya walie. Ile room alikua ananionea huruma nadhani, round hii nilikazwa nikakazika, bila kujielewa nikajikuta na mm nazipiga zile kelele. Kimsingi siku nzima ya leo ilikua ni kulana. Tukajikuta hatuongelei hisia zetu wala ndoa ya kesho. Tulikua tunapiga stori, tunacheka, tunajibu simu zinazohusiana na sherehe ya kesho, then tunakulana. Cha msingi aliniomba tu nisisitishe ndoa, na wala sikua na shida, he already gave me what I wanted, na nlijua ingawa hasemi, ila siku nikihitaji ntamfata.

Usiku wa kuamkia siku ya ndoa ndo siku nliyofaidi mapenzi Zaidi katika maisha yangu. Ilifika muda nikawaza kuwa hiyo Kesho Rama atastukia akiniingizia, so nikapanga kumwambia kabisa naumwa tumbo ili asiniguse walau siku tatu za mwanzo. Hadi asubuhi imefika, mi bado nataka mambo. Mpaka mgeni wa kwanza anafika pale home ambaye alikua mtu wa kunipaka hina, ilikua bado namkatikia Ras, tulimsubirisha nje kidogo mgeni, mpaka Ras alivyonikojolea ndo akaenda kumkaribisha, wakati huo mi nikaenda bafuni.

Siku ya ndoa nlikua na furaha kinoma. Sio Rama tu alienishangaa ila hata wageni wengine kama Da’ Zoya mwenyewe hadi akaniuliza mbona nafuraha, nikabakia kutabasam tu. Kuna muda baada ya ndoa ile jioni tukawa wote watatu tumekaa pamoja, mimi, Shubi na Zoya, nikawa nawaza bahati aliyonayo Ras, kula madem wakali namna hii. Baada ya sherehe mi na mume wangu Rama tukawahi kuondoka, watu wakahisi tunawahi kwenda kula tunda, wangejua naumwa tumbo hahaha. Ila kabla ya kuondoka nliongea na Shubi kiasi. Kama kawaida yake kulialia kuhusu kumpenda Ras.. mi nikawa namchana live, nikamwambia kama anampenda angemuacha apigwe vumbi huku moshi wakati anaaccess na ikulu?, yaani angeweza muombea hata nafasi ya ubalozi Ras akapumzike aote shavu, shubi anaishia kujichekesha tu hata haeleweki.

--------Miezi saba baada ya ndoa-------

Jamani eeh. Nina mimba ya miezi saba. Na ingawa kuna uwezekano mimba ikawa ya Rama, ila ninavyofeel kabisa hii kitu ni ya Ras, nasubiri tu baada ya kujifungua nipate uhakika. Ras na mm tunawasiliana karibu kila siku. He is so lonely. Na huku kuwa lonely kwa Ras kukawa kunanifanya nitamani niende kwake mara kwa mara, ila mara zote Ras akawa ananikataza,, na aliniweka wazi kabisa kuwa as long as ni mke wa mtu sitakiwi kucheat, sio na yeye au yeyote mwingine. Shida nyingine, ndoa yangu ikawa inanibore, yaani nlikua naishi tu ilimradi siku zisogee. Yaani maisha haya ndo natakiwa niyaishi forever, mbona ntakoma. Rama hakua mwanaume mbaya, he took care of me very well, ila sikutokea kumpenda. Na ilifika muda hadi yeye alijua.

Kitu kingine kilichotokea ni kuwa baada kama ya miezi mitatu baada ya kuolewa, Da’ Zoya alinipigia simu. Cha msingi alichoniambia ni kuwa yeye ni mjamzito na mhusika ni Ras, sikua na shida na hilo ila sikujua dhamira yake ya kuniambia. Then akaniambia kwa kuwa mimi ndo dada wa Ras, angependa nimlee mwanae, maana yeye hanaga mpango wa kuwa na mtoto na hiyo mimba iliingia tu bahati mbaya. Nlishtuka, inawezekanaje mwanamke ulee mimba miezi tisa then umgawe mwanao. Ila ndo madhara ya kuishi kizungu hayo. Na huenda ndo maana hakua anataka kuolewa na Ras maana Ras anapenda watoto. Ingawa alinambia nisimwambie Ras hadi atakapojifungua, ila ilibidi nimwambie. Sijui waliongea nini wenyewe baada ya hapo.

Kipindi Zoya anajifungua ikabidi nifunge safari hadi dar. Tumbo langu nalo lilikua lishakua kubwa, ikibaki miezi kama miwili au pungufu nijifungue. Baada ya Zoya kujifungua kwa operation, nikaamini kuwa kweli hamtaki mwanae, maana hakutaka kunyonyesha, ilikua ni full maziwa ya formula. Wiki tu baada ya kujifungua akanambia naruhusiwa kuondoka nae, duh. Ikabidi nimweleze kuwa kwa umri ule bado ni mdogo sana, asubiri walau nijifungue pia ili niwe nao wote pamoja, ndo akakubali. Ila ile kukaa nae ule mwezi, niligundua Da’ Zoya kakonda sana, ule uchangamfu na uang’avu wa sura haukuepo tena. Na kuna muda nlikua nahisi kama ametoka kulia. Sikua najua kinachomsibu, mpaka one day alivyoniweka chini kunipa mkasa wa kinachomsibu.

Nilishtuka kinoma. Sio kwa ajili yangu tu, ila Ras. Sikujihofia mimi kwa kuwa wakati wa mwanzo wa ujauzito wangu nilipimwa na kukutwa niko salama. So Mungu aliamua kuniepusha, huenda ili niwalee hawa watoto wa Ras. Zoya aliniomba nisimwambie chochote Ras kwa sasa hadi pale nitakaposikia yeye Zoya amefariki, na ikifika hiyo siku, nimuombee msamaha kwa Ras, maana hakujua na kama angejua katu asingemuambukiza virusi. Kiukweli nilichanganyikiwa hasa.

Baada ya wiki kadhaa mbele na mimi nikajifungua. Zoya alivyokuja kuniona, alikaa na sisi kama wiki mbili then akaniachia mtoto. Akaenda kusikojulikana, maana hakua anapatikana kwa simu wala email. Ras alimsaka kila kona, Zoya aliuza kampuni zake zote, magari na mali zake zote hela akaziweka kwenye account ya Ras. Yaani Zoya alipotea, tukaamini kaenda labda uswisi kumsaka Diop. Siri ya ugonjwa wa Ras nikabaki nayo mwenyewe, hata yeye hajui. Watoto nikawa nawalea wote kama mapacha.

------Miezi 18 baada ya ndoa------

Mnakumbuka maneno niliyomwambia Shubi kuhusu kutomsaidia Ras? Kumbe yalimwingia aisee. Ras akateuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Afrika ya kusini. Nikampigia kumshukuru Shubi, nikamwambia kama kaka yangu asingekuvua chupi angepataje neema kama hizi, tukaishia kucheka. Siku ras anaapishwa ikawa kama family reunion nyingine. Ndo siku nimekutana tena na Marga na mwanae pamoja na mume wake Albert. Albert alifanikiwa kulikuza lile shirika alilolianzisha Ras, na kwa sasa linajihusisha na usomaji wa vitabu Afrika nzima sio tu Tanzania, so Mungu amewajalia wako vizuri. Ila yule mtoto ukimuangalia ni wa Ras kabisa, kama wangu tu. Tofauti ni kuwa Albert huenda anajua kabisa mtoto sio wake, ila Rama mume wangu hana idea. Baada yakuapishwa Ras akaenda zake sauzi. Ila mi nikabaki na ile hali ya kuona kama akipatwa na maradhi huko aliko nani atamsaidia, heri angekua hapa hapa nchini ingekua rahisi kwangu kumhudumia.

Nlijua wazi kuwa Rama asingekubali nikakae na watoto sauzi nimuache alone. Suluhisho pekee ni kama atanipa talaka. Ili kufanikisha hili ilibidi niwe muwazi kwa Shubi. Tena ili aelewe vizuri nilimpa ile diary asome. Ingawa alishtuka ila akaniambia hajashangaa. Kwa kuwa sisi sio ndugu, ilikua very natural kwangu kudevelop feelings kwa Ras, akamsifu Zaidi Ras akisema huenda hata yeye alikua ananifeel, sema alijizuia kwa kuwa alinichukulia kama mdogo wake.

Kuhusu suala la talaka akaniahidi kunisaidia. Ingawa akaniweka wazi kabisa kuwa nikisikia nayeye analiwa na Ras nisishangae maana ingawa anataka kufunga ndoa na prezidaa akistaafu, ila haimzuii kuliwa na Ras akipata chance. Kwakuwa nlishavumilia wakiliwa na huyohuyo Ras nikiwa nimelala chumba cha jirani, sikuona kama nitashindwa. Na sikumwambia kuwa Ras mgonjwa, so akiyafuata atayapata, au huenda tayari anao.

Kwanza kikatafutwa kidada kitam balaa kikaajiriwa ofisi moja na Rama (kwa msaada wa ofisi ya prezdaa) kikaanza kumtega. Na ili ategeke, ilitakiwa mm nianze visa huku ndani, so nikawa natumiwa msg kuonesha nina mwanaume mwingine ambazo kimsingi zilikua zinatumwa na Shubi mwenyewe. Mwanzo Rama akawa anazipotezea hata haulizi. Baadae akaanza kuhoji, mi namjibu short tu. Baada ya visa kuzidi nikaanza kuona mabadiliko ya ratiba zake, nikajua plan A ishaanza kufanya kazi. Kilichofuata ni fumanizi ambalo kimsingi tulikua tumeliset. Hakua na namna Zaidi ya kutoa talaka.

Nikachukua wanangu nikasepa zangu sauzi. Mwanzo nikawa nachukua tahadhari kubwa tukiwa tunatiana na Ras, siku zote nilimvalisha ndom, ili niwaprotect wanangu wanaonyoya. Mpaka siku Ras akastuka, why najilinda namna hii. Nikawa namwambia simuamini Rama, maana mtu mpaka namfumania inawezekana kaniambukiza maradhi. Ndo akasema basi tukapime ili tujue. Nikakataa katukatu, sikutaka ajue hali yake. Mpaka siku moja alivyonichukua nikidhani tunaenda mahali tu pengine, nikashangaa tunaingia hosp. kweli tukapimwa, na kama nlivyotarajia, mimi niko salama. Majibu ya Ras kuja, negative.

Nilishangilia utafikiri ndo majibu yangu, na asante Mungu kibao. Mpaka Ras akastuka, nikamtoa wasiwasi kuwa nimefurahi tu wote tuko safe. ikabidi nimpigie Shubi, nikamuweka wazi kila kitu sasa. Akaniambia hii inawezekana, maana mwanaume kupata asilimia zinapungua kidogo, nikamwambia lakini hawa wamekulana muda mrefu sana, akawa ananiambia tu its possible.

Baada kama ya miezi miwili hivi, Shubi akanipigia akaniambia alimuomba prezdaa kufuatilia hosp aliyojifungulia Zoya, na watu wake wa usalama wamemwambia madaktari karibu wote pale wa idara ya mama na mtoto walihongwa na mfaransa mmoja anaitwa Diop ili wampe majibu fake Zoya. Na uchunguzi ulienda mbali Zaidi kugundua hospitali zote Dsm jamaa alihakikisha anaset mambo ili popote atakapoenda majibu yawe positive. So kimsingi Zoya is negative.Nililia ndugu msomaji. Maisha ya binti mzuri mwenye potential kama Zoya yameharibiwa kirahisi tu na mwanaume mmoja. Nikatamani nimjulishe Zoya ila ndo hivyo hakukua na namna ya kumpata.

Oneday niko zangu napitia habari za home Tanzania, nikaona habari kuwa afisa wa jeshi la Rwanda ameuawa kwa kupigwa risasi nchini Tanzania alipokua anarudi hoteli aliyofikia baada ya kutoka kwenye mkutano akiwa kama mmoja wa member wa msafara wa rais wa Rwanda. Habari zikasema mwanajeshi huyo aliyekuwa afisa wa polisi kipindi cha utawala uliopita, alishawahi kutuhumiwa kwa mauaji ya watusi na wahutu wenye msimamo wa wastani na mahakama za kijadi zilimtia hatiani, lakini baada ya mwaka mmoja akapata msamaha wa rais na kujiunga na jeshi. Nikawa namsikitikia tu, then simu yangu ikaingia msg, “Hi Zahra, thanks for taking care of my babe. Am safe. don’t look for me”.

Nikajua direct ni Zoya. Kuipiga ile namba ikawa haipatikani tena. Tuma text kama zote, ila nikajua keshaivunjavunja hiyo line. Matumaini ya kumuona tena Zoya yakawa hayapo. Ingawa ikawa ndo kawaida yake, kila baada ya miezi sita ananitumia ujumbe then kabla sijajibu anapotea. Kuna ujumbe alisema ikitokea miezi sita imepita hajanitrxt, basi nijue keshakufa.

Baada ya muda, Marga alikubali kutupatia yule mtoto mwingine wa Ras, na hii ni baada ya wao pia kubarikiwa kupata watoto mapacha.

I just hope one day nitamuona tena Zoya, au walau apime tu tena ngoma huko aliko ili aishi kwa uhuru. Until then, I pray for her health, and I will take care of her child as if it is mine.

---------------------The end-----------------

Wasalaam,

Kiga.

20200726_234245.jpg
 
Episode 14.

Zahra.

Hello good people.
Kama ambavyo nahisi mtakua mnajua ndugu wasomaji, mimi Zahra nlifunga ndoa. Lakini kabla na baada ya ndoa yangu na Rama, mambo mengi sana yalitokea, mazuri na mabaya. Ili tupate mtiririko mzuri wa hayo yaliyotokea kabla na baada ya ndoa yangu, naomba tuende kama ifuatavyo.

-----Takribani mwezi mmoja kabla ya ndoa----

Binadamu yeyote yule kaumbwa na tamaa. Na kimsingi tamaa ni moja kati ya vitu vilivyosababisha sisi binadamu kama viumbe, tufike katika kiwango hiki cha maendeleo na ustaarabu. Na mimi kama binadamu wengine, ninamatamanio kadhaa katika maisha yangu. Lakini tamanio moja ambalo linawaka katika moyo wangu ni siku moja kupata nafasi ya kufanya mapenzi na Ras. Najua tamaa hizi zilikaribia kuvunja undugu na heshima tuliyoijenga kati yetu, lakini kiukweli nimeshindwa kabisa kuitoa hii picha kwenye akili yangu. Nimejaribu kila niwezalo niweze kulishinda hili ila nimekwama. Kinachozuia kuzifanyia kazi hisia zangu ni heshima niliyonayo kwake. Pamoja na kua ni mwanamme ninayempenda, Ras ni kama kaka yangu, na sitafanya chochote kitakacho vunja hii heshima niliyonayo kwake. So the only option iliyobaki ni kusubiria, huenda siku moja atagundua, mwanamke pekee anayempenda kwa dhati, is only one knock-on-a-door away from him.

Yaliyoandikwa hapo juu ni maneno yangu niliyokuwa nimeyaandika kwenye diary yangu siku ya leo. Ndoa yangu tumepanga iwe wiki ya mwisho ya mwezi ujao. Nikikumbuka hili, najikuta nakosa raha na sometimes natokwa machozi. Naolewa kwa kuwa Ras kama kaka yangu ameniomba sana niolewe. Kwamba itawafanya wazazi wangu huko waliko wafurahi. Lakini kilichonifanya hadi nikubali kuolewa ni Ras mwenyewe aliposema kati ya vitu ambavyo vitamfanya ajisikie vizuri ni kama mm nikiolewa. Ningekataaje kwa mfano. I just had to say yes.

Asubuhi ya leo, kama ilivyokua jana mvua kubwa inanyesha, lakini pia, kama ilivyokua jana, Ras and Da’ Zoya asubuhi ya leo were having sex. Na kama ilivyokua jana, asubuhi ya leo nlikua nasikia kelele za Da’ Zoya kuonesha mechi inayopigwa huko ndani sio mchezo. Lakini asubuhi ya leo kimeongezeka kingine, pamoja na kusikia tu mechi yao, nimeishuhudia live walau kwa dakika chache.

Sijui Ras alikua kalewa bangi, maana ile mi natoka kwenda washroom, naona mlango wa kutokea nje kupitia jikoni uko wazi. Nlipousogelea ndo nawaona wanakatikiana kwenye mvua, dah. Nlijisikia aibu lakini iliyochanganyika na ham ya hatari. Nikawaacha waendelee na yao, mm kama kawaida nikarudi room kujipa raha mwenyewe. I wish Rama ambaye ni mume wangu mtarajiwa atakua ananila vizuri kama Ras anavyowala madem zake. Maana sio Zoya wala Shubi, wote huwehuka wakiwa chumbani kwa Ras.

Ingawa siku ya leo ilianza vizuri kwa Ras, ila sijui nini kilitokea kati yake na Da’ Zoya. Maana baada ya kumsindikiza airport, Ras alivyorudi alikua hana raha kabisa. Baada ya kuona chakula nlichompikia hakichangamkii kama kawaida yake nikimpikia pilau, ilibidi nikae pembeni yake nimuulize kwa upole kama kuna kitu kinamsumbua.
“we acha tu mdogo wangu, mapenzi haya sina bahati nayo” ndo lilikua jibu lake.
“Ila Da’ Zoya anakupenda shem, na inaonekana unampenda pia, so whats the problem?”
Ras akatulia kwa muda bila kujibu. Akaniangalia kwa sekunde kadhaa, kisha akajiegemeza vizuri kwenye sofa alilokalia. “Zoya ndo anaenda kuolewa, muda wote huu nlikua nafikiri nikimuonesha namna gani nampenda atamuacha huyo mchumba wake, ila inaonekana kachagua pesa Zaidi ya mapenzi ya kweli”.

Of course, nlikua najua Da’ Zoya anamchumba, tena wa miaka mingi tu. Na nlikua najua mchumba wake kicheche tu maana alishanitaka hata mm. so siku zote nliamini kwa namna nnavyo mfaham Zoya, hawezi kubali kuolewa na yule bwana ake. So kusikia Zoya kaamua kufunga ndoa na yule bazazi, hata mm nlikua shocked. Nlifikiria niseme nini ili nimpooze machungu Ras, but sikua na maneno ya kumwambia. Nlichofanya kwa kuwa nlikua karibu yake nikauchukua mkono wake mmoja nikaushika kwa mikono yote miwili juu ya miguu yangu. Ingawa kiuhalisia kwa hali aliyonayo alistahili kupata hug, ila ujasiri wa kumhug Ras sikua nao.

“looks like ntaishi alone for the rest of my life”, Ras aliendelea kuongea huku akitoa tabasamu. Tabasamu ambalo nlijua limebeba maumivu na sio furaha. Nlimhurumia, ingawa yy hakua ananiangalia, ila muda wote tunaongea macho yangu hayakubanduka usoni kwake. “Usiseme hivyo Shem, I will always be here for you”, nlivyomwambia haya, Ras akanigeukia na kunipa jicho lile la kama kuniambia ‘you are just saying that to make me feel good’. Nlichofanya nikaukamata vizuri Zaidi mkono wake, “I am not joking Ras, unajua wazi naolewa just because wewe ulipenda iwe hivyo, niko radhi kuahirisha yote so that I take care of you”.

Ras, alitabasam Zaidi aliposikia hivi. Akanikaribia Zaidi na kunizungushia mikono yake mabegani kwangu, “Usijali Zahra, I will be okay. Get married and be happy with your own family”. Maneno yake yakaniuma. Nikaanza kutokwa machozi kimyakimya. Sikutaka anione nikilia, so nikamkamata vizuri ili kidevu changu kiegemee mabega yake. “okay”, nikamjibu kwa kujikaza. Ras akaanza kunishika nywele kama ananibembeleza hivi. Nikajikuta nasahau majonzi yangu na yake. Nikaanza kupata shida katikati ya mapaja. Nikatambua kabisa kwa nyege nlizonazo juu yake, nikiendelea kukaa hapa ntamvunjia heshima. Nikajibandua mwilini mwake nikasepa room.

Nikiwa chumbani nikachukua diary na kuongezea matukio ya siku ya leo. Na namna alivyonifanya nefeel alivyonishika nywele. Ndugu msomaji usijedhani labla nina hobbie sana ya kuandika diary kila siku. Hii ni moja kati ya strategy nlizoamua kuzitumia ili kumfikishia Ras ujumbe. Ilikua kila nikitoka hapa home hii diary naiacha juu ya kitanda, nikitumaini kuwa Ras akiingia atatamani kujua kulichomo na huenda akaamua kunipa nnachotaka. Strategy nyingine ya kumnasa Ras nliipata baada ya kuangalia movie moja hivi ya wakorea. Kupitia hiyo movie nilitambua kuwa mwanaume ambaye ameku friend-zone au ameku ndugu-zone, ataanza kukupa attention pale tu utakapoanza kuwa karibu na mwanaume mwingine. So nikapanga namna ya kuwa karibu na mmoja wa guys ambaye alikua ananifuatilia kitambo.

---------Mwaka mmoja kabla ya ndoa---------.

Rama alianzaga kunifukuzia kitambo sana. Since tuko chuo. Yeye alikua ni mfanyakazi katika idaya ya uhasibu kwenye chuo nlichokua nasoma. Nakumbuka first time mimi kumuona ilikua kwenye foleni ya kupeleka risiti za malipo ya ada ili nipewe kitambulisho cha kufanyia mtihani. That day nlikua niko period, na maumivu yake ndo yalikua yamepamba moto. Kwa kuwa ndo ilikua siku ya mwisho, watu walikua kibao na nisingeweza kutoka kwenye line so ilinibidi niwe navumilia tu maumivu huku line ikisonga taratibu mno.

Kuna muda nlisikia bonge moja la pain, nikawa nimejishika tumbo huku nimefumba macho na kukunja sura, ile nafungua macho nakutana na macho ya Rama ameniangalia. Kipindi hicho sikua namfaham, ila alikua kavaa kitambulisho kuonesha ni staff. Rama akanioneshea ishara kuwa nimfate. Akaniongoza hadi ndani ya ofisi zao, akatoa maelekezo nisaidiwe maana naonekana naumwa, then akaniacha pale. Sikumuona tena that day, ila baada ya siku mbili nikakutana nae getini. Nikamsalimia fresh akaitikia. Nlipotaka kuendelea na mishe zangu, akanistopisha, tena nakumbuka nlikua na Shubi that day. niliposimama kumsikiliza, akaniomba namba ya simu, wakati nasita kutoa, Shubi akaitaja kwa sauti namba yangu, ndo mawasiliano na Rama yalipoanzia.

Sikutakaga kabisa kumpa hata matumaini, so nlikua nampa makavu kabisa kuwa asahau kuwa na mm kila aliponitamkia nia yake ya kufunga ndoa na mimi. Ila Rama hakukata tamaa kabisa. Mpaka namaliza chuo akawa bado ananiomba nimfikirie na kuwa hana nia mbaya na anachotaka ni kuanzisha familia na mm. Ndo wazo la kuwa na mtu ili nimrushe roho Ras likanijia. Walikuepo wanaume wengi wanaonitaka, ila mtu pekee ambaye ningeweza kuwa nae na nikampa masharti ya kutoniomba game mpaka tutakapooana na akakubali ni Rama peke yake.

So nikaanza kuwa nampa attention Rama. Akinipigia napokea, tena nahakikisha naenda kuongea nae sebuleni na kujichekesha chekesha mbele ya Ras ili ajue upande wa pili kuna lijamaa linalegezewa sauti. Siku nyingine namwambia anifuate home, na kabla hajaja nitajipamba vya kutosha, marashi kama yote yani. Ras akiuliza namwambia natoka out na Rama, bt ntawahi kurudi. Ras akawa anaitikia tu sawa. Ikafika kipindi baada ya miezi kadhaa, nikaona Ras kama hajali, tena ndo kwanza ananisifu kwa kupata a good man. Na to make matters worse awa ananishauri nimwambie Rama aanze mchakato wa kuhalalisha mahusiano, yaani ndoa. Dah. Plan ikawa inanitokea puani.

Nlipoona Ras habadili hisia zake kwangu, ikabidi hii project niipige chini. Ila ndo Rama akawa kashakolea juu yangu. Nlimuonea huruma ila sikua na namna nyingine Zaidi ya kumwambia tupigane chini. Baada ya kuona juhudi zake za kunirudisha zinagonga mwamba ndo ikabidi aongee na Ras. Ras kanikalisha chini na kunishawishi niwe na Rama. Eti anamfahamu ni kijana katulia sana, na mambo mengine mengi hasa kuhusu yeye mwenyewe atakavyo jisikia nikiolewa na Rama. Uchumba ukaanza rasmi mimi na Rama. Ilikua ngumu mno, mno, mno kuuambia moyo wangu ukubali matokeo. Na ndo tangu kipindi hicho nikawa naandika diary, ili walau siku moja Ras akiisoma aone kila nlichoamua kufanya is to make him happy.

---------Siku mbili kabla ya ndoa----------

Kadri siku zilivyokua zinasogea ndivyo hali yangu ilivyokua inazorota. Mpaka kufika siku mbili kabla ya ndoa nikawa siwezi tena vumilia. Nlijua kila kitu kimeshapangwa, wageni washaalikwa, zawadi zishaandaliwa, mahali ishalipwa, yaani kila kitu kilikua tayari, ila kuna kitu kilikua kimenikaba kooni, kama kaa lamoto likinichoma. Nlijua mimi mwenyewe ndo wa kulaumiwa, maana nimeacha mpaka mambo yamefikia hapa, ningekataaga hukohuko mwanzo. Lakini part ya lawama nlimuangushia Ras. Alipaswa kutambua hisia zangu juu yake. Lakini hata kama hana hisia hizo kwangu, alipaswa aniruhusu nifanye maamuzi ambayo naona mimi kuwa yatanipa furaha. Sasa maisha gani ya kwenda kuishi na mtu nisiyempenda, nitawezaje jamani.

Nakumbuka ilikua ni jioni, Ras akawa amerudi kutoka kwenye mizunguko ya kufanya final preparations za harusi ambayo kimsingi ilikua inafanyika hapahapa home. Alinikuta nimekaa kwenye sofa, uso ukionesha kabisa kuwa nimelia karibia siku nzima ya leo. Hata chakula sikua nimegusa. Alivyoniona alijua kabisa siko vyema, na amekua akilijua hili kwa wiki kadhaa sasa. Na kama kawaida yake, aliamua kukausha as if haoni siko poa. Ile anataka kupitiliza room kwake, nikamuwahi kwa kumuita, “Shem, I don’t feel right about this. Please call off the wedding, siko ready kuolewa na Rama”. Ras alisimama kimya kwa sekunde kadhaa, then akasogea nilipokua nimekaa.

Akiwa kasimama akaanza kunisomea risala, na kipindi hiki haikua sauti ya kunibembeleza, he was angry. “Umekumbwa na shetani gani we Zahra, unataka wahuni waje wakuharibu ndo ufikirie kuhusu ndoa? Na ni kitu gani kinachofanya usitake kuolewa? Siku zote nakwambia unavyojisikia ni kawaida kwa mtu yeyote, ni uoga ambao unapaswa kuupotezea, sasa wewe endelea kuulea”, Ras alimaliza huku akianza kuondoka. Nlijikuta nalia Zaidi, “tena unyamaze, na nikitoka chumbani nikute hicho chakula ulichopika mchana umekila chote, umenisikia?”, Ras aliongea kwa hasira na akatulia kusubiria jibu, “umesikia?” aliniuliza tena kwa ukali baada ya kutopata jibu, “ndiyo Shem”.

Of course sikutaka kumuudhi. Nlijitahidi nikala, then nikaenda kujifungia room. Nimekuja kupitiwa usingizi usiku wa manane. Hata ndoto nazo zikawa za mauza uza tu. Nikaona hapa tena sina namna ya kuchomoka kwenye huu mtego. Nikatamani nizuge naumwa, ila nlijua wazi Ras atajua kabisa nazuga, na itamuudhi. So kesho ndo naolewa hivyo, yaani mtego nlioutega umeninasa mwenyewe, dah.

Nimekuja stuka saa nne asubuhi. Ni Ras ndo aligonga mlango wangu kuniambia niamke ninywe chai. Ikabidi niamke kivivu nikaenda kwanza kuoga ndo nikatoka kupata chai. Ila nlihakikisha nlipomaliza tu narudi kulala, I was not in the mood kabisa. Nikiwa kitandani vichozi vikinitiririka, nikasikia Ras anagonga tena, “may I come in Zahra”, aliniomba kuingia room kwangu. “yeah karibu shem”, nlimjibu huku nikijifunika vizuri blanketi asije akaniona nusu uchi maana nlikua nimepunguza nguo nikipanda kitandani na kubakiwa na kichupi na sidiria.

Ras aliingia akakaa kwenye kitanda. Wakati huo nimegeukia ukutani maana sikutaka kumface. “Mbona uko hivyo Zahra, unafanya nijisikie guilty, as if nakulazimisha uolewe, au labda kuna faida mm ntapata wakati hii ni kwa faida yako mwenyewe” Ras aliongea kwa upole leo. Ila sikua na lakumjibu, nliendelea kukaa kimya ili nimpe nafasi anipe hayo mawaidha aliyojiandaa kunipa. “why hutaki kuolewa na Rama?” ilibidi aniulize swali baada ya kuona kimya cha muda. “simpendi Rama shem”, nlimjibu kiufupi ila kwa heshima, “lakini Zahra, ni wewe ndo ulikuwa unampenda kipindi kile, kitu gani kilikubadilisha mawazo, au kuna mtu mwingine unampenda?”, Swali la Ras lilinifanya nianze kulia upya. Nlitamani nimwambie kuwa its you, ila sikuweza. Kilio changu kikamfanya ras anishike bega anigeuzie upande wake, blanketi nlilojifunika kidogo liniache wazi, ila likabakia likinisitiri, ila ningejisogeza nyma kidogo tu Ras angeona mwili wangu.

Nlipomgeukia, akaanza kunibembeleza kwa kunipapasa nywele. Ila kila nikiwaza kuwa huenda ndo mara ya mwisho Ras ananishika nywele, kilio kinaongezeka. Alivyoona situlii, ikabidi anihug, ila ili anihug ilibidi alale pembeni yangu. Bahati mbaya katika kunihug na mimi kujiweka vizuri blanketi likawa halinitoshi, maana kwanza amelilalia so hata kulivuta ili linifunike vizuri ikawa ngum. Bt Ras hakuonekana kustukia, maana mikono yake yote miwili ilikua kama imekikumbatia tu kichwa changu. Na mm kwa kutotaka kujivunjia heshima kama siku ile alivyonizabaga kibao, mikono yangu nikawa nimeikusanya tu kifuani kwangu. “nambie ukweli, kuna mtu ulimpenda ukaamua kumuacha Rama”?, kilio changu nadhani kilifanya aamini kuwa kuna mtu labda namlilia. Ikabidi nikatae kwa ishara ya kutikisa kichwa. “are you sure? Sasa mbona unakua hivyo mdogo wangu. Just tell me whats wrong, maybe pamoja twaweza solve”.

Ikabidi nijikaze. Huku nalia nikamwambia, “its you shem, naona kama nakuacha mwenyewe”, maneno yangu yalimfanya anikumbatie Zaidi. Mkono wake mmoja sasa ukawa mgongoni kwangu. “Usiniwazie mimi Zahra, mi ntakua fine. Think about your happiness first”,
“but what if my happiness is with you”, taratibu nikaanza kujitoa ufahamu, liwalo naliwe. Hata hivyo kesho sipo hapa.
“what do you mean Zahra, furaha yako ni kuwa na familia na watoto wako na mume wako”, nikajikuta naanza kulia kwa sauti sasa baada ya kusikia sentensi hii. Why is he making this so hard for me? Nikiwa nalia nikajikuta naropoka katikati ya sauti ya kilio,
“Furaha yangu ni kuwa na wewe Shem, I love you still, I love you so much”, kama ni mtama nishaumwaga. Nikawa nasubiria vibao kama siku ile. But Ras alitulia kimya as if hajasikia chochote. Mi mwenyewe nikawa ile hali ya kulia imeisha, nipo tu nasubiri adhabu. Ile hunihug kwa nguvu kukawa kumepungua, yaani akawa amenilegeza kiasi. Nikajua anajiandaa kusepa zake.

Nikasikia ule mkono uliokua mgongoni ukishuka slowly hadi kwenye pindo la chupi. Nikawa kama sielewi kinachoendelea. Then slowly mkono ukapita juu ya chupi hadi kwenye paja. Ikabidi nimuangalie, as if kumuuliza, ‘for real?’, bahati mbaya macho yake alikua ameyafunga. Alivyorudisha mkono wake kwenye tako langu, nikasmile. Nikamsogelea vizuri. Nikampa lips. Akazipokea. We kissed so passionately. Sikua naamini kinachotokea, ila nikasema kama ni ndoto basi itabidi nihakikishe naliwa kabla hakujakucha au ndoto kuisha kabla sijaonja.

Nlichofanya nikaitoa chupi nliyokua nimevaa, then nikamkamata kama nambeba ili aje juu yangu. Sikujali amevaa shati na pensi, I just wanted him juu yangu. Nikiwa bado nafurahia denda, Ras akawa anapapasa vilivyo makalio kwa pembeni. Na nlikua tayari nishatanua miguu kumpa nafasi. Ras hakuremba, nliona mkono wake mmoja akiupitisha kati yetu, then nikahisi dushe yake ikinipapasa kwenye nanlii yangu kama mara tatu hivi, then nikaifeel ikipenya, “oooh, shem”, nikajikuta naacha kumkiss kuusikilizia mshedede ukipenya sentimita baada ya sentimita. Akaanza kunitwanga ile slow motion. Nlijikuta machozi ya furaha yakinitoka ndugu msomaji.

Sikujua hasa ni nini kilimfanya Ras anile. Ni huruma kwangu kwa jinsi nlivyokua ninasononeka? Au ni kwa kuwa na yeye alikua lonely baada ya kutemwa na mademu zake wote wawili, au ni ugwadu tu alikua nao so kama mwanaume akajikuta kanila. Vyovyote ila kwa mara ya kwanza baada ya miaka mingi ya kumtunzia, yaani since nimeliwa na yule mume wa anti yangu, leo siku moja kabla ya ndoa yangu, nikaliwa na mwanaume ninayemfeel ile kinoma. Zile hisia za mapenzi yangu kwake, na ile hali ya kuwa nimemsubiria kwa muda mrefu, ukichanganya na hali ya baridi iliyokuepo, nlijikuta nainjoi sana game ya Ras. Ndo maana wenzangu walikua wanalia hahaha, kumbe tam hivi. Ila mm nlikua nainjoi kimyakimya.

Baada ya kunimwagia huko ndani, akabaki juu yangu kama dakika tatu nyingine. Sijui alichokua anawaza. Ila baada ya kujichomoa, mi nikashuka ili niende bathroom, ila kabla sijatoka nikatoa ile diary yangu nikampa asome. Mpaka natoka bafuni akawa bado anasoma tu, nikavaa chupi nyingine huku juu nikavaa sweater lililoishia chini kidogo ya matako, then nikaenda jikoni kuandaa msosi. Nimekaa jikoni Zaidi ya saa moja, ndo ras akaja. Nikajua ndo atakua kamaliza kusoma ile diary.

Alichofanya, alinifata mpaka nilipo, akanihug tena, hakua na haja ya kusema lolote. Alinivua lile sweater akanishusha na chupi, then ndo akanipa mambo sasa yaliyofanya akina Zoya walie. Ile room alikua ananionea huruma nadhani, round hii nilikazwa nikakazika, bila kujielewa nikajikuta na mm nazipiga zile kelele. Kimsingi siku nzima ya leo ilikua ni kulana. Tukajikuta hatuongelei hisia zetu wala ndoa ya kesho. Tulikua tunapiga stori, tunacheka, tunajibu simu zinazohusiana na sherehe ya kesho, then tunakulana. Cha msingi aliniomba tu nisisitishe ndoa, na wala sikua na shida, he already gave me what I wanted, na nlijua ingawa hasemi, ila siku nikihitaji ntamfata.

Usiku wa kuamkia siku ya ndoa ndo siku nliyofaidi mapenzi Zaidi katika maisha yangu. Ilifika muda nikawaza kuwa hiyo Kesho Rama atastukia akiniingizia, so nikapanga kumwambia kabisa naumwa tumbo ili asiniguse walau siku tatu za mwanzo. Hadi asubuhi imefika, mi bado nataka mambo. Mpaka mgeni wa kwanza anafika pale home ambaye alikua mtu wa kunipaka hina, ilikua bado namkatikia Ras, tulimsubirisha nje kidogo mgeni, mpaka Ras alivyonikojolea ndo akaenda kumkaribisha, wakati huo mi nikaenda bafuni.

Siku ya ndoa nlikua na furaha kinoma. Sio Rama tu alienishangaa ila hata wageni wengine kama Da’ Zoya mwenyewe hadi akaniuliza mbona nafuraha, nikabakia kutabasam tu. Kuna muda baada ya ndoa ile jioni tukawa wote watatu tumekaa pamoja, mimi, Shubi na Zoya, nikawa nawaza bahati aliyonayo Ras, kula madem wakali namna hii. Baada ya sherehe mi na mume wangu Rama tukawahi kuondoka, watu wakahisi tunawahi kwenda kula tunda, wangejua naumwa tumbo hahaha. Ila kabla ya kuondoka nliongea na Shubi kiasi. Kama kawaida yake kulialia kuhusu kumpenda Ras.. mi nikawa namchana live, nikamwambia kama anampenda angemuacha apigwe vumbi huku moshi wakati anaaccess na ikulu?, yaani angeweza muombea hata nafasi ya ubalozi Ras akapumzike aote shavu, shubi anaishia kujichekesha tu hata haeleweki.

--------Miezi saba baada ya ndoa-------

Jamani eeh. Nina mimba ya miezi saba. Na ingawa kuna uwezekano mimba ikawa ya Rama, ila ninavyofeel kabisa hii kitu ni ya Ras, nasubiri tu baada ya kujifungua nipate uhakika. Ras na mm tunawasiliana karibu kila siku. He is so lonely. Na huku kuwa lonely kwa Ras kukawa kunanifanya nitamani niende kwake mara kwa mara, ila mara zote Ras akawa ananikataza,, na aliniweka wazi kabisa kuwa as long as ni mke wa mtu sitakiwi kucheat, sio na yeye au yeyote mwingine. Shida nyingine, ndoa yangu ikawa inanibore, yaani nlikua naishi tu ilimradi siku zisogee. Yaani maisha haya ndo natakiwa niyaishi forever, mbona ntakoma. Rama hakua mwanaume mbaya, he took care of me very well, ila sikutokea kumpenda. Na ilifika muda hadi yeye alijua.

Kitu kingine kilichotokea ni kuwa baada kama ya miezi mitatu baada ya kuolewa, Da’ Zoya alinipigia simu. Cha msingi alichoniambia ni kuwa yeye ni mjamzito na mhusika ni Ras, sikua na shida na hilo ila sikujua dhamira yake ya kuniambia. Then akaniambia kwa kuwa mimi ndo dada wa Ras, angependa nimlee mwanae, maana yeye hanaga mpango wa kuwa na mtoto na hiyo mimba iliingia tu bahati mbaya. Nlishtuka, inawezekanaje mwanamke ulee mimba miezi tisa then umgawe mwanao. Ila ndo madhara ya kuishi kizungu hayo. Na huenda ndo maana hakua anataka kuolewa na Ras maana Ras anapenda watoto. Ingawa alinambia nisimwambie Ras hadi atakapojifungua, ila ilibidi nimwambie. Sijui waliongea nini wenyewe baada ya hapo.

Kipindi Zoya anajifungua ikabidi nifunge safari hadi dar. Tumbo langu nalo lilikua lishakua kubwa, ikibaki miezi kama miwili au pungufu nijifungue. Baada ya Zoya kujifungua kwa operation, nikaamini kuwa kweli hamtaki mwanae, maana hakutaka kunyonyesha, ilikua ni full maziwa ya formula. Wiki tu baada ya kujifungua akanambia naruhusiwa kuondoka nae, duh. Ikabidi nimweleze kuwa kwa umri ule bado ni mdogo sana, asubiri walau nijifungue pia ili niwe nao wote pamoja, ndo akakubali. Ila ile kukaa nae ule mwezi, niligundua Da’ Zoya kakonda sana, ule uchangamfu na uang’avu wa sura haukuepo tena. Na kuna muda nlikua nahisi kama ametoka kulia. Sikua najua kinachomsibu, mpaka one day alivyoniweka chini kunipa mkasa wa kinachomsibu.

Nilishtuka kinoma. Sio kwa ajili yangu tu, ila Ras. Sikujihofia mimi kwa kuwa wakati wa mwanzo wa ujauzito wangu nilipimwa na kukutwa niko salama. So Mungu aliamua kuniepusha, huenda ili niwalee hawa watoto wa Ras. Zoya aliniomba nisimwambie chochote Ras kwa sasa hadi pale nitakaposikia yeye Zoya amefariki, na ikifika hiyo siku, nimuombee msamaha kwa Ras, maana hakujua na kama angejua katu asingemuambukiza virusi. Kiukweli nilichanganyikiwa hasa.

Baada ya wiki kadhaa mbele na mimi nikajifungua. Zoya alivyokuja kuniona, alikaa na sisi kama wiki mbili then akaniachia mtoto. Akaenda kusikojulikana, maana hakua anapatikana kwa simu wala email. Ras alimsaka kila kona, Zoya aliuza kampuni zake zote, magari na mali zake zote hela akaziweka kwenye account ya Ras. Yaani Zoya alipotea, tukaamini kaenda labda uswisi kumsaka Diop. Siri ya ugonjwa wa Ras nikabaki nayo mwenyewe, hata yeye hajui. Watoto nikawa nawalea wote kama mapacha.

------Miezi 18 baada ya ndoa------

Mnakumbuka maneno niliyomwambia Shubi kuhusu kutomsaidia Ras? Kumbe yalimwingia aisee. Ras akateuliwa kuwa balozi wa Tanzania nchini Afrika ya kusini. Nikampigia kumshukuru Shubi, nikamwambia kama kaka yangu asingekuvua chupi angepataje neema kama hizi, tukaishia kucheka. Siku ras anaapishwa ikawa kama family reunion nyingine. Ndo siku nimekutana tena na Marga na mwanae pamoja na mume wake Albert. Albert alifanikiwa kulikuza lile shirika alilolianzisha Ras, na kwa sasa linajihusisha na usomaji wa vitabu Afrika nzima sio tu Tanzania, so Mungu amewajalia wako vizuri. Ila yule mtoto ukimuangalia ni wa Ras kabisa, kama wangu tu. Tofauti ni kuwa Albert huenda anajua kabisa mtoto sio wake, ila Rama mume wangu hana idea. Baada yakuapishwa Ras akaenda zake sauzi. Ila mi nikabaki na ile hali ya kuona kama akipatwa na maradhi huko aliko nani atamsaidia, heri angekua hapa hapa nchini ingekua rahisi kwangu kumhudumia.

Nlijua wazi kuwa Rama asingekubali nikakae na watoto sauzi nimuache alone. Suluhisho pekee ni kama atanipa talaka. Ili kufanikisha hili ilibidi niwe muwazi kwa Shubi. Tena ili aelewe vizuri nilimpa ile diary asome. Ingawa alishtuka ila akaniambia hajashangaa. Kwa kuwa sisi sio ndugu, ilikua very natural kwangu kudevelop feelings kwa Ras, akamsifu Zaidi Ras akisema huenda hata yeye alikua ananifeel, sema alijizuia kwa kuwa alinichukulia kama mdogo wake.

Kuhusu suala la talaka akaniahidi kunisaidia. Ingawa akaniweka wazi kabisa kuwa nikisikia nayeye analiwa na Ras nisishangae maana ingawa anataka kufunga ndoa na prezidaa akistaafu, ila haimzuii kuliwa na Ras akipata chance. Kwakuwa nlishavumilia wakiliwa na huyohuyo Ras nikiwa nimelala chumba cha jirani, sikuona kama nitashindwa. Na sikumwambia kuwa Ras mgonjwa, so akiyafuata atayapata, au huenda tayari anao.

Kwanza kikatafutwa kidada kitam balaa kikaajiriwa ofisi moja na Rama (kwa msaada wa ofisi ya prezdaa) kikaanza kumtega. Na ili ategeke, ilitakiwa mm nianze visa huku ndani, so nikawa natumiwa msg kuonesha nina mwanaume mwingine ambazo kimsingi zilikua zinatumwa na Shubi mwenyewe. Mwanzo Rama akawa anazipotezea hata haulizi. Baadae akaanza kuhoji, mi namjibu short tu. Baada ya visa kuzidi nikaanza kuona mabadiliko ya ratiba zake, nikajua plan A ishaanza kufanya kazi. Kilichofuata ni fumanizi ambalo kimsingi tulikua tumeliset. Hakua na namna Zaidi ya kutoa talaka.

Nikachukua wanangu nikasepa zangu sauzi. Mwanzo nikawa nachukua tahadhari kubwa tukiwa tunatiana na Ras, siku zote nilimvalisha ndom, ili niwaprotect wanangu wanaonyoya. Mpaka siku Ras akastuka, why najilinda namna hii. Nikawa namwambia simuamini Rama, maana mtu mpaka namfumania inawezekana kaniambukiza maradhi. Ndo akasema basi tukapime ili tujue. Nikakataa katukatu, sikutaka ajue hali yake. Mpaka siku moja alivyonichukua nikidhani tunaenda mahali tu pengine, nikashangaa tunaingia hosp. kweli tukapimwa, na kama nlivyotarajia, mimi niko salama. Majibu ya Ras kuja, negative.

Nilishangilia utafikiri ndo majibu yangu, na asante Mungu kibao. Mpaka Ras akastuka, nikamtoa wasiwasi kuwa nimefurahi tu wote tuko safe. ikabidi nimpigie Shubi, nikamuweka wazi kila kitu sasa. Akaniambia hii inawezekana, maana mwanaume kupata asilimia zinapungua kidogo, nikamwambia lakini hawa wamekulana muda mrefu sana, akawa ananiambia tu its possible.

Baada kama ya miezi miwili hivi, Shubi akanipigia akaniambia alimuomba prezdaa kufuatilia hosp aliyojifungulia Zoya, na watu wake wa usalama wamemwambia madaktari karibu wote pale wa idara ya mama na mtoto walihongwa na mfaransa mmoja anaitwa Diop ili wampe majibu fake Zoya. Na uchunguzi ulienda mbali Zaidi kugundua hospitali zote Dsm jamaa alihakikisha anaset mambo ili popote atakapoenda majibu yawe positive. So kimsingi Zoya is negative.Nililia ndugu msomaji. Maisha ya binti mzuri mwenye potential kama Zoya yameharibiwa kirahisi tu na mwanaume mmoja. Nikatamani nimjulishe Zoya ila ndo hivyo hakukua na namna ya kumpata.

Oneday niko zangu napitia habari za home Tanzania, nikaona habari kuwa afisa wa jeshi la Rwanda ameuawa kwa kupigwa risasi nchini Tanzania alipokua anarudi hoteli aliyofikia baada ya kutoka kwenye mkutano akiwa kama mmoja wa member wa msafara wa rais wa Rwanda. Habari zikasema mwanajeshi huyo aliyekuwa afisa wa polisi kipindi cha utawala uliopita, alishawahi kutuhumiwa kwa mauaji ya watusi na wahutu wenye msimamo wa wastani na mahakama za kijadi zilimtia hatiani, lakini baada ya mwaka mmoja akapata msamaha wa rais na kujiunga na jeshi. Nikawa namsikitikia tu, then simu yangu ikaingia msg, “Hi Zahra, thanks for taking care of my babe. Am safe. don’t look for me”.

Nikajua direct ni Zoya. Kuipiga ile namba ikawa haipatikani tena. Tuma text kama zote, ila nikajua keshaivunjavunja hiyo line. Matumaini ya kumuona tena Zoya yakawa hayapo. Ingawa ikawa ndo kawaida yake, kila baada ya miezi sita ananitumia ujumbe then kabla sijajibu anapotea. Kuna ujumbe alisema ikitokea miezi sita imepita hajanitrxt, basi nijue keshakufa.

Baada ya muda, Marga alikubali kutupatia yule mtoto mwingine wa Ras, na hii ni baada ya wao pia kubarikiwa kupata watoto mapacha.

I just hope one day nitamuona tena Zoya, au walau apime tu tena ngoma huko aliko ili aishi kwa uhuru. Until then, I pray for her health, and I will take care of her child as if it is mine.

---------------------The end-----------------

Wasalaam,

Kiga.

View attachment 1517634
Hongera sana .
Story tamu
 
Hats off man, umetisha sana. YAni full suspense mpaka nukta ya mwisho. Sijui kwanini bad guys huwa wanafanikiwa hata kwenye real life. Just Imagine albert getting away with all the shit he did!
 
Nawashukuru sana wote mliofuatilia story hii. Panapo majaliwa tutakutana wakati mwingine tena, inshAllah.
Umezingua sana aisee, zoya umempeleka wapi? Kiukweli nimemind sana halafu mhasibu umempendelea sana kamati ya roho mbaya hatujaridhika kabisa.
 
Jumamosi kama jumamosi, hahahaah.

Nina habari njema na mbaya.

Njema ni kuwa ninaandika na soon itawajia.

Mbaya ni kuwa hii episode ya leo itaishia katikati.

Njema zaidi ni kuwa kipande kilichobaki kitamaliziwa jumapili jioni.
Si mwingi wa maneno! Hongera sana mkuu kwa story zako tangu kula tunda kimasihara mpaka hapa .
When bored, I get ur company stories
 
Episode 9.

Zoya

Mlinimiss eeh? Hahahahaha I missed you too. Sometimes najiuliza hii story ni kunihusu mimi au Ras, Hahahaha. Anyways tuachane na hayo, ila story hii bado mbichi ndugu wasomaji. The last time tumeonana nliwahadithia siku namuona Ras anauza vitabu posta, right?

Basi bwana, that day baada ya kuhakikisha ni yeye, na kuwa hali yake inaonekana kuyumba sana, nlirudi kwenye gari nikakaa kama nusu saa. Nikawa nafikiria since first time namtia machoni Ras. Nisiwaongopee ndugu wasomaji, nliinama kwenye usukani nikalia.

I cried for all that was supposed to happen bt didn’t. Nlimhurumia pia, ila nikaona ni adhabu tosha kwa Marga. Ingawa anayeteseka ni Ras, ila nlijua huko aliko Marga anaumia pia. Acha waumie. Nikafanya maazimio ya kutowashobokea na familia yao.

Kumuona Ras ikawa imenipa kama utulivu flani wa moyo na akili. Sikua nawaza sana kuhusu yaliyotokea. Hii ikanipa chance ya kuanza kumlegezea Diop. Akawa akipiga napokea, msg najibu, outing nazikubali, hivo yani. so tukajikuta tuko close sana yani.

Diop ni mtu flani mcheshi kinoma. Alafu he was a business genius. Tangu amefika ameshaestablish kampuni mbili, moja ya security nyingine ya kilimo cha maua. Na kwa jinsi anavyoielezea mipango yake bila shaka atamake pesa ya kutosha. Zaidi ya yote alionesha kunipenda kwa dhati. Yaani kuacha vinono vya ulaya na kuhamia bongo kuja kuanza upya just for me ilikua ni ishara tosha ya upendo wake kwangu.

Kama nlivyosemaga mwanzoni. Ingawa niko na pesa ila sikupenda kujionesha sana. Badala ya kukaa mbezi beach au masaki labda, nikapanga nyumba mitaa ya kijitonyama. Oneday Diop alikua amekuja dsm from Arusha kwenye mashamba yake ya maua. Pamoja na kuspend time mara kadhaa na Diop, ilikua bado sio wapenzi. We were just friends.

That day akashauri tukapate indian food mahala, maana ilikua favorite food yake. Kilichokua kinanishangaza, hakua anagusia kabisa suala la kuwa wapenzi. Alikua anainjoi tu my company mwenyewe anasema. Bas that day baada ya dinner akanirudisha mpaka home. Kufika home tukafunguliwa geti na mlinzi, akapaki na tukashuka kwenye gari, then nashangaa mtu ananifuata mpaka mlangoni. Mi nlitegemea ataniaga asepe.

Wakati nashangaa whats happening, nikaona Diop ananisogelea, kanisogezea lips . Of course sikuzipokea. Bt akawa ananiwekea tu, nikikwepesha kulia anazifuata, kushoto hivohivo. Mpaka ikabidi anishike kichwa nisimove. Ndo kunigandamizia lips zake kwenye zangu sasa. Ule usoft wake ukanilainisha kidogo, nikazitanua lips zangu na kumpa mwanya akaanza kuzimung'unya. Yaani kama mlinzi alikua anaona kinachoendele naamini siku hiyo hakulinda hahaha.

Ingawa nlikua natoa ushirikiano nusunusu, sikuweza mzuia alipofungua mlango na kunikokotea sebuleni. Akiwa bado anainjoi lips zangu, akanikalisha kwenye sofa. Akaanza kupapasa paja zangu. Mikono yake ikaendelea kutalii mpaka juu kule paja zinapoishia. Alipogundua kuwa chupi nliyovaa ni ile ya vimikanda tu na eneo kubwa la tako liko wazi nikaona pumzi yake inabadilika.

Hakunipa nafasi ya kubadili mawazo. Ndani ya dkk chache ashafungua zipu ya gauni nlilovaa na kulishusha mpaka kiunoni. Alivyo mtata akanitoa kabisa na bra. Kifua chote wazi. Nkawa naona ona aibu pale, eti najifunika macho, hi hi hi. Aibu zangu hazikumzuia kucheza na kifua changu. Zile chuchu zilipata shida siku hiyo. Baada ya muda aibu zote kwishnei. Nkawa natamani anifanye saa ileile maana Huku chini nlikua nshaloa sana. Sikutaka kuendelea kuteseka, nikajilaza pale kwenye kochi nikajitenga mlalo wa kuliwa.

Jamaa hakuangaika hata kuvua nguo, alifungua zipu tu. Gauni langu akalipandisha likajikusanya juu ya kiuno. Utam wote wazi, kwa ajili yake, anifanye niridhike. Diop hakuchelewa, akamtoa babu juma, akanilalia kwa juu. nikamsaidia kubenjua chupi kidogo, akapata chance ya kupenya.

Baada ya karibu miaka miwili nikawa nimefanya mapenzi tena. Usiku ule Diop alilala kwangu. Na ndo ukawa mwanzo wa mapenzi yetu mubashara.

Baada ya miezi kadhaa kupita, si nikapita tena pale anapouzia vitabu Ras. Sjui hata kwa nn nliamua kupita. Cha ajabu sikumkuta. Nikawa najiuliza what happened to him maana vitabu vipo ila yy hayupo badala yake kuna binti ndo yupo pale. Nikatamani kufahamu kinachoendelea. Ndo maana Harmonize aliimba, “……. Wa kuku-unfollow nitakua mie…” hahahahah. Ila kiukweli sio kuwa nlikua namtaka Ras, ila nlitamani tu kujua what’s going on in his life. Sikupoteza muda. Nlipopata mahala nikapaki gari nikarudi mpaka pale kwa mguu.

“Karibu dada, kuna vitabu vizuri vya hadithi, biashara, dini na hata elimu, chagua", ilikua ni sauti ya huyu binti ambaye baadae nlikuja jua anaitwa Zahra. Nikawa najidai nachagua chagua pale, nikachukua kimoja nikaulizia bei. “5000/= tu dada yangu, na unajua kweli kuchagua vitu vizuri", nikajikuta natabasam. Zahra alikua mchangamfu balaa, alafu anasmile moja matata. Ni ndugu wa Ras au wa Marga? Nikawa najiuliza.

“nina hitaji pia vitabu kwa ajili ya kituo cha watoto, so nataka niwe nachukua hapa kwako ili kukupa support “ nikamueleza huku naona namna ambavyo anafurahia na kushangaa kwa wakati mmoja. “ni biashara yako?”, nikamuuliza. “hapana ya kaka yangu, hua anakuepo hapa mpaka saa nane alafu mm napokea mpaka jioni", akanipa maelezo ambayo walau yalinipa mwanga wa kuwa Ras bado yupo mjini hapa. “Mbona anakupa jukumu zito wakati bado unatakiwa uwe shule?” nikamuuliza maana kwa umri wake nlijua kabisa anapaswa awe sekondari. “nasoma asubuhi mpaka mchana, nikitoka shule ndo nakuja hapa ili na yeye aende chuo". Jibu hili likanipa ham zaidi ya kupata details. “chuo anasoma?” nikauliza, “yeah anachukua masters ya sheria UD".

Sikutaka kuendelea zaidi, bt nikajikuta nimenunua vitabu vitano pale then nikasepa. Kufika kwenye gati nikavitumia kweye buti, mimi sinaga hobbie kabisa ya kusoma vitabu, yaani labda inilazimu ila kwa hobbie tu sina biyo interest kabisa. Kusikia Ras karudi kusoma nlijikuta nampongeza kimoyomoyo, walau amefikiria la maana. Elimu ni kama ngazi, ukiipanda unapata fursa ya kuona mbali zaidi.

Ingawa Zahra aliniambia Ras ni kaka yake, sikuamini kama ni kweli maana ingawa sijawahi kutana na familia ya kina Ras lakini nawajua ndugu zake wote kupitia picha. Kwa kuwa maswali yalikua mengi, nikaazimia kurudi pale kesho yake. Na ndivyo nlivyojikuta namzoea Zahra. Marq kwa mara jioni nlikua napita pale tunapiga story. Na kupitia yeye nikajua Ras ashakimbiwa na Marga. Marga anaishi na Albert. Na life ya Ras kwa sasa kiujumla. Nikajikuta namhurumia Ras na maisha anayoishi sasa.

Nlijua Ras anastahili msaada, na nisingeweza kumpa hela Zahra ampelekee, msaada wangu ukawa kuhakikisha kila siku vitabu vitano au zaidi vinanunuliwa pale. Hata kama sio kupitia mm, sometimes nlituma watu wanunue ili tu isionekane nina agenda binafsi. Kingine nikamshauri Zahra waongeza varieties za bidhaa nyingine pale walipo, nikamwambia amshauri kaka yake aweke vitu vya kiras pale atapata wateja, na kweli baada ya mwezi nikaona kuna tshirts, kofia, culture, slippers yaani wakafuata ushauri.

Ingawa nikawa napata taarifa za Ras, ila penzi langu lilikua kwa Diop. Nikawa sasa niko radhi hata kuolewa na Diop. Biashara zake zilikua mno, alikua na pesa balaa. Nlikuaga naendesha Nissan Xtrail, ila Diop akaninunulia Prado VXL moja matata kinoma. Sikua na haja ya kuhangaika tena. Diop alionesha kunipenda, kunijali na kuniamini. Hakua mtu wa kunilimit au kunifuatilia sana, na pia alinipa uhuru kwenye maisha yake. Yaani muda wowote naenda ofisini kwake, na yule secretary wake alikua akiniona tu shughuri zote zitasitishwa nipewe macare kama mm ndo mkurugenzi.

One day mida ya saa kumi nikasema nikapige story na Zahra. Nikawa nimejiaminisha atakuepo maana ndo mida yake hivyo sikuwa hata nimehangaika kuangalia mahala kijiwe chao kilipo. Ile nafika ndo namuona Ras. Nikatamani nirudi nlikotoka mbio, ila nikajua ataniona nakimbia then ahisi I still care au namuogopa.

Ras mwenyewe alionekana yupo kwenye lindi la mawazo. Ndo yule shoe shiner akaanza kuniongelesha pale. Mara Ras akawa kama kashtuka kutoka alichokua anakuwaza, ndo kuniangalia sasa, macho yakagongana akasimama. Cha ajabu nikuwa sikuweza hata kumsalimia. Sanasana hasira tu zilinijaa kwa alichonifanyia. Tukabaki tunaangaliana.

Mara ghafla si naona mwenzangu machozi yanamtiririka. Sijawahi muona Ras akilia. Yale machozi yaliusuuza moyo wangu. Hakuwahi niomba mshamaha ila palepale nikajua moyo wangu ushamsamehe Ras. Kwa kuwa mwanaume kulia, tena kulia hadharani ni aibu, akawa anajifunika uso kwa mikono. Ikabidi nimsogelee, nikazungusha mikono begani kwake, akatuliza kichwa chake kwenye bega langu, halii kwa sauti wala hatingishiki anabubujika tu michozi.

Baada ya kuona people zinaanza kujaa pale, nikamwambia twende. Nikamshika mkono nikawa namuongoza nlipokua nimepaki gari. Huku nyuma nikawa nasikia watu wanapiga shangwe, wengine miluzi wengine wanasema eti “mbele ya mwanamke hata magangster wanalia….”. nikamfungulia mlango wa gari akazama. Then nikazunguka upande wa dereva, nikawasha ndinga. Sikujua hata tuende wapi jioni ile.

Break ya kwanza Nyumbani restaurant. Nikamkuta Komando mama Samfood mwenyewe, ananijua mteja wake. Bahati mbaya kumbe siku hiyo walikua wanafanya renovation jikoni so hawakua wanapika. Nikamwambia vinywaji tu vinatosha. Akanikaribisha tukakaa na Ras.

“Mambo Ras", nikamsalimia. Akatabasam, of course hatukua tumesalimiana mpaka muda huo. Hakujibu. “how is Marga?”, nikawa najidai sielewi kitu ili apate uchungu wa kunieleza. “siko nae tena, alichukuliwa na mfanyakazi wangu yule Albert". Wakati anaongea mhudum akafika. Nikashangaa Ras anaagiza Safari. Tangu namfaham hajawahi kunywa pombe. Sikuuliza chochote. Mi nikaagiza zangu wine flani nyepesi sana.

Baada ya vinywaji kuja, Ras akaanza kufunguka A to Z. Nikastaajabu aliposema hata ule mpango wa kutuachanisha na yeye uliosukwa na Marga alikuja kuelezwa na Albert, ila kwa kuwa Marga alikua tayari anamtoto wake hakutaka kuchukua hatua. Kilinachomhuzunisha na kumpain Ras mpaka wakati huu ni yule mtoto, maana alijua kabisa ni wake ila kwa kuwa mama mtu ndo kashaamua kusema vile hana budi kumkubalia.

Amemaliza kutoa story yake usiku ushaingia. Na kwa muonekano wake alikua hajala siku nzima huyu mtu, nikaona sio mbaya nimtafutie msosi. Tukaingia kwenye gari mpaka millennium towers pale. Bahati mbaya na penyewe ile restaurant tukakuta hakuna msosi. Dah. Ras akasema nimuache tu aende akale home, mdogowake atakua ameshapika. Wakati nataka nimpeleke akapokea simu ya huyo mdogo wake. Kuuliza anasema dogo anaomba radhi amechelewa maana wanafanya majaribio ya mitihani ya practical za form four now. Nikawa sina jinsi, nikampeleka home nikampikie.

Kufika home, nikamkaribisha akakaa kwenye sofa. Lilelile tunalotianaga na Diop, kidogo nimkataze asikae hahaha. Mawazo haya ya kijinga ndo yakafanya ni.kumbuke mpenzi wangu Diop. Ikabidi nimpigie simu kumwambia tunawageni. Hakupokea. Nikapiga tena, akapokea tule secretary wake, akaniambia bado wako ofisini ila ametoka kidogo akirudi atanipigia. Kweli after few minutes akapiga. Wala hakua na shida. Ndo uzuri wa kudate na wazungu. Hawana conclusion za kipuuzi. Ila Diop akaniambia hata rudi maana inabidi asafiri kwenda arusha that same night. Ni safari ya ghafla ndo maana hajapata wasaa wa kuja hata kubadilisha. Akaahidi kunipigia akifika Arusha.

Nikaanza kuandaa pale mchemsho wa kuku. Nliona ndo msosi wa fasta. Nikachanganya huko viazi, ndizi, hoho, karoti, vitunguu, pilipili na viungo flani hivi vimechanganywa tangawizi na vitu gani sjui. Haikuchukua muda vikawa tayari, nikatenga tukaanza kula. Akaomba pia nimpe upande wangu wa story tangu tumeachana. Nikampa full picture. Mambo mengine hata Diop sijawahi mwambia bt nlijikuta namhadithia Ras.

Baada ya menu nikasema kabla sijampeleka kwake anisubiri nioge. Nikamuacha kajinyoosha kwenye sofa anacheki TV. Kule bafuni nikashangaa naanza pata mawazo ya namna Ras alivyonifumua siku ile bafuni Arusha. Nikayapotezea fasta. Siwezi kuwa msaliti wa namna hii, tena kwenye the same house….No.

Baada ya kuoga nikaenda room, nikatinga jeans yangu na tshirt ili nimpeleke huyu mvuta bangi kwake. Kufika sebuleni nashangaa mtu keshasinzia longtime. Kijasho tu kinamtoka. Nikajua ni shibe ya ghafla baada ya kushinda na njaa the whole day. Na nnavyomfaham Ras akishasinzia kumuamsha ni shughuli, labda uje na maji. Nlichofanya nikaadjust kiyoyozi ili asiteseke na joto, then nikachukua computer yangu nifanye vijikazi kadhaa vya ofisini kwangu.

Kwani kazi zilifanyika basi…. Kila mara namcheki Ras. Sijui ni kale kaubaridi ka kiyoyozi au alikua anaota, maana mashine yake ilikua imetuna ndani ya suruali yake. Mwanzo nikawa naiangaliaaa then natabasam tu.. ila baada ya muda nikaanza kukumbuka yasiyopaswa kukumbukwa. Ule ukubwa na utam wa lile hogo ukawa unapita kichwani kwangu kwa awamu kama feni yenye panga moja, vuuum, vuuum, vuuum.

Ikabidi niondoke pale maana nikaona siconcentrate na nnachofanya. Nikaenda bedroom nikajilaza kitandani. Sikuchukua muda usingizi ukanipitia. Kuja kustuka nikacheki saa ya kwenye simu ni saa saba na nusu usiku. Missed calls kama zote kutoka kwa Diop. Nikampigia, hakupokea. Baada ya muda simu akazima kabisa. Itakua kamind au?

Ikabidi nibadilishe nguo ili nilale vizuri maana nlikua nmelala na nguo nlizovaa nikitaka kumsindikiza Ras. Nikapiga nightdress yangu ya pink, nikarudi bed. Badae nikakumbuka Ras hana shuka pale alipo, nikasema ngoja walau nikamfunike.

Kufika kwenye kochi alilolala nikaona alijiweka comfortable zaidi. Maana alikua kavua shati ila alirudi usingizini tena. Nikalinyoosha shuka nikaanza kumfunika miguuni, nlipofika kiunoni macho yakagota mashineni. Walahi kidogo nimguse sema nikajizuia. Nikaendelea kumfunika hadi kifuani, pale kifuani ndo pakawa hapafunikiki, maana kila nikipafunika napafunua tena kupaangalia, jamani, nyie acheni tu, Mungu anajua kuumba.

Katika kushangaa kwangu, si Ras akastuka. Akanikuta nimepiga magoti nimeshika shuka, niko karibu kabisa na alipo. Macho yakakutana, akasmile. Sjui hata alichotabasamia. Bt kuna mtu alisema tabasamu huambukiza, nikajikuta nasmile pia. Macho yake yakahamia kifuani kwangu, na mm nae badala niondoke nikabaki tu pale najishangaa kwa nn siondoki.

“Asante kwa shuka Zoya, nlishaanza hisi baridi", maneno yake ndo kama yakanizindua hivi. Nikasimama, najua alitamani walau aniguse maana hiki kinight dress changu kwanza ni kifupi alafu transparent. Sikuatka kujifichaficha wala sikua na aibu, kwanza Ras hakuna kitu changu hajawahi kiona. Wakati naondoka nikamgeukia, nikakuta kanikodolea mimacho. Yani wanaume, matako yaliwafanyaje hahahah.

“Unaeza lala chumba cha wageni utakua comfortable zaidi", nikamwambiankwa sauti yangu ya upole. akafikiria kwa muda akasema poa. Nikamuonesha kwa ishara “ni mlango ule wa mwisho, hakiko organized sana utanisamehe" akaitikia "usjali, u have been very kind". Nikamuacha. Sku hiyo usingizi ulikuja kwa taabu. Yaani kukawa na mgongano wa mawazo kichwani. Maana sielewi what im going through. I love Diop, tena sana, ila mbona mbele ya Ras napoteza netwek.

Asubuhi nimeamka mapema tu,. Najuaga Ras anapenda kahawa, so nikamtengenezea na sausages kadhaa na kumkaangia mayai nikaviacha mezani nikarudi room. Then nikakumbuka ile room ya wageni alikolala Ras ndo nimevitupia vitabu vyote ambavyo nlikua navinunua kule kijiweni kwake. Nikapanik, maana akiviona sijui atareact vipi.

Ghafla mlango wa chumba changu ukafunguliwa, kabla hata sijakasirika, kushangaa au kugomba kwanini anaingia room kwangu bila hodi, nikamuona Ras amesimama mlangoni mkononi kashika vitabu kadhaa nlivyonunua kwake. Nikajaribu kumsoma reaction yake wala hasomeki, ananiangalia tu, na mm namuangalia.

“So its you", ndo maneno yaliyomtoka hatimae. Nikaitikia kwa kichwa tu maana sikujua natakiwa niombe msamaha au nijisifu. Nikawa nimetizama chini. Nikahisi ananisogelea, kuinua kichwa huyu hapa kashafika. Machoni kwake machozi yakawa yanamlengalenga. Kwa huruma nliyonayo, nikashangaa mm ndo nadondosha chozi la kwanza. Akanihug, ile kwa nguvu kama anaogopa nitakimbia. Ndo nikaona nae analia. Ikabidi nimbembeleze, shhhhhh, don’t cry man. Don’t cry

“Thank you", akajikuta anatamka baada ya kumtuliza. Akataka kujichomoa nikamng'ang'ania. Akabaki ananiangalia. Ras nae, hajuagi hata kujiongeza. Ikabidi mimi ndo nimsogezee lips. Akazipokea vizuri tu. That kiss reminded me of so many moments with him. I felt like home in his arms.

Bahati mbaya au sijui niseme nzuri, nlikua nimevaa hivi vibukta vifupi vya cotton, na sikua nimevaa chupi ndani. Huku juu nlikua na tshirt flani pana la kilimanjaro marathon lakini fupi, yaani nikinyanyua mikono kiuno kinakua wazi ila nikiishusha inakifunika. So Ras akawa anaenjoy tu mwili wangu. Anatambaa kutoka kiunoni hadi kifuani. Mguso wake ulinipa raha ya hatari, nikawa najihisi kama yani amenizunguka kila eneo la mwili wangu. Nilivo fala eti nikaingiza mkono kwenye suruali yake nimguse mashine yake, ebana eeh, nlivoishika nikahisi natoka vipele vya msisimko.

Akanibeba akanirushia kitandani. Ile kunibwaga kitandani, miguu ikawa huku na huku, na kwakuwa sikua nimevaa chupi, akawa ameona kila kitu. Alichofanya kabla hajapanda kitandani akavua nguo zake zote. Utafikiri nlikua nimesahau Ras anadude kubwa, nikajikuta nashangaa kabisa kama ndo namuona mara ya kwanza. Akatabasam. Nikaona namm nitoe zangu. Tukabaki watupu kabisa, tayari kwa mechi.

Mara nasikia honi nje ya geti. Nikashtuka, ikabidi nikurupuke nivae fasta. Ras nae akabeba nguo zake mkononi kaenda room kwake…

Tukutane jumamosi Mungu akitupatia uhai.

Wasalaam

Kiga.

View attachment 1484281
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom