Kwanza kaka pole sana kwa matatizo hayo.Wadau habari za muda huu.
Juzi alhamisi nikiwa mitaa ya Sinza kwenye saluni flani nilipoteza simu yangu ninayotumia mara nyingi. Bahati nzuri details zote za simu nilikua nimezihifadhi home.
Siku hiyo hiyo nikatoa taarifa kituo cha polisi. Kwa kweli kuna baadhi ya maafande nchi hii wako vizuri mno. Bila kuombwa rushwa wala usumbufu, leo mida ya saa sita nikapigiwa simu niifuate simu yangu.
Hii inaweza kuja kuwa stori nyingine kwa wakati mwingine. Ila shukrani nyingi kwako afande mwenye jina kama mkoa mmojawapo nchini. Kwa weledi na kasi ya ajabu ya kufuatilia.
Kukosa simu kwa siku hizi mbili zilifanya nishindwe kuandika kikamilifu. Leo baada ya kuipata simu yangu nimeandika muendelezo ila haujakaa sawa mpaka sasa.
Hivyo kwa heshima na taadhima naomba niilete kwenu kesho kabla ya saa 12 jioni.
See u kesho wadau. Poleni sana na asanteni kwa uvumilivu
Kumbe mechi zenyewe kesho. Ngoja nikomae nayo
Mkuu kwanza pole kwa yaliyokukuta. Naomba ututauie ni detail gani za kutunzwa tunapoibiwa simu tuzitumie kurepoti oolisi tatizo hilo.Shukrani sana boss
Atakuwa afande Mwanza huyoWadau habari za muda huu.
Juzi alhamisi nikiwa mitaa ya Sinza kwenye saluni flani nilipoteza simu yangu ninayotumia mara nyingi. Bahati nzuri details zote za simu nilikua nimezihifadhi home.
Siku hiyo hiyo nikatoa taarifa kituo cha polisi. Kwa kweli kuna baadhi ya maafande nchi hii wako vizuri mno. Bila kuombwa rushwa wala usumbufu, leo mida ya saa sita nikapigiwa simu niifuate simu yangu.
Hii inaweza kuja kuwa stori nyingine kwa wakati mwingine. Ila shukrani nyingi kwako afande mwenye jina kama mkoa mmojawapo nchini. Kwa weledi na kasi ya ajabu ya kufuatilia.
Kukosa simu kwa siku hizi mbili zilifanya nishindwe kuandika kikamilifu. Leo baada ya kuipata simu yangu nimeandika muendelezo ila haujakaa sawa mpaka sasa.
Hivyo kwa heshima na taadhima naomba niilete kwenu kesho kabla ya saa 12 jioni.
See u kesho wadau. Poleni sana na asanteni kwa uvumilivu
mateso bila chuki Fanya kuchangamsha vidole 💚😂😂
Ile imei namba ni muhimu kuitunza. Popote itakapokua inatumika itaonekana na polisi wanaohusika na cyber crime wanaifuatilia. Case yangu, wazazi wa dogo aliyesepa nayo waliiwasilisha wenyewe baada ya kuona kijana anafuatiliwaMkuu kwanza pole kwa yaliyokukuta. Naomba ututauie ni detail gani za kutunzwa tunapoibiwa simu tuzitumie kurepoti oolisi tatizo hilo.
Afande Moshi,Wadau habari za muda huu.
Juzi alhamisi nikiwa mitaa ya Sinza kwenye saluni flani nilipoteza simu yangu ninayotumia mara nyingi. Bahati nzuri details zote za simu nilikua nimezihifadhi home.
Siku hiyo hiyo nikatoa taarifa kituo cha polisi. Kwa kweli kuna baadhi ya maafande nchi hii wako vizuri mno. Bila kuombwa rushwa wala usumbufu, leo mida ya saa sita nikapigiwa simu niifuate simu yangu.
Hii inaweza kuja kuwa stori nyingine kwa wakati mwingine. Ila shukrani nyingi kwako afande mwenye jina kama mkoa mmojawapo nchini. Kwa weledi na kasi ya ajabu ya kufuatilia.
Kukosa simu kwa siku hizi mbili zilifanya nishindwe kuandika kikamilifu. Leo baada ya kuipata simu yangu nimeandika muendelezo ila haujakaa sawa mpaka sasa.
Hivyo kwa heshima na taadhima naomba niilete kwenu kesho kabla ya saa 12 jioni.
See u kesho wadau. Poleni sana na asanteni kwa uvumilivu

Final touches sioMzigo unaeditiwa. Soon unawajia