Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,623
Nimetembelea hii site, what is wrong with this site?.wamepandisha site hii kinyume ya sheria zote za copyright: www.chadema.org
- Kwani neno Chadema ni patent name?.
- Ukisema au ukiandika Chadema lazima umaanishe ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo?.
- Kama Chadema sio patent name ina maana ni neno ambalo halina copyright na mtu yoyote yuko huru kulitumia neno hilo vyovyote vile anapenda ikiwemo kupandisha website ya Chadema na kuweka kitu chochote kwenye website hiyo!.
- Jee kuna taasisi yoyote inayouzwa Chadema.org?. Kama hakuna taasisi yoyote iliyosajiliwa mahali popote duniani kwa jina la Chadema.org, then mtu yoyote yuko huru kusajili taasisi yenye jina la chadema.org na yuko huru kupandisha website ya chadema.org na akawa hajafanya kosa lolote la kimtandao.
- Na sio tuu kila mtu yuko huru kuannzisha chadema.org bali pia yuko huru kupandisha ccm.org, samia.org, kikwete.org, brazaj.org, or any other org with anyname na akawa hajafanya kosa lolote la kimtandao.
- Kwa taarifa yako, zaidi ya hii jamiiforums yetu, kuna website ya jamiiforums.halisi!. Zaidi ya taasisi ya Maxence Mello inayo host jamiiforums hii yetu ambayo ni Jamii Inc. Kuna Jamii Media ya Mike Mushi ambayo nayo ina run jamiiforums yake!.
- Kama kwenye hiyo chadema.org wangeandika chochote kuhusu kuwa hiyo ni website ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo yaani Chadema, hapo sasa Chadema ndio have the right kuingilia
- Kama wameweka offensive contents, kama child sexual abuse material za pornography or any content that depicts sexually explicit activities involving known people, unaweza kuwaripoti
- Kama ni website ya kutukana viongozi au kuhamasisha jambo lolote linalokwenda kinyume cha katiba, sheria, taratibu, kanuni, desturi, maadili ya kitanzania, unaweza kuwaripo!.
- Lakini hiyo website imeweka picha moja tuu ya mtu yenye maneno ya kumpongeza huyo mtu, bila neno jingine lolote, ina tatizo gani hadi ifungwe?.
Cha Mapinduzi, so does sio kila neno Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Mifano ipo!.
P