wee mbona umenitukana? kwatafsiri yangu lakini.mimi kamba ya mguuni naitoa wapi?nimekuwa kuku mgeni?Ulichoandika ni matusi jifunze kuandika kwa ufasaha ungali na kamba mguuni
Muda haujawahi kudanganyaNgoja tuone...
Binafsi sijaelewa.Chawa wamechachawa la kufanya halijulikani.
Mwenye chawa kawaasa kiutu uzima kujikita kwenye kujibu kwa hoja wala si matusi.
"Mezani kuna ugumu wa maisha, mfumuko wa bei, kodi, tozo na uwajibikaji. Mzizi mkuu ukiwa katiba"
Majibu ya hoja wakayapate wapi sasa huku nao ni wahanga tu?
Eti kumbe huu nao ni ujanja wao. Hivi wamepandisha site hii kinyume ya sheria zote za copyright: www.chadema.org
Chadema ni haki yenu kufuatilia kuishusha chini hii site.
Haipo shaka kuwa ni yenye kumilikiwa na chawa uchwara hawa hawa.
Mkuu, Pasco wewe umesomea sheria hivi kweli kwenye intellectual property rights unaweza ukapata patent ya jina ? Are you serious ? ninaanza kupata mashaka na taaluma yako😳Jee Chadema wame patent neno Chadema?. Kama wamepatent then they go forward