Kulitolewa wito kuwataka vyama kufanya siasa za kistaarabu.
Kama vile wametumwa yamezuka magenge ya chawa yenye rabsha na uzushi wa kila aina mitandaoni, kupalilia fitna zozote ndani ya vyama vingine.
Kwamba wenye chawa hawakemei hali hizi yawezekana ndiyo sera zao.
Torati ya Mussa inafundisha "jicho kwa jicho."
Walileta na wanaleta mapandikizi vyamani wakiwemo vipenyo. Hii haiwezi kuwa haki yao peke yao kutoka kwa mola.
Ushauri wa kunyooka nao hauwezi kuwa kwao dhidi ya wengine tu.
Upotoshaji, uchochezi na kupika migogoro haiwezi kuwa wao kwa wengine tu.
Espionage, destabilization nk haiwezi kuwa wao dhidi wengine tu.
"Eye for an eye" kama ibada haijaacha kuleta adabu.
-----------
https://www.jamiiforums.com/threads/chawa-wapandisha-site-fake-kwa-niaba-ya-chadema.2060655/
https://www.jamiiforums.com/threads/mgogoro-wa-lissu-na-mbowe-mzee-edwin-mtei-aingilia-kati.2062234/
Kama vile wametumwa yamezuka magenge ya chawa yenye rabsha na uzushi wa kila aina mitandaoni, kupalilia fitna zozote ndani ya vyama vingine.
Kwamba wenye chawa hawakemei hali hizi yawezekana ndiyo sera zao.
Torati ya Mussa inafundisha "jicho kwa jicho."
Walileta na wanaleta mapandikizi vyamani wakiwemo vipenyo. Hii haiwezi kuwa haki yao peke yao kutoka kwa mola.
Ushauri wa kunyooka nao hauwezi kuwa kwao dhidi ya wengine tu.
Upotoshaji, uchochezi na kupika migogoro haiwezi kuwa wao kwa wengine tu.
Espionage, destabilization nk haiwezi kuwa wao dhidi wengine tu.
"Eye for an eye" kama ibada haijaacha kuleta adabu.
-----------
https://www.jamiiforums.com/threads/chawa-wapandisha-site-fake-kwa-niaba-ya-chadema.2060655/
https://www.jamiiforums.com/threads/mgogoro-wa-lissu-na-mbowe-mzee-edwin-mtei-aingilia-kati.2062234/