Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,608
Hebu contact na game keepers about nature and characteristics za huyo mnyama. In short it is dangerous animal
Nawajua sana hao wanyama. Kwanza sisi Tanzania hatuna chatu wakubwa. Chatu wakubwa, reticulated pythons wanapatikana Asia. Na majoka makubwa kwa girth ni ma Anaconda ya South America.
Kwa hiyo inaniwia vigumu sana kuamini kuwa vichatu vyetu vinaweza kumeza mtu. Acheni uzushi
Sikatai kuwa ni wanyama hatari kwa sababu wanaweza kabisa kuua mtu. Lakini kummeza mzima mzima.....uuuuum try again