Chatu afa baada ya kumeza Nungunungu

Chatu afa baada ya kumeza Nungunungu

Oooh Maskini.. kwahiyo wamepoteza vivutio vya utalii viwili kwa wakati mmoja..!! Pole zao mingi.

BACK TANGANYIKA
 
fisad lowasa ni nungunungu..chatu ni msfisad ya cc ccm....acha wehu wamalizane sisi tupo tayar kwenda makaburin kuzika
 
Cdm wanataka kumeza act, yatawapata ya kisa cha chatu na nungunungu.
 
chatu huko aliko anajutia uchu wake, nungunungu anacheka kamaliza uonevu wa jamaa (chatu).
 
Back
Top Bottom