nungu nungu mkubwa hivyo mkuu? kama ndama vile
Ange mmezaje kwa mbele , ufafanuzi plz?
Kumbe chatu ni kama yalivyokuwa mabasi ya uda ya china yaliyokuwa yanaitwa ikarus kumbakumba hayakuacha wasafiri .chatu alishindwa kubeba abiria ,kazi kwake !
AnaliwaMhh hatari,huyu mnyama nungunungu analiwa?..