👇🏿hii ni mara 4250 anaenda kanda ya ziwa.
Never!😤Itakua public holiday au?
Ataenda wapi?Kanda ya Ziwa ndo kuna wapiga kura wa CCM lazima ajikombe!,ila baada ya uchaguzi na akashinda hataonekana Kanda ya ziwa tena
Unategemea wataenda bure? thubutuPosho hadi kwenye misiba?
Ni mwendo wa kutafuna pesa ya ummaWAHUNI KAZINI!
Ngoja zipigwe pesaHitima ya Rais hiyo, siyo ya maandazi na chai
Lemutuz ni kama malaya wa kona bar yeye lolote kwake lenye ulaji ndio hutembea nalo,alikua chawa kindakindaki wa bashiteHahahahaha
Taifa letu huenda linaongoza kwa Unafiki Duniani kwa sasa
Namsoma Lemutuz muda huu anamuasa Makonda kutulia kwa kuwa sasa hivi analipia gharama za udhalimu wake wakati enzi zile ilikuwa haipiti siku hajaandika Le commandant Field Mashal sijui kanyaga twende tumechelewa sana na fyoko fyoko zingine kibao…walio madarakani wana cha kujifunza
Hazilingani na zile ulizotuchangisha kwenye harusi yako tukaishia ndizi moja , ubawa kuku na malta ya motoHapa itapigwa kama 2B ya maandalizi na posho
UONGOSio mbaya kuchangamsha Uchumi
Wakati wa Great depression ya America 1929-1933 moja ya vitu walivyofanya kutoka huko ni kuruhusu vishughuli hivi vya kijinga jinga ki boost mzunguko wa fedha
Hapo zamani: Edward Lowassa ni Fisadi Namba mojaUnafiki ni dhambi baya sana, ccm unafiki wenu hata shetani anawashangaa
Sawa BashiteHazilingani na zile ulizotuchangisha kwenye harusi yako tukaishia ndizi moja , ubawa kuku na malta ya moto
Si iwe public holiday tulale nyumbani tu.Rais Samia Suluhu kuongoza kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha hayati Magufuli itakayofanyika kwenye uwanja vya Magufuli uliopo Chato, March 17 mwaka huu.
Naona ndugu kmbwembwe sasa atashiriki mwaka mmoja wa Samia..
========
Geita. Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli itakayofanyika Machi 17, 2022 katika Uwanja wa Magufuli uliopo mjini Chato.
Baadhi ya viongozi watakaoshiriki hafla hiyo ni makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi.
Hayo yameelezwa leo Jumapili Machi 13, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyemule wakati akiwasalimia waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Upendo mjini hapa na kuwataka wajitokeze kushiriki hafla hiyo.
Senyamule amesema Serikali kwa kushirikiana na familia ya hayati Magufuli wamekusudia kufanya kumbukumbu ya mwaka mmoja ikiwa ni njia ya kumkumbuka kiongozi huyo.
Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka 2021 katika Hospitali ya Mzena iliyopo jijini Dar es salaam baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Mwananchi
🤣🤣🤣🤣🤣Write your reply...Ujinga
Familia ya Ben inajitambua na hufanya kumbukumbu kama suala la familia ,ndugu na jamii yake.Hujiepusha na unafiki wa binadamu!Lupaso ilifanyika, ila hakukuwa na utitili wa wanafiki (wanasiasa)
Ilikuwa ni ya kiroho zaidi, ikihusisha familia na ndugu wa Ben, jamii yake, na viongozi wa imani yake Ben (Katoliki)