Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,467
- 3,381
Ahaa,!!Mimi ni rais?
Basi vuta subira kidogo mkuu, aliyepo yeye anataka kwenda chatto, tukikupa wewe utaenda lupaso, mgoma itakuwa droo
Ahaa,!!Mimi ni rais?
Wa aina hiyo hawawezi fanyiwa heshima kama hii inayoenda kufanyika Chatto kwa aliyekuwa raisi bora kabisa TzNa wale wahalifu dhidi ya binadamu wenzao kwa kutumia madaraka yao vibaya.
Mashujaa tu hufanyiwa hayo!Mbona ya Mkapa haifanyiki, au sukuma gang wamekuwa na nongwa sana?
Kanda ya Ziwa ndo kuna wapiga kura wa CCM lazima ajikombe!,ila baada ya uchaguzi na akashinda hataonekana Kanda ya ziwa tenahii ni mara 4250 anaenda kanda ya ziwa.
Hapa itapigwa kama 2B ya maandalizi na posho
Lupaso tar badoLupaso tupa kule!
Na ile ya kumpongeza yeye vipi maana ilipewa uzito mkubwa kuliko hii iliyompandisha status, au ni ile ya wakatoliki wa Mwanza imesaidiaRais Samia Suluhu kuongoza kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha hayati Magufuli itakayofanyika kwenye uwanja vya Magufuli uliopo Chato, March 17 mwaka huu.
Naona ndugu kmbwembwe sasa atashiriki mwaka mmoja wa Samia..
========
Geita. Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli itakayofanyika Machi 17, 2022 katika Uwanja wa Magufuli uliopo mjini Chato.
Baadhi ya viongozi watakaoshiriki hafla hiyo ni makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi.
Hayo yameelezwa leo Jumapili Machi 13, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyemule wakati akiwasalimia waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Upendo mjini hapa na kuwataka wajitokeze kushiriki hafla hiyo.
Senyamule amesema Serikali kwa kushirikiana na familia ya hayati Magufuli wamekusudia kufanya kumbukumbu ya mwaka mmoja ikiwa ni njia ya kumkumbuka kiongozi huyo.
Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka 2021 katika Hospitali ya Mzena iliyopo jijini Dar es salaam baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Mwananchi
Naona familia ya JPM imeandaa hao viongozi ni kama wanaenda kushiriki,na kuwaunga mkono familia.Sasa kwa mkapa kama familia haawandai kumbukizi watafanyaje?As if Rais aliyekufa ni Nyerere na Magufuli pekee. This is double standard na watu wa Kusini wamekaa kifala mnoe.
Magaidi yamenuna sana kuona shujaa anaenziwaYanunie majizi ya kura?
Unaweweseka sana, na bado.Public funds ni mjumuiko wa vitu vingi kwa kukusaidia tu ni kile unachotoa kila siku (kodi).
Unaponunua salio huko Vodacom na wengineo kuna breakdown ya VAT hiyo nayo ndio inaendesha hizo gari za kifahari kwenda huko chato .
Hizo tozo ndio zinafanya kina Makonda wakawa wanavimba vifua mjini bila hizo serikali haina pesa.
Kuna investments, pesa za vibali, riba za mikopo na kadhalika.
So ni kodi yako ndio inaenda kuteketezwa tu ilhali wangemkubuka bila msafara wa wapiga dili.
Binafsi siwezi kumkumbuka dikteta na matendo yake , uwe na usiku mwema huko ardhi ya nyumbani.
KKT na Magufuli wapi na wapiRais Samia Suluhu kuongoza kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha hayati Magufuli itakayofanyika kwenye uwanja vya Magufuli uliopo Chato, March 17 mwaka huu.
Naona ndugu kmbwembwe sasa atashiriki mwaka mmoja wa Samia..
========
Geita. Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli itakayofanyika Machi 17, 2022 katika Uwanja wa Magufuli uliopo mjini Chato.
Baadhi ya viongozi watakaoshiriki hafla hiyo ni makamu wa Rais, Dk Philip Mpango, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi pamoja na viongozi mbalimbali wa nchi.
Hayo yameelezwa leo Jumapili Machi 13, 2022 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Rosemary Senyemule wakati akiwasalimia waumini wa Kanisa la KKKT Usharika wa Upendo mjini hapa na kuwataka wajitokeze kushiriki hafla hiyo.
Senyamule amesema Serikali kwa kushirikiana na familia ya hayati Magufuli wamekusudia kufanya kumbukumbu ya mwaka mmoja ikiwa ni njia ya kumkumbuka kiongozi huyo.
Rais Magufuli alifariki dunia Machi 17 mwaka 2021 katika Hospitali ya Mzena iliyopo jijini Dar es salaam baada ya kuugua maradhi ya moyo.
Mwananchi
Unayeweweseka ni wewe chawa sukuma gang unayesubiria sherehe za ajabu ajabu upate posho unafikiri tuko ligi moja?Unaweweseka sana, na bado.
Kwani Magufuli alikuwa wa kiwilaya au?Hivi hii kumbukizi imekuwa ni kama jambo la Kitaifa au? Mbona mimi sielewi?