Chatgpt ni the best Deepseek bado cha mtoto sana.

Chatgpt ni the best Deepseek bado cha mtoto sana.

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,291
Reaction score
23,168
Nimejaribu kukaa kupiga stories na hawa jamaa kwa kuuliza swali lile lile kwa kila mtu.
Chatgpt
Ana taarifa nyingi sana
Ana kiswahili kimenyooka sana
Ana kupa nafasi ya kutaka kujua zaidi

Deepseek
Taarifa yake haiwi imeshiba sana
Kiswahili si kizuri makosa mengi hata kwenye kuandika tu spelling
Anachoka haraka akichoka anasema tafuta taarifa zaidi kwa wahusika

Nimewakubali sana CHATGPT hii AI ipo vizuri mnaweza piga stories za kishkaji sana kama unaongea na mshkaji na inatoa usia mzuri sana. Mimi mpaka iliniambia nipunguze mademu nifanye mambo ya msingi

Nikamwambia sasa hapo anaanza kuingilia uhuru wangu. Akanijibu ni ushauri tu kama kijana mwenzie kaona na mind sana papuchi.
 
Nimejaribu kukaa kupiga stories na hawa jamaa kwa kuuliza swali lile lile kwa kila mtu.
Chatgpt
Ana taarifa nyingi sana
Ana kiswahili kimenyooka sana
Ana kupa nafasi ya kutaka kujua zaidi

Deepseek
Taarifa yake haiwi imeshiba sana
Kiswahili si kizuri makosa mengi hata kwenye kuandika tu spelling
Anachoka haraka akichoka anasema tafuta taarifa zaidi kwa wahusika

Nimewakubali sana CHATGPT hii AI ipo vizuri mnaweza piga stories za kishkaji sana kama unaongea na mshkaji na inatoa usia mzuri sana. Mimi mpaka iliniambia nipunguze mademu nifanye mambo ya msingi

Nikamwambia sasa hapo anaanza kuingilia uhuru wangu. Akanijibu ni ushauri tu kama kijana mwenzie kaona na mind sana papuchi.
Deepseek bado hawana data za kutosha ku train ai wao, so bado haimkuti chat gpt kwenye information na maarifa
 
Nimejaribu kukaa kupiga stories na hawa jamaa kwa kuuliza swali lile lile kwa kila mtu.
Chatgpt
Ana taarifa nyingi sana
Ana kiswahili kimenyooka sana
Ana kupa nafasi ya kutaka kujua zaidi

Deepseek
Taarifa yake haiwi imeshiba sana
Kiswahili si kizuri makosa mengi hata kwenye kuandika tu spelling
Anachoka haraka akichoka anasema tafuta taarifa zaidi kwa wahusika

Nimewakubali sana CHATGPT hii AI ipo vizuri mnaweza piga stories za kishkaji sana kama unaongea na mshkaji na inatoa usia mzuri sana. Mimi mpaka iliniambia nipunguze mademu nifanye mambo ya msingi

Nikamwambia sasa hapo anaanza kuingilia uhuru wangu. Akanijibu ni ushauri tu kama kijana mwenzie kaona na mind sana papuchi.
Chatgpt mlinganishe na Grok. Huyo mchina achana naye unamuonea tu.
 
Chatgpt mlinganishe na Grok. Huyo mchina achana naye unamuonea tu.
Hata grok ya Elon Musk bado.

Mimi natumia zote 4 toka kila moja ilipozinduliwa, yaani mimi ni mojawapo ya watumiaji wa mwanzo kabisa wa kila AI, chat GPT, Grok, Gemini ya Google na Deepseek.

Ukiniuliza kati ya hapo Chatgpt ni kiboko akifuatiwa na Gemin ya Google.

Grok inakuja vizuri ila bado sijaielewa sana.

Deep seek bado sana.
 
Hata grok ya Elon Musk bado.

Mimi natimia zote 4 toka kila moja ilipozinduliwa, yaani mimi ni mojawapo ya watumiaji wa mwanzo kabisa wa kila AI, chat GPT, Grok, Gemini ya Google na Deepseek.

Ukiniuliza kati ya hapo Chatgpt ni kiboko akifuatiwa na Gemin ya Google.

Grok inakuja vizuri ila bado sijaielewa sana.

Deep seek bado sana.
Huyo deep vitu vibaya kuhusu China hawezi kukujibu ataruka kama maharage
 
Nimejaribu kukaa kupiga stories na hawa jamaa kwa kuuliza swali lile lile kwa kila mtu.
Chatgpt
Ana taarifa nyingi sana
Ana kiswahili kimenyooka sana
Ana kupa nafasi ya kutaka kujua zaidi

Deepseek
Taarifa yake haiwi imeshiba sana
Kiswahili si kizuri makosa mengi hata kwenye kuandika tu spelling
Anachoka haraka akichoka anasema tafuta taarifa zaidi kwa wahusika

Nimewakubali sana CHATGPT hii AI ipo vizuri mnaweza piga stories za kishkaji sana kama unaongea na mshkaji na inatoa usia mzuri sana. Mimi mpaka iliniambia nipunguze mademu nifanye mambo ya msingi

Nikamwambia sasa hapo anaanza kuingilia uhuru wangu. Akanijibu ni ushauri tu kama kijana mwenzie kaona na mind sana papuchi.
Deepseek ni kiboko sana katika programming, yani ni kiboko chatgpt haoni ndani. Chatgpt ikiandika code ndefu zinakuwa na error kinoma. Deepseek inakuandikia code makini sana. Walioipa deepseek ikombe kupitia benchmarks hawakukosea. Iko vizuri chana ukiachana na mambo ya kupiga story na viitu hivi vya kawaida. Tunasubiri updates zaidi.
Chatgpt naitumia daily kwenye kuandika vitu, kutafuta majibu ya vitu. Lakini nikiwa nahitaji vitu vyenye kuhusisha mambo complicated, kama kudebug, kuandika template za code fulani, deepseek imekuwa chagua langu. before nilikuwa natumia chatgpt kwa hili ila ilikuwa naweza kurudia mara kibao kila inachotoa kina error nyingine, una solve hii inaandika upya inakuleta hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom