ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 18,866
- 44,567
- Thread starter
- #221
Asante kwa maoni mkuuKwa mantiki ya mtu mwema na mtu mbaya, binafsi ninafit kote itategemea tu na mhusika ananisoma vipi, na sijali.
Hayupo mtu mbaya wala mwema wa muda wote. Ila itategemea mawazo yanayomtawala mtu, ama ni ya kujenga ama kuharibu/ubinafsi.
Kwaiyo mawazo tawala ndo yata define huyu mtu anaegemea upande upi. Mfano ukituliza fikra bila kuwa na bias yoyote ukikutana na stranger kuna mawasiliano utayapata kuhusu huyo mtu na utahisi either kuvutwa ama kuwa nae mbali hii itatokana na wewe mawazo yapi yanakutawala maana like attract like.
Upande wa tabia, mara zote nikiona mtu anayependa kujizungumzia sana ama kuzingumzia wengine vibaya muda wote huyo tayari namuweka kwenye kundi la wabinafsi(hafai kuwa nae karibu).
Karibu tena