Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,804
Ndio mkuu
Ndio mkuu
Zote mbili mkuu!Kuna wivu alafu kuna wivu wa kipuuzi ule unaofikia hatua ya kuumizana au kuuana
Kwahiyo kumbe chanzo cha wivu wa kimapenzi sio mapenzi!?insecurities zako inasababisha wivu na sio mapenzi uliyonayo kwa huyo mtu....
(nimekosa kiswahili cha hilo neno hapo mwanzo)
Nahisi hili ndo jibu sahihi la swali lakoinsecurities zako inasababisha wivu na sio mapenzi uliyonayo kwa huyo mtu....
(nimekosa kiswahili cha hilo neno hapo mwanzo)
Kuna mande ya hiari, mfano mmoja wapo ni threesome, two guys in single lady, willingly!!Kupigwa mande ni kubakwa, kubakwa sio kitendo cha hiari, ni ukatili wa kijinsia.
Tofautisha hiari na matendo ya kihalifu
Sawia kabisa!!
@ledada, wewe una wivu!!?Nahisi hili ndo jibu sahihi la swali lako
Ili kumtukuza,kumsifu alietuumba na kufanya tuwe na mioyo ya huruma au kinyume ili mapenzi yake yatimizwe tu.
Hapana naumwaga na roho tu
Sasa kama yeye ameridhia nikasirishwe na nini?Kuna mande ya hiari, mfano mmoja wapo ni threesome, two guys in single lady, willingly!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah kwa sababu nature ya binadamu kilichokitamu anataka ale peke yake sasa we jiulize anaenda kufanya usaliti ni mwingine tena anaenda kutumia viungo vyake vya mwili wake sasa kwa nini unaumia wewe kama sio uchoyo, Utasikia tatizo akipata ugonjwa au mimba je? Jibu lake hapa ni kuwa kwa nini usimshauri nenda dear ila tumia kondomSawia kabisa!!
Kwamba wivu maana yake ni choyo, kutotaka na wenzako wafaidi kama wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaani Billie, upo sawa kabisa, japo na wewe una wivu!!Yeah kwa sababu nature ya binadamu kilichokitamu anataka ale peke yake sasa we jiulize anaenda kufanya usaliti ni mwingine tena anaenda kutumia viungo vyake vya mwili wake sasa kwa nini unaumia wewe kama sio uchoyo, Utasikia tatizo akipata ugonjwa au mimba je? Jibu lake hapa ni kuwa kwa nini usimshauri nenda dear ila tumia kondom
Sent using Jamii Forums mobile app