Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Kumekuwa na hili swali watu wengi wamekuwa wakiuliza kuhusiana na team yetu ya Taifa. Ambayo imekuwa mara nyingi ikichukiwa na baadhi ya watu.
Kwa nchi nyingine teams zao za Taifa zimekuwa chanzo cha upatanisho kwa wananchi. Yaani inapocheza wanasahau tofauti zao za kisiasa, kiimani, kiitikadi na kuwa kitu kimoja
Tanzania inakuwa kinyume. Siasa imeingizwa mpaka kwenye teams na hata team ya Taifa. Na kuwagawanya wananchi kiasi kumekuwa na chuki ya wazi kwa hii team na watu kuiombea ifungwe. Hili linasababisha hata wachezaji wacheze pasipo morali au uzalendo. Ndani ya team bila shaka wapo wachezaji wenye itikadi tofauti kisiasa. Ilipaswa hii team ibaki ni ya Taifa na si ya chama.
Leo inaanza match yake ya kwanza AFCON. tizama watu watakavyofurahi ikifungwa. Huwezi walaumu. Sababu ikitokea ikashinda anaenda kupewa pongezi mtu au chama jambo ambalo si sahihi.
Michezo itumike kuunganisha watu si kugawanya.
Kwa nchi nyingine teams zao za Taifa zimekuwa chanzo cha upatanisho kwa wananchi. Yaani inapocheza wanasahau tofauti zao za kisiasa, kiimani, kiitikadi na kuwa kitu kimoja
Tanzania inakuwa kinyume. Siasa imeingizwa mpaka kwenye teams na hata team ya Taifa. Na kuwagawanya wananchi kiasi kumekuwa na chuki ya wazi kwa hii team na watu kuiombea ifungwe. Hili linasababisha hata wachezaji wacheze pasipo morali au uzalendo. Ndani ya team bila shaka wapo wachezaji wenye itikadi tofauti kisiasa. Ilipaswa hii team ibaki ni ya Taifa na si ya chama.
Leo inaanza match yake ya kwanza AFCON. tizama watu watakavyofurahi ikifungwa. Huwezi walaumu. Sababu ikitokea ikashinda anaenda kupewa pongezi mtu au chama jambo ambalo si sahihi.
Michezo itumike kuunganisha watu si kugawanya.