Fortyseven
JF-Expert Member
- Oct 30, 2020
- 1,482
- 2,705
AiseeMkuu usipoteze muda wako kujifunza upuuzi wa Allah na kipenzi chake muhammad.
kwann allah awaamuru viumbe wasujudie tena kiumbe ambaye si allah nisaidie tafadhalWw unaujua ukweli mna apo ulipotaja iyo aya ya mwanzo mbele yake ndo kwenye majibu sasa sijui lengo lako ni nini
Sibora kobaz wanejaribu kuiweka yenye mantiki kuliko uko kwa makafiri ambapo mnasema malaika walioasi hata wayahudi mnaowaiga hawana hiyo dhana kwenye dini Yao ya Judaism hawaamini Kabsa kama malaika anaweza asiHapo kuna mistake 2 za Allah.
1 ,kasahau kwamba yeye pekee ndiye wa kuabudiwa,kwa amri ambayo agaitoa baadae ije ipingane na tukio hili lililomponza ibilis.
2. Agizo kawapa malaika,adhabu kapewa ibilis kwa kugomea amri,huu ulikuwa uonevu wa wazi.
Ilifaa amri iwataje wote.
Mbona bichwa lako la habari lina swali tofauti na lililo kwenye utumbo wako wa habari?Surat Al-Baqarah (2:34):
"Na tulipowaambia Malaika: Mumsujudieni Adam, wakasujudu isipokuwa Iblis. Alikataa na akajivuna, na alikuwa miongoni mwa makafiri."
Pia inatajwa katika:
- Surat Al-A'raf (7:11–12)
- Surat Sad (38:71–74)
- Surat Al-Hijr (15: 28- 31)
Surat Sad (38:71–72):
"Mwenyezi Mungu alisema: Hakika Mimi ninamuumba mwanadamu kwa udongo. Basi nitakapomtengeneza na kumvuvia roho Yangu, basi angukieni kumsujudia."
Aya ya 73:
"Malaika wote wakasujudu wote pamoja,"
inakuwaje Allah anawaamuru malaika wamsujudie kiumbe aliyeumbwa kama wao ndugu zangu katika imani msaada tafadhal.
nisaidie shetan alitoka wap?? ndani ya quruan tukufu.Mbona bichwa lako la habari lina swali tofauti na lililo kwenye utumbo wako wa habari?
Shetan ni sifa:nisaidie shetan alitoka wap?? ndani ya quruan tukufu.
ibilisi na shetan ni viumbe vi2 tofauti au xote ni sifa?Shetan ni sifa:
"Na hivyo ndivyo tulivyowafanya kila Nabii kuwa na adui—mashetani miongoni mwa wanadamu na majinni..." — Qur’an 6:112
Ibilisi ni jina, shetan ni sifa. Ibilisi ni katika majinni.ibilisi na shetan ni viumbe vi2 tofauti au xote ni sifa?
"Alikuwa miongoni mwa majinni, akamuasi Mola wake." — Qur’an 18:50
sasa ilikuwaje allah anamuamuru jinni amsujudie kiumbe adam........???au wa kusujudiwa ni nani na nan kwa mujibubwa quruan tukufuIbilisi ni jina, shetan ni sifa. Ibilisi ni katika majinni.
Katika Qur’ani, Shetani (Iblis) anatambulika kuwa ni miongoni mwa majinni, si malaika. Hili linaelezwa wazi katika Surat Al-Kahf:
AlooooHapo kuna mistake 2 za Allah.
1 ,kasahau kwamba yeye pekee ndiye wa kuabudiwa,kwa amri ambayo agaitoa baadae ije ipingane na tukio hili lililomponza ibilis.
2. Agizo kawapa malaika,adhabu kapewa ibilis kwa kugomea amri,huu ulikuwa uonevu wa wazi.
Ilifaa amri iwataje wote.
Kwani shetani na Uislam si ni kitu kimoja tu?Surat Al-Baqarah (2:34):
"Na tulipowaambia Malaika: Mumsujudieni Adam, wakasujudu isipokuwa Iblis. Alikataa na akajivuna, na alikuwa miongoni mwa makafiri."
Pia inatajwa katika:
- Surat Al-A'raf (7:11–12)
- Surat Sad (38:71–74)
- Surat Al-Hijr (15: 28- 31)
Surat Sad (38:71–72):
"Mwenyezi Mungu alisema: Hakika Mimi ninamuumba mwanadamu kwa udongo. Basi nitakapomtengeneza na kumvuvia roho Yangu, basi angukieni kumsujudia."
Aya ya 73:
"Malaika wote wakasujudu wote pamoja,"
inakuwaje Allah anawaamuru malaika wamsujudie kiumbe aliyeumbwa kama wao ndugu zangu katika imani msaada tafadhal.
sina ushahidi wa hii aya .Kwani shetani na Uislam si ni kitu kimoja tu?
Hawa si ni kitu kimoja tu au kuna tofauti?Surat Al-Baqarah (2:34):
"Na tulipowaambia Malaika: Mumsujudieni Adam, wakasujudu isipokuwa Iblis. Alikataa na akajivuna, na alikuwa miongoni mwa makafiri."
Pia inatajwa katika:
- Surat Al-A'raf (7:11–12)
- Surat Sad (38:71–74)
- Surat Al-Hijr (15: 28- 31)
Surat Sad (38:71–72):
"Mwenyezi Mungu alisema: Hakika Mimi ninamuumba mwanadamu kwa udongo. Basi nitakapomtengeneza na kumvuvia roho Yangu, basi angukieni kumsujudia."
Aya ya 73:
"Malaika wote wakasujudu wote pamoja,"
inakuwaje Allah anawaamuru malaika wamsujudie kiumbe aliyeumbwa kama wao ndugu zangu katika imani msaada tafadhal.