Kuna kipindi tz ilitaka kuyatumia maji ziwa victoria kwa ajili ya matumizi ya majumbani basi nchi ya misri na sudani pamoja na ethiopia zikazua vikwazo sasa wewe unayebisha source ya nile ni victoria haya tuelezeni source zenu
Hao uliowataja hapo ni kweli walilalamika, but hilo haliwezi kuwa hitimisho kwamba source ya mto nile ni lake victoria.
Na wao kukataza maji kutumika sana sio kosa kwa vile maji yakipungua sana ziwa victoria itafanya amount fulani ya maji kutokwenda kule but hiyo haitakua na maana kwamba maji ya ziwa victoria yasipokwenda kule ule mto utakauka!!!!!
Just jiulize maji ya ziwa victoria yanakuwaje chanzo cha ule mto?
Na kama victoria ni chanzo, kwanini na Kenya isijitangaze kuwa ni source ya ule mto? Au Kenya haihusiani na ziwa victoria?
Ivi haujiulizi kwamba Uganda inajitangaza ni source but licha ya kujitangaza kwao hawasemi Lake Albert ndio source? Unajua kwanini? hicho chanzo kiko kilomita kadhaa kabla ya lile ziwa. After all Lake Albert lenyewe likijaa linapeleka maji kwenye vile vyanzo.
Na jee haujiulizi Kwanini Uganda haisemi source ya mto nile iko lake kyola? wakati lake kyola likijaa ndio linapeleka maji ziwa Albert!!!!!
Sasa Ziwa vitoria likijaa ndio kwanza linapeleka maji Lake kyola.
Si umeona mzunguko huo??????
Angalia na picha.
Before lake Albert, kutoka juu (north lake albert) ndio kuna chanzo cha moja kwa moja kinachopeleka maji mto nile, chanzo hicho hakitegemei maji kutoka lake albert, lake kyola wala lake victoria ingawa maziwa hayo YAKIJAA ndio yanapeleka maji kwa hiko chanzo kinapeleka maji.
Sipendi kuhitimisha but kusema kina Egypt, Sudan na Ethiopia walilalamika haifanyi Ziwa victoria kuwa chanzo.
Unless uelezee vizuri, na sio tu kulazimisha watu waamini coz of malalamiko huku mwenyewe ukilalamika watu sio waelewa. Hapa hatubishani, ukiwa na data weka utaeleweka tu.