Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,591
Kwanini?JF hakuna muhuni. Hakuna muhuni anaweza kuwa member wa JF
Kwanini?JF hakuna muhuni. Hakuna muhuni anaweza kuwa member wa JF
We mbao za shanga acha ujinga basKwa vile media zetu zinapenda ujinga basi zitapeleka camera na vinasa sauti.
Kati yangu na familia nani ana ujinga zaidi?
Sure bro nakubaliana na ww ...achana na huyo mpuuzi asiyejielewaMkuu media zingekuwa kila siku zinaandika habari serious kama mradi wa uchimbaji wa madini ya uranium, katiba ya warioba etc sasa hivi ungekuwa umekufa Kwa msongo wa mawazo Kwa sababu sio nature ya mwanadamu akili yake kupokea habari serious wakati wote.
Usidharau media wala habari kama.hizi coz mchango wake katika maisha yako ni mkubwa mno
Dogo sio kuwa millionaire n pua millionaireKino Clan Stand up,Shout to B.O.B the Click,kuwa Millionaire, We taking over,Oveerr.
Ndo maana shinyanga wanapiga mapanga tuKurogana ili mtu aharibikiwe or asitimize ndoto zake ndo utamaduni wa mwafrica, mfano mzuri ni sisi wote tulipokua shule tukirudi majumbani/kupiga hatua fulani, jamii inayotuzunguka hututizama kwa jicho la husda na chuki.
Hii ni sababu ya waafrica wengi kutotimiza ndoto zao hata kama wamesoma, na ubaya wa uchawi wa aina hii haukudhuru kiafya bali unafunga riziki nakuharibu malengo.
Huu nao ni uzi au takataka tu? Hao wanzamziki wako waambie watulie tu kwanza kizazi hiki washaanza kuwasahau ,wewe umeanza kuwapa promo. Tafuta ada urudi shule mnaanzisha vi nyuzi vya ajabuajabu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kino Clan Stand up,Shout to B.O.B the Click,kuwa Millionaire, We taking over,Oveerr.
Exactly ni hatari sanaNiliwahi kuishi SA way back viunga vya Athlone, Mitchell's Plain na Mowbrey! Mabaharia wa Kitanga walikuwa wameishika biashara ya nyunga! Wao waliita utumiaji wa madawa kuwa ni ALBADIR YA KIHINDI wakimaanisha ngumu kwa mtumiaji kuacha! Sawa na uchawi wa kihindi ngumu kupata tiba!
Sent using Jamii Forums mobile app
Poor Millionaire
Boshen of Bitozz
Him cant answerAsk him