Ni pesa za chama chetu,tuliamua tuziwekezePesa za chama chenu ndizo zilitumika kununua hisa au pesa zake binafsi Rostam?
Ni Kama vile kamati kuu ya chadema ilipoamua iwekeze pesa kwenye chombo Cha propaganda ikaamua kuanzisha Tanzania daima kupitia chairman,matokeo yake ndio hivyo Tenašš