Anza kusaidia nyanya na ndugu zako walioko kijijini choka mbaya kabla ya kufanya uharibifu wa mali zako ..
Choice is yours..wengine mtoto wa dada akimuomba pesa za nauli ya shule hatoi eti anachangia chademu
Huja lazimishwa mama....hivi vyama maskini bwana vinasumbua sana khaah kwani lazima viwepo maana vinaongezea tu mzigo wananchi maskini
Hela ya ruzuku haiwatoshi hadi mnaanza kuwakamua maskini? Jipangeni wazee msije mkajikuta mnachangiwa misaada ya fedha na Al-Shabaab.
Mkuu umesomekaCHADEMA inapenda kukushirisha,wewe mwananchi,mpenda maendeleo,mwanaharakati,na yeyote mwenye mapenzi mema na Taifa la Tanzania.Mchango wako ni wa maana kubwa sana,katika ukombozi wa Taifa.Tafadhali changia CHADEMA
changia Haki
Changia mabadiliko.
MPESA
... ... 0757 755 333
0763 744 334
0763 766 333
0758 003 509
AIRTEL PESA
0684 424 229
0684 424 144
0684 425 222
TIGO PESA
0655 788 333
0718 611 168
0718 611 126
Namba zote zimesajiliwa kwa jina la "CHADEMA ARUSHA.
Mungu akubariki sana
Mimi ni mfugaji nataka nichangie ng'ombe mmoja.Je naweza kumtuma kwa njia ya m-pesa?