Changia CHADEMA

Nanyaro Ephata

JF-Expert Member
Jan 22, 2011
1,221
1,788
CHADEMA inapenda kukushirisha,wewe mwananchi,mpenda maendeleo,mwanaharakati,na yeyote mwenye mapenzi mema na Taifa la Tanzania.Mchango wako ni wa maana kubwa sana,katika ukombozi wa Taifa.Tafadhali changia CHADEMA
changia Haki
Changia mabadiliko.

MPESA
... ... 0757 755 333
0763 744 334
0763 766 333
0758 003 509

AIRTEL PESA
0684 424 229
0684 424 144
0684 425 222

TIGO PESA
0655 788 333
0718 611 168
0718 611 126

Namba zote zimesajiliwa kwa jina la "CHADEMA ARUSHA.

Mungu akubariki sana

 
CHADEMA inapenda kukushirisha,wewe mwananchi,mpenda maendeleo,mwanaharakati,na yeyote mwenye mapenzi mema na Taifa la Tanzania. Mchango wako ni wa maana kubwa sana,katika ukombozi wa Taifa.Tafadhali changia CHADEMA
changia Haki
Changia mabadiliko.

MPESA
0757 755 333
0763 744 334
0763 766 333
0758 003 509

AIRTEL PESA
0684 424 229
0684 424 144
0684 425 222

TIGO PESA
0655 788 333
0718 611 168
0718 611 126

Namba zote zimesajiliwa kwa jina la "CHADEMA ARUSHA.

Mungu akubariki sana


Ahsante sana. Nashauri ili wachangiaji tuwe na imani na mwamko zaidi toeni update za michango hapa hapa
 
hivi vyama maskini bwana vinasumbua sana khaah kwani lazima viwepo maana vinaongezea tu mzigo wananchi maskini
 
Kweli kabisa. Tunahitaji mwongozo ili kujua kuwa hela zitakazochangwa zimeingia mfuko gani na mtoaji apewe feedback ili tuweze kuhoji endapo kuna dalili ya ufisadi
 
Ahsante sana. Nashauri ili wachangiaji tuwe na imani na mwamko zaidi toeni update za michango hapa hapa

Kwakuwa uko kwenye kundi la kupata unawandanganya wananchi..lile kundi la kutumika

Sidhani kama mtu una akili timamu unaweza kutoa pesa zako kumpa meneja wa bar...

Then, utakuwa huna kazi na hizo pesa..anyway inaonekana mnatafuta njia ya kupitisha fedha haram..

Hakuna mwananchi atachangia isipokuwa ni ujanja wa chadema kupitisha hela chafu..polisi na BoT wawe waangalifu..
 
Kweli kabisa. Tunahitaji mwongozo ili kujua kuwa hela zitakazochangwa zimeingia mfuko gani na mtoaji apewe feedback ili tuweze kuhoji endapo kuna dalili ya ufisadi

Ahsante sana. Nashauri ili wachangiaji tuwe na imani na mwamko zaidi toeni update za michango hapa hapa

...Jamani maswali mengi ya nini? nyie wageni nnjii hii nini?ukiwa mfuasi wa vyama hapa ni shurti uwe unaufikiri kwa kutumia moyo badala ya ubongo, hatua zozote za kuwahoji wateule wetu ni utovu wa nidhamu...

...Wewe tuma pesa tu ili wateule wetu waendeleze harakati "zao" kiuraiiniii, hakuna haja ya kuwafanya wawe accountable, by the way uwa hawafanyi makosa, nchi tambarare hii...
 
Naona magamba wameamua kuvuruga thread.

Mkuu Nanyaro usiwajali sana hawa michango inakuja, kama tunalipa mabilioni ya kodi halafu magamba wanachezea, basi mtuache tuwape CDM nao "wachezee". Inawauma nini? Mnaogopa nguvu ya umma, sio?
 
Ni kiongozi gani wa chadema aliyetoa ombi hili, ni lini na wapi, wewe uliyeanzisha thread ni nani kwenye cdm na nikwanini asianzishe thread ya maombi kiongozi wa chadema?endapo tutachanga Hela zitafanyia nini?
 
Ni kiongozi gani wa chadema aliyetoa ombi hili, ni lini na wapi, wewe uliyeanzisha thread ni nani kwenye cdm na nikwanini asianzishe thread ya maombi kiongozi wa chadema?endapo tutachanga Hela zitafanyia nini?

Hapo kwenye Bold, if am not mistaken ni mwenyekiti wa CDM Arusha.
 
hivi vyama maskini bwana vinasumbua sana khaah kwani lazima viwepo maana vinaongezea tu mzigo wananchi maskini
Heri kuwa maskini wa fedha kuliko kuwa maskini wa mawazo kama wewe. Mshamba, una elimu ndogo na uelewa mdogo na hujakombolewa kifikra, unayeamini kuwa kusoma darasa lenye vumbi huku ukiwa umekaa chini ni haki yako...

Kwa taarifa yako wewe ****, Mit Romney anatembeza bakuli kubwa kuliko hili la CDM, Obama bakuli lake ndio zaidi na ndio utaratibu wa nchi zilizoendelewa kuwa good leader will come from people themselves na sio kutoka katika fedha chafu za wahindi kama mnavyofanya nyie magamba. Kuchangia chama ndio future ya Tanzania wewe mjinga unayejiita kiboko ya wapumbavu wenzio
 
Kwakuwa uko kwenye kundi la kupata unawandanganya wananchi..lile kundi la kutumika

Sidhani kama mtu una akili timamu unaweza kutoa pesa zako kumpa meneja wa bar...

Then, utakuwa huna kazi na hizo pesa..anyway inaonekana mnatafuta njia ya kupitisha fedha haram..

Hakuna mwananchi atachangia isipokuwa ni ujanja wa chadema kupitisha hela chafu..polisi na BoT wawe waangalifu..
Wewe ISMAIL JUSSA mbona unatoka povu sana wakati hela ni zetu sisi na CDM ni chama chetu. Kwa upumbavu wako unadhani kuna mtu huku JF ambaye hajitambui na kuogopeshwa na nyau kuwa fedha haramu. Mbona jamaa yako Adam Malima kaliwa M23 na changudoa ambazo zingenunua madawati kule kwenu mkuranga hatusemi ni fedha haramu??

Vipi ulikwenda kumpokea profesa leo? Kesho anajiunga na swaiba ake Said Miraj...
 
Kwakuwa uko kwenye kundi la kupata unawandanganya wananchi..lile kundi la kutumika

Sidhani kama mtu una akili timamu unaweza kutoa pesa zako kumpa meneja wa bar...

Then, utakuwa huna kazi na hizo pesa..anyway inaonekana mnatafuta njia ya kupitisha fedha haram..

Hakuna mwananchi atachangia isipokuwa ni ujanja wa chadema kupitisha hela chafu..polisi na BoT wawe waangalifu..

Hayo ni mambo ya magamba, cdm hakunaga.
 
Wewe ISMAIL JUSSA mbona unatoka povu sana wakati hela ni zetu sisi na CDM ni chama chetu. Kwa upumbavu wako unadhani kuna mtu huku JF ambaye hajitambui na kuogopeshwa na nyau kuwa fedha haramu. Mbona jamaa yako Adam Malima kaliwa M23 na changudoa ambazo zingenunua madawati kule kwenu mkuranga hatusemi ni fedha haramu??

Vipi ulikwenda kumpokea profesa leo? Kesho anajiunga na swaiba ake Said Miraj...

Toa ndugu toa ndugu wewe ubaki na baiskeli yako mimi ninunue helikopta???

Sawa usijali nimewapa tahadhari wananchi wenye kutumia ubongo kufikiri..

Hiyo michango sawa tu michango ya makanisa yanayojiita ya manabiii..no auditing

OK wajinga ndi waliwao..

BESIDES, nimeitahadharisha serikali yangu kuwa huenda pesa chafu zikipita humo..wafuatilie..kuna noma mkuu hapo..
 
Magwand.a have failed to wisely spend their monthly subsidies to an extent of soliciting financial assistance from poor Tanzanians who barely earn enough to provide for their families.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom