Mahabuba, hujaachaga kuongea point tu!Hahaha nilitaka nikupeleke kituo fulani, ila nikataka twende hatua kwa hatua hadi kwenye hicho kituo, ndiyo tungeelewana vizuri. Wakati mwingine hatupangi kupitia njia fulani, ila hatima zetu zinatupitisha humo; Mungu ana mipango yake. Kuna watu hawakupanga kufika 40s wakiwa single or without stable families; ni maisha tu, circumstances pushed them there. Kama ambavyo wewe ulitamani baadhi ya vitu kwenye maisha yako vingetokea mapema sana, but vikaja kutokea kwa wakati mwingine; cha muhimu ni kwamba mwisho wa siku vilitokea. Even a marriage at 50 is still an accomplishment; what matters is you found love at last. Wengine hadi wanakufa hawapati hivyo vitu eti
Mahabuba, hujaachaga kuongea point tu!
Haya Maisha Bwana, sometimes kupata jambo sio kwa sababu ya Jitihada sana kwenye haya mambo kuna watu wanapambana sana mpaka hizo 40+ lakin hola, na kuna wengine wamerelax ile under 22 mambo yananyooka tu!
Unaona? Mambo hayo sasa?Miss you bebes
Mhubiri 9:11
"Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote".
Anakuwa mbichi lkn kama ni singo madheri akuwa hana thamani tena.Wadada wanaojipenda, hata akigonga 40 unakuta ndo kwanza mbichi
Halafu wanawake wakifika 40 hamu inazidi....Nyinyi mnaosema kuwa hakuna haja ya mwenza ukiwa 40+ mnaelewa kuwa katika umri huu bado mbegu zinatengenezwa na zinahitaji kutoka. Ukiwa na mwenza si lazima upate penetration lakini akikushika tu anasaidia kuongeza hisia na kumaliza shughuli
Very.Halafu wanawake wakifika 40 hamu inazidi....
Hahahhahahhaahhahhahaaha nimempenda shostiShost mmoja kazini yeye mwanaume alimtelekeza akiwa na watoto wawili wa kiume. Alipambana sana, hela ya nauli yao ya shule ilibidi awe anapika maandazi usiku na kuacha kapu hotelini akiwa anakwenda kazini.
Wale watoto walipofika chuo na yeye alipata mtu wa umri wake. Mwanaume ametoka kuachana na mke wake ndiyo anatafuta chumba aanze maisha.
Shost alimvuta jamaa ndani. Watoto walimshangaa mama! Aliwaambia tena mnyamaze, wote nyinyi mna ma girl friend, tangu baba yenu ameondoka mimi kila siku ninawaza sabuni, kodi ya nyumba, mboga ada, sasa mniache nipate ile raha mnayowapa ma girl friend zenu.!
Huwezi kuwa serious mtani.Ukishakuwa na 40+, kwa nini uanze hangaika na mahusiano...
Huu ni muda wa kula muendelezo wa pesa uliyochuma na kuwekeza zaidi kwa ajili ya 'wananchi' uliweza jaliwa na Maulana
Huwezi kuwa serious mtani.
Kwamba ndo ukae tu ,busy na kuendeleza miradi!
Hell nah!!
Mpwa...kumbe!!!Very.
Mno.
Ni mtihani aiseeeh
At 40 ukae single? Mzee unajua fote bado mdogo tu kibongobongo, sasa kama Mungu kakupa miaka 80 kwa nini ujitese kuishi miaka mingine 40 kwa sonona?Naam mtani...
Jinsi umri unavyosogea, unatakiwa utulie ukiwa na focus ya vitu vichache tu...
Sasa hebu fikiria, mtu upo umri huo ndio kwanza upo busy kuanza mahusiano na kuachana na kuanza tena na kuachana...
At 40 ukae single? Mzee unajua fote bado mdogo tu kibongobongo, sasa kama Mungu kakupa miaka 80 kwa nini ujitese kuishi miaka mingine 40 kwa sonona?
Unaona? Mambo hayo sasa?
Mhubiri amemaliza kila kitu
Tuwe humble tu
Mimi nimesema nimekumiss kule
Kumbe huku nimemisiwa pia
Baby this love's too strong
Hapa nimerudi upyaaUache kupotea na wewe bana
Uongee na mzaa chema kwanza, ukute ashakula mahari ya mtu tehHapa nimerudi upyaa
Nawachambua wote
Wanaokuambia I love you
Wakati sipo