Hahaha nilitaka nikupeleke kituo fulani, ila nikataka twende hatua kwa hatua hadi kwenye hicho kituo, ndiyo tungeelewana vizuri. Wakati mwingine hatupangi kupitia njia fulani, ila hatima zetu zinatupitisha humo; Mungu ana mipango yake. Kuna watu hawakupanga kufika 40s wakiwa single or without stable families; ni maisha tu, circumstances pushed them there. Kama ambavyo wewe ulitamani baadhi ya vitu kwenye maisha yako vingetokea mapema sana, but vikaja kutokea kwa wakati mwingine; cha muhimu ni kwamba mwisho wa siku vilitokea. Even a marriage at 50 is still an accomplishment; what matters is you found love at last. Wengine hadi wanakufa hawapati hivyo vitu eti