Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
Mahabuba, hujaachaga kuongea point tu!Hahaha nilitaka nikupeleke kituo fulani, ila nikataka twende hatua kwa hatua hadi kwenye hicho kituo, ndiyo tungeelewana vizuri. Wakati mwingine hatupangi kupitia njia fulani, ila hatima zetu zinatupitisha humo; Mungu ana mipango yake. Kuna watu hawakupanga kufika 40s wakiwa single or without stable families; ni maisha tu, circumstances pushed them there. Kama ambavyo wewe ulitamani baadhi ya vitu kwenye maisha yako vingetokea mapema sana, but vikaja kutokea kwa wakati mwingine; cha muhimu ni kwamba mwisho wa siku vilitokea. Even a marriage at 50 is still an accomplishment; what matters is you found love at last. Wengine hadi wanakufa hawapati hivyo vitu eti
Haya Maisha Bwana, sometimes kupata jambo sio kwa sababu ya Jitihada sana kwenye haya mambo kuna watu wanapambana sana mpaka hizo 40+ lakin hola, na kuna wengine wamerelax ile under 22 mambo yananyooka tu!