Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,326
- 40,546
- Thread starter
- #41
Sio kila anaeomba lengo linakua ni kucharge huduma ya sex. Mwingine umekutana nae restaurant, kwa sababu tu anakujua anaonba umnunulie chipsi. Sasa asingekutana na wewe angeshinda njaa?Baki na hela zako na wao wabaki na utelezi wao.