Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Kumbe Channel Ten inatambua kwamba serikali zinazofungia mitandao ya kijamii ni za kidikteta.
Kwenye taarifa Yao ya habari wamezungumzia udikteta wa serikali ya kijeshi ya Myanmar iliyofungia mitandao na kufanya watu watumie VPN.
Chanel ten wakumbuke kwamba hata serikali ya ccm ilifungia mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi ikatulazimu tu opt VPN.
Kwakifupi Mynamar dictatorial regime is equal to ccm.
Kwenye taarifa Yao ya habari wamezungumzia udikteta wa serikali ya kijeshi ya Myanmar iliyofungia mitandao na kufanya watu watumie VPN.
Chanel ten wakumbuke kwamba hata serikali ya ccm ilifungia mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi ikatulazimu tu opt VPN.
Kwakifupi Mynamar dictatorial regime is equal to ccm.