CHAN hii naweza nkaihesabu kama hasara kubwa

CHAN hii naweza nkaihesabu kama hasara kubwa

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
18,905
Reaction score
14,673
Ukiachana na kupigwa kalenda ya tarehe husika ya CHAN kuanza nlitegemea kuona mandalizi makubwa zaidi kama lengo kweli lilikua kujitangaza basi nlikua nategemea yafuatayo:

1) Wasanii kutumia platform hii kutunga nyimbo kadhaa za mashindano
wasanii wa afrika mashariki walitakiwa wawe wameshatoa nyimbo kadhaa za kuhype CHAN pia ata kukiwa na nyimbo rasmi sio mbaya, ila wasanii wengi wangepewa ruhusa kila mmoja atunge nyimbo: Hii inakua fursa kwa wasanii

2) Media zote ziwe na vipindi maalumu ama pia random hapa na pale kupita mtaani kuleta hamasa na kuuliza jinsi wananchi wamejiandaa: Fursa ya kuonyesha nchini zetu

3) Theme ya michuano , slogan, logo, colors pamoja na jezi zisambae mtaani, Fursa kwa wauza jezi kwa sababu nchi nyingi zinakuja apa watanunua jezi pia mechi sio masaa 24, mda ambao hawapo uwanjan watazunguka kwenye mitaa yetu kama number 2 itafanyika vizuri basi wale wanaouza vitu vya kitamaduni kama pale mwenge wangepata wateja wa kutosha kwa sababu wameonekana sana

4) kuna mgahawa nauonaga maeneo ya mlimani opposite unaitwa AFCON 2027, theme kama hizi zinaiweka nchi tayar
 
Mawazo mazuri, ila, watu wako busy na mambo ya msingi zaidi kwa sasa.
 
Nafikiri mwamba ni kama anatoa ushauri mkuu
ndio mkuu ni ushauri watu watakapoanza kuingia nchini biashara zichangamke apa na pale watu wafaidike pia sio wanakuja wanacheza tu wanaondoka
 
Ukiachana na kupigwa kalenda ya tarehe husika ya CHAN kuanza nlitegemea kuona mandalizi makubwa zaidi kama lengo kweli lilikua kujitangaza basi nlikua nategemea yafuatayo:

1) Wasanii kutumia platform hii kutunga nyimbo kadhaa za mashindano
wasanii wa afrika mashariki walitakiwa wawe wameshatoa nyimbo kadhaa za kuhype CHAN pia ata kukiwa na nyimbo rasmi sio mbaya, ila wasanii wengi wangepewa ruhusa kila mmoja atunge nyimbo: Hii inakua fursa kwa wasanii

2) Media zote ziwe na vipindi maalumu ama pia random hapa na pale kupita mtaani kuleta hamasa na kuuliza jinsi wananchi wamejiandaa: Fursa ya kuonyesha nchini zetu

3) Theme ya michuano , slogan, logo, colors pamoja na jezi zisambae mtaani, Fursa kwa wauza jezi kwa sababu nchi nyingi zinakuja apa watanunua jezi pia mechi sio masaa 24, mda ambao hawapo uwanjan watazunguka kwenye mitaa yetu kama number 2 itafanyika vizuri basi wale wanaouza vitu vya kitamaduni kama pale mwenge wangepata wateja wa kutosha kwa sababu wameonekana sana

4) kuna mgahawa nauonaga maeneo ya mlimani opposite unaitwa AFCON 2027, theme kama hizi zinaiweka nchi tayar
Mambo yameingiliana, uchaguzi mkuu, unawapa homa watu, CHAN haina nafasi, watu wanfuatilia kesi ya Lissu
 
Ukiachana na kupigwa kalenda ya tarehe husika ya CHAN kuanza nlitegemea kuona mandalizi makubwa zaidi kama lengo kweli lilikua kujitangaza basi nlikua nategemea yafuatayo:

1) Wasanii kutumia platform hii kutunga nyimbo kadhaa za mashindano
wasanii wa afrika mashariki walitakiwa wawe wameshatoa nyimbo kadhaa za kuhype CHAN pia ata kukiwa na nyimbo rasmi sio mbaya, ila wasanii wengi wangepewa ruhusa kila mmoja atunge nyimbo: Hii inakua fursa kwa wasanii

2) Media zote ziwe na vipindi maalumu ama pia random hapa na pale kupita mtaani kuleta hamasa na kuuliza jinsi wananchi wamejiandaa: Fursa ya kuonyesha nchini zetu

3) Theme ya michuano , slogan, logo, colors pamoja na jezi zisambae mtaani, Fursa kwa wauza jezi kwa sababu nchi nyingi zinakuja apa watanunua jezi pia mechi sio masaa 24, mda ambao hawapo uwanjan watazunguka kwenye mitaa yetu kama number 2 itafanyika vizuri basi wale wanaouza vitu vya kitamaduni kama pale mwenge wangepata wateja wa kutosha kwa sababu wameonekana sana

4) kuna mgahawa nauonaga maeneo ya mlimani opposite unaitwa AFCON 2027, theme kama hizi zinaiweka nchi tayar
Ahsante sana kwa mawazo yako.
 
Back
Top Bottom