CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

kwa hiyo walikimbilia Amani zanzibar kuogopa kuzomewa taifa. sasa ndiyo nini hiki? Fukuza huyo kocha.
 
Wachezaji wetu wanashindia wali wakati matoke ndo kila kitu ...ila nahisi wachezaji hawamtaki kocha aisee, ni penatiiiii sahivi

Ngoja nilale mkuu, hii sasa nikashifa.
 
Mimi sijichoshagi tena na kabumbu la bongo. Hapa nafuatilia Copa America raha mustarehe.
 
Back
Top Bottom