CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

CHAN 2016 Qualifiers: Tanzania vs Uganda

Kuna hela Malinzi anakula na huyu kocha wachunguze vizuri tu haiwezekani kumkumbatia kocha kimeo kama huyu
 
......Sio tu kwamba walikuwa hawawezi kukalia kiti cha Leodeger Tenga, lakini pia hawakustaili hata kuwa wakata majani wa bustani ya nyumba yake..........
 
naona anatolewa chini ya ulinzi mkali


attachment.php

Kwa hali kama hii kama ningekuwa Nooij ningejiuzulu na kuondoka na KLM leo hii saa 6 usiku
 
Wapigwe tu tunawaambia noij kaishiwa mbinu wachezaji hovyo tff hakuna kitu bado hawaelewi na mimi nasema wapigwe tuu
 
Kama kweli JK ni mwanajeshi, hawa wachezaji Taifa Stars awasweke selo angalau hata mwezi 1 wapate adabu.
 
......Sio tu kwamba walikuwa hawawezi kukalia kiti cha Leodeger Tenga, lakini pia hawakustaili hata kuwa wakata majani wa bustani ya nyumba yake..........
Sio kukata majani tu hata kuiona bustani yenyewe hawakustahili.
 
Ali hassan mwinyi aletwe mbele ya waandishi wa habari alazimishwe afute kabisa ile kauli yake ya "taifa stars ni kichwa cha mwendawazimu" kisha pale uwanja wa taifa tufanye tambiko kubwa chinja ngombe hata mia mashabiki wale bure mifupa yote kusanya tupa katikati ya bahari, taifa stars itazaliwa upya
 
Michezo ambayo TZ tunaweza ni:

1. Ndondi (Akina Cheka wana mikanda kibao ya Africa)
2. Pool Table (Bingwa wa Africa mchezaji binafsi 2013, Bingwa namba mbili Africa 2013, 2014)
3. Big Brother Africa (Mshindi 2014, Mshindi namba 2 2006, 2003)-Hapa tunashinda sanasana kwasababu sisi ni mabingwa wa kukaa kwenye social network kupiga kura..
4. Ule wa kitandani..


 
Ukimtimua Kim Poulse, nawe ukiambiwa Nooj hafai UTAPIGWAA TU.NAMI NASEMA WAPIGWEE TU, MAANA SASA TUMECHOKA.
 
Taifa Stars ivunjwe tuu. Aibu gani hii...Bora hata tuwakilishwe na Mwadui au Friends Rangers lakini sii Stars.
 
Ali hassan mwinyi aletwe mbele ya waandishi wa habari alazimishwe afute kabisa ile kauli yake ya "taifa stars ni kichwa cha mwendawazimu" kisha pale uwanja wa taifa tufanye tambiko kubwa chinja ngombe hata mia mashabiki wale bure mifupa yote kusanya tupa katikati ya bahari, taifa stars itazaliwa upya

Hahahaah hii itasaidia kweli??
 
Tunalaumu makocha na wachezaji bure. Hili ni tatizo la nchi nzima, serikali na taasisi zake zote zimeshindwa kufanya kazi katika kila nyanja. Zamani kwenye ndondi tulikuwa na jina, riadha napo tishio,mpira wa miguu hatukuwa kichwa cha mwendawazimu sasa kwa nini sasa? Usimamizi wa serikali ndio bogus kabisa na tutaendelea kuwa wa hovyo kama ilivyo shilingi dhidi ya dola.
 
Back
Top Bottom