Hatuna washambuliaji...
Hivi unajua tangu malinzi aingie tumeshinda mechi mbili tu,zingine kama 15 tumepigwa
Sijui tunakosa nini aisee
hii ni mechi ya tano 5 hatuja pata goli hata moja
matoke jaman
Ugandacranes 2 , taifa stars 0, dakika ya 85 now
upesi TUKOME KUSHADADIA MECHI,poor Tz Kila kitu hatuwez,labda kitandani ndo tunaweza ***** tz!!!!!!