zaidi ya DSTV king'amuzi gani kitaonyesha mechi ya leo?...
Star times kupitia DTV
Startimes via dtv kama sikosei
daaaah afadhali.. wife leo asahau mambo ya tamthilia..
zaidi ya DSTV king'amuzi gani kitaonyesha mechi ya leo?...
Atletico madrid watamaliza mashindano bila kupoteza mchezo.... If you knw what i mean!!!
Atlético 1 - 0 Real. Goli litafungwa Kipindi cha kwanza, dk zamwanzo kabisa (8-20) litafungwa kwanjia ya kona. Kipindi cha pili Refa atajitahidi kuwabeba Real kwa kuwapa penalt ya utata lakini hilo halitakua suluhisho la Real kukalia kipande, mpigaji (Balé) atapaisha juu utafikiri anapopoa maembe njwanjwa. Mpaka dk 90 Atlético 1 - 0 Real.
hahhhaha mkuu,hii mechi sio ya kuangalia peke yako home.Kajichanganye bar.
Yani mechi yaleo hatanikipewa pesa ya sanda napandia Atlético anashinda tu. Bado sijajua mfungaji wa goli atakua nani lakini matokeo ndio kama hayo niliyo ya orodhesha hapo juu.Du.. pweza hakuwezi.. lazima wakae
Star times kupitia DTV