Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
Yes. Hawa mawaziri walionewa. Mbona hatujasikia wafanyakazi wa ngazi za chini waliofanya yale madudu wameshughulikiwa. Dr.Kigoda yeye ali "deal" na ekelege tu, halafu santuri ya muziki ikazimika. Balozi Kagasheki tumeona kidogo, japo haitoshi.
Warning. Mawaziri mliokabidhiwa Wizara zilizokuwa na madudu katika Bunge lililopita msipokuwa makini mtaangukia kwenye kundi la kondoo wa KAFARA katika bunge linalokuja. Shughulikieni hao vijana walio chini yenu ambao ndio chanzo cha matatizo.
Anzeni kumpa pressure JK afukuze kazi makatibu wakuu wote waliosababisha "fiasco" ile, kisha rungu lishuke kwa watendaji wa Chini. Msipofanya hivyo, CDM watashuhudia mazishi ya CCM, mwaka 2015.
Nawasilisha.
Warning. Mawaziri mliokabidhiwa Wizara zilizokuwa na madudu katika Bunge lililopita msipokuwa makini mtaangukia kwenye kundi la kondoo wa KAFARA katika bunge linalokuja. Shughulikieni hao vijana walio chini yenu ambao ndio chanzo cha matatizo.
Anzeni kumpa pressure JK afukuze kazi makatibu wakuu wote waliosababisha "fiasco" ile, kisha rungu lishuke kwa watendaji wa Chini. Msipofanya hivyo, CDM watashuhudia mazishi ya CCM, mwaka 2015.
Nawasilisha.