Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,126
- 1,439
- Thread starter
- #61
Waliosababisha ile "fiasco" ya April, 2012 wachukuliwe hatua.
Mkuu, nimekupata. Inawezekana kuna ukweli ndani ya hoja yako. Maana mie nilikuwa najiuliza, hivi matatizo maliasili ni maige peke yake tu? vipi kuhusu Nundu? Wameonewa. Mpaka wengine washughulikiwe ndio nitaamini kwamba hawa jamaa waliondolewa kwa kashfa. Otherwise, akina chami na wachapa kazi wazuri. Fitna na majungu, na mtandao ndio vyanzo vya uonevu huu.
AAAAAAKKKKHHHH KWELI, huyu thinker alianzisha debate nzuri iliyosahaulika....mizunguko ya ndani ya utendaji serekalini ilimtaja CYRIL CHAMI kuwa ni a VERY POTENTIAL PRESIDENT.....mtu ambaye si msemaji na msimamiaji wa mambo hadi mwisho .... kimsingi anafananishwa na BEN MKAPA.........HE WAS a good material at school na ni mtu shupavu...he is intelligent.....na ni mtendaji zaidi...si mwanasiasa....
tuendelee kujadili!
Tutaendelea kutetea haki za wanyonge hadi kieleweke. Waliosababisha ile "fiasco" ya April, 2012 wachukuliwe hatua. Chami, Mkulo, Mponda, Ngeleja na Maige walionewa!!!!!!!!
Una maana gani? fafanua.Na aliyewaonea alifanya vizuri sana ?
You sound like Maige........and Mwanamalundi is a Sukuma thing.........anyway nobody has the right to be a minister for life. The President may reshuffle his cabinet at will..from pressures or from any other reason
rudi kwenye hoja ya msingi. Waliosababisha ile fiasco wamechukuliwa hatua gani? Naomba jibu.
hakuna haja ya kuchua hatua
Tutaendelea kutetea haki za wanyonge hadi kieleweke. Waliosababisha ile "fiasco" ya April, 2012 wachukuliwe hatua. Chami, Mkulo, Mponda, Ngeleja na Maige walionewa!!!!!!!!
Sasa kama hivyo ndivyo ilivyo kulikuwa na haja gani ya Mtukufu Rais kuwaambia watanzania kwamba safari hii hakuna atakayebaki salama!! Rejea hutuba yake wakati anataja baraza jipya. sawa kaka? Otherwise, my take is:Chami, Mkulo, Mponda, Ngeleja na Maige walionewa!!!!!!!!