Chama kitatoa kauli upotoshaji wa Msajili wa Vyama

Chama kitatoa kauli upotoshaji wa Msajili wa Vyama

Nafikiri na wewe una matatizo, hivi ni lazima umeme uchagga katika mawasilisho yako? Hii inaonesha kana kwamba Tanzania tunaongoza kwa ukabila au unaupalilia? Nafikiri unahitaji kuondokana na dhana hii ya kufikiria kuna makabila hayatakuwa kuwa katika siasa. Zaidi wakati mwingine unaweka na udini!!
Huyu ni wakusamehewa tu anategemea udini na ukabila kuishi hapo Lumumba
 
Msajili was vyama vya siasa kwakuwa amekubali Kutumika kwa maslahi ya ccm na serikali take ni muhimu sasa ajibiwe kwa mapana na marefu ili kuondoa upotoshaji ambao anaufanya kuwa wanachama, wapenzi na washabiki wa Chadema pamoja na wananchi wote kwa ujumla.

Ni aibu sana kwa mtu ambaye ni mwanasheria tena mwenye daraja la ujaji anavyokubali kuw eka pembeni weledi na Kutumika kwa maslahi ya chama kimoja. Mtangulizi wake ambaye naye alikuwa ni Jaji (Tendwa) alia za vizuri lakini baadae akageuka kuwa kuwadi wa ccm.
 
TAMKO.la CHADEMA linapikwa UFIPA sasa hivi. Wapishi ni ben saanane, yericko nyerere na henry kilewo

Hao wanakuuma nini?, si mnamsemaji wenu Nape,mwigullu mbakaji wa demokrasia.kama hao hawana akili si ufurahi kuwa wewe unauvccm wenye akili
Na kama inakuuma njoo chadema utumie utumbo wako tukutimue na wewe
Maana ccm imekumbatiwa na makuwadi wa utandawazi"
 
tunaomba chama KIMKEMEE VIKALI MUTUNGI NA KIMPE ONYO KALI !
 
Msajili was vyama vya siasa kwakuwa amekubali Kutumika kwa maslahi ya ccm na serikali take ni muhimu sasa ajibiwe kwa mapana na marefu ili kuondoa upotoshaji ambao anaufanya kuwa wanachama, wapenzi na washabiki wa Chadema pamoja na wananchi wote kwa ujumla.

Ni aibu sana kwa mtu ambaye ni mwanasheria tena mwenye daraja la ujaji anavyokubali kuw eka pembeni weledi na Kutumika kwa maslahi ya chama kimoja. Mtangulizi wake ambaye naye alikuwa ni Jaji (Tendwa) alia za vizuri lakini baadae akageuka kuwa kuwadi wa ccm.

ASANTE KIONGOZI , UMEsIKIKA .
 
Matamko hayawasaidii tekelezeni maagizo ya Masajili atakifuta chama!

Ataanza kuifuta ccm,kwa kushindwa kuwainua watanzania kwa miaka 50,hakifai,kinafanya ninj?
 
jaribu kutumia akili kidogo;
yule anayeua wanyaruanda kule south Afrika na kwengineko sio kagame?
na pili hakuna anayetaka chadema ife, tunataka chadema iimarike kwa kuondoa huo uozo na umbwe la uongozi la kiimla linalonyofoa vipingele vya katiba kinyemela ili libaki madarakani.

Lizaboni unaamini kbs mkifanikiwa kumtoa mbowe kwenye uenyekiti na dr slaa kwenye ukatibu mkuu,chadema itakufa?

Michezo yenu ya kitoto sana ndiyo maana kagame anatudharau badala ya kufocus kwenye matatizo ya wananchi nyie mmeweka nguvu na akili zenu kwenye kuua vyama?
 
Kwani chama cha kisiasa mpo nyinyi tu chadema kama wapinzani??

Kwanini kila siku hamuish kulalama mbona wenzenu wapo kimya na mambo yao hatuskii fujo wala migogoro??

Hakuna mwenye haja ya matamko.

Ukweli unaotakiwa ni kwamba kikao gani halali kilikaa na kubariki kunyofoa kipengele cha ukomo wa madaraka??

Wenzenu wote washafanya chaguz zao nyinyi mtaukumbatia huo uungu mtu hadi lini.

Hamuwez kuwa mbadala wa ccm kama nyinyi wenyewe demokrasia imewashinda

wewe ni m.k.u.n.du ndo maana unaharisha
 
tamko bado? tangu jana mnazipitia correspondence files tu? mnatia mashaka nyie magwanda
 
Back
Top Bottom