Chama kitatoa kauli upotoshaji wa Msajili wa Vyama

Chama kitatoa kauli upotoshaji wa Msajili wa Vyama

Pia Msajili pia aangalie yafuatayo:-
- Uchaguzi Chadema unafanyika
- Viongozi (Mbowe na Slaa) waliojikopesha ruzuku walizirudisha
- Mahesabu ya Chadema yanakaguliwa
- Wabunge wa viti maalumu wasichaguliwe kwa udugu
- Mradi wa uchangishaji wa M4C iwepo hesabu za mrejesho
- Viongozi wasiotoka Kaskazini hawabughudhiwi
Hayo masharti mpelekee mother yako
 
Tumaini Makene, Kutoa historia ya msajili wa vyama vya siasa hakuhalalishi uchakachuaji wa katiba ya chama.

Ni kweli kabisa.

Tatzo makene hana jins.

Yeye nae ni mchumia tumbo tu akiambiwa fanya hiki anafanya.

Usifanye kile hafanyi.

Makene is gettin paid kwa haya mabandiko yake.

Na asipofanya hivi watoto wataendaje chooni??

Ila matter of fact makene ukweli moyoni mwake anaujua.
 
Last edited by a moderator:
Pia Msajili pia aangalie yafuatayo:-
- Uchaguzi Chadema unafanyika
- Viongozi (Mbowe na Slaa) waliojikopesha ruzuku walizirudisha
- Mahesabu ya Chadema yanakaguliwa
- Wabunge wa viti maalumu wasichaguliwe kwa udugu
- Mradi wa uchangishaji wa M4C iwepo hesabu za mrejesho
- Viongozi wasiotoka Kaskazini hawabughudhiwi
Thank you.

Sina cha kuongeza hapo.

Yaingie kwenye hansard ya Jamii Forum kama yalivyo kwa faida ya vizazi vyetu vijavyo.

Shukran.
 
Huu utoto utaendelea kuwa cost chadema. yani wewe Tumaini Makene baada ya kutumia muda huu kutatua taitizo na kutoa maelezo ya kina na kuonesha ni wapi na kwanini msajili amepotosha na useme wazi hamkuwai kuwasilisha muhtasari wa marekebisho kwa msajili,badala yake unaleta porojo za chama kitatoa tamko..... hivi kwanini chama chenu kila leo hakijipangi kujibu mambo? badala ya kuleta majibu we unaleta taarifa ya kijinga kama hii heti chama kitatoa kauli.

Hivi kwanini hukusubiri kauli ya chama ndio ulete? yani wewe sioni tofauti yako na wasio wasemaji wa chadema.Ni wazi hili swala limekuwa gumu na ni vema mkaja na uthibitisho hamkuwai kuwasilisha muhtasari wa kikao kwa msajili.

Nakukumbusha maneno ya msajili kwa barua kwenda kwa Slaa.
Aidha barua yako yenye kumb na C/HQ/ADM/MSJ/04/78 ya tarehe 18/9/2006 iliyo ambatanishwa na muhtasari wa mkutano mkuu uliofanyika tarehe 13/8/2006 ilibainisha ibara zilizo fanyiwa marekebisho kuwani 3.4,3.b,4.2.9,5.1.8,5.4.6,6.1. 1,6.2.3(d),7.4A,7.5,7.6,7.7.5, 7..7.19 na 7.8 kwa maana nyingine hizo ndizo ibara pekee zilizo fanyiwa marekebisho-Judge Mtungi.

Ibara ya 6.3.2(c) ambayo ndio mlengwa katika mjadala huu haikutajwa wala kutokea katika muhtasari huo-Judge Mtungi
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh

Matamko kila siku.

Wachaga bana wanataka wakifanye hiko chama kuwa cha ukoo sasa huku wanafanya demokrasia magilini.

Ha ha ha.
Dah! Mkuu, umenikumbusha mbali sana hapo uliposema demokrasia magilini. Yaani nikiwa shule ya msingi mtu akikuita maglini basi ujue amekudharau sana na hauaminiki hata kwa chembe
 
Huu utoto utaendelea kuwa cost chadema. yani wewe Tumaini Makene baada ya kutumia muda huu kutatua taitizo na kutoa maelezo ya kina na kuonesha ni wapi na kwanini msajili amepotosha na useme wazi hamkuwai kuwasilisha muhtasari wa marekebisho kwa msajili,badala yake unaleta porojo za chama kitatoa tamko..... hivi kwanini chama chenu kila leo hakijipangi kujibu mambo? badala ya kuleta majibu we unaleta taarifa ya kijinga kama hii heti chama kitatoa kauli.

Hivi kwanini hukusubiri kauli ya chama ndio ulete? yani wewe sioni tofauti yako na wasio wasemaji wa chadema.Ni wazi hili swala limekuwa gumu na ni vema mkaja na uthibitisho hamkuwai kuwasilisha muhtasari wa kikao kwa msajili.

Nakukumbusha maneno ya msajili kwa barua kwenda kwa Slaa.
Aidha barua yako yenye kumb na C/HQ/ADM/MSJ/04/78 ya tarehe 18/9/2006 iliyo ambatanishwa na muhtasari wa mkutano mkuu uliofanyika tarehe 13/8/2006 ilibainisha ibara zilizo fanyiwa marekebisho kuwani 3.4,3.b,4.2.9,5.1.8,5.4.6,6.1. 1,6.2.3(d),7.4A,7.5,7.6,7.7.5, 7..7.19 na 7.8 kwa maana nyingine hizo ndizo ibara pekee zilizo fanyiwa marekebisho-Judge Mtungi.

Ibara ya 6.3.2(c) ambayo ndio mlengwa katika mjadala huu haikutajwa wala kutokea katika muhtasari huo-Judge Mtungi
Mkuu, nadhani unachofanya ni kama kupigia mbuzi gitaa. Hoja hizi tangu azirise Jaji Mtungi hakuna hata mmoja amezijibu
 
Tumaini Makene, Kutoa historia ya msajili wa vyama vya siasa hakuhalalishi uchakachuaji wa katiba ya chama.
papaa

Msajili hana mamlaka ya kutafsiri Katiba ya chama chochote cha siasa.

Custodian wa Katiba ya Chama cha siasa ni chama chenyewe kupitia Mkutano Mkuu wa Chama.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh

Matamko kila siku.

Wachaga bana wanataka wakifanye hiko chama kuwa cha ukoo sasa huku wanafanya demokrasia magilini.

Ha ha ha.

Ujinga hautakaa ukutoke milele. Wachaga wanakuudhi sana hapa TZ fanya namna uwahamishe nchini.
VP gesi imetoka au bado
 
papaa

Msajili hana mamlaka ya kutafsiri Katiba ya chama chochote cha siasa.

Custodian wa Katiba ya Chama cha siasa ni chama chenyewe kupitia Mkutano Mkuu wa Chama.
Ebo..!!

Sasa mnataka awaache muendelee kulaghai umma wa watanzania na chenga za demokrasia msiyokuwa nayo??

Jibuni hoja hizo.

Ziko wazi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Huu utoto utaendelea kuwa cost chadema. yani wewe Tumaini Makene baada ya kutumia muda huu kutatua taitizo na kutoa maelezo ya kina na kuonesha ni wapi na kwanini msajili amepotosha na useme wazi hamkuwai kuwasilisha muhtasari wa marekebisho kwa msajili,badala yake unaleta porojo za chama kitatoa tamko..... hivi kwanini chama chenu kila leo hakijipangi kujibu mambo? badala ya kuleta majibu we unaleta taarifa ya kijinga kama hii heti chama kitatoa kauli.

Hivi kwanini hukusubiri kauli ya chama ndio ulete? yani wewe sioni tofauti yako na wasio wasemaji wa chadema.Ni wazi hili swala limekuwa gumu na ni vema mkaja na uthibitisho hamkuwai kuwasilisha muhtasari wa kikao kwa msajili.

Nakukumbusha maneno ya msajili kwa barua kwenda kwa Slaa.
Aidha barua yako yenye kumb na C/HQ/ADM/MSJ/04/78 ya tarehe 18/9/2006 iliyo ambatanishwa na muhtasari wa mkutano mkuu uliofanyika tarehe 13/8/2006 ilibainisha ibara zilizo fanyiwa marekebisho kuwani 3.4,3.b,4.2.9,5.1.8,5.4.6,6.1. 1,6.2.3(d),7.4A,7.5,7.6,7.7.5, 7..7.19 na 7.8 kwa maana nyingine hizo ndizo ibara pekee zilizo fanyiwa marekebisho-Judge Mtungi.

Ibara ya 6.3.2(c) ambayo ndio mlengwa katika mjadala huu haikutajwa wala kutokea katika muhtasari huo-Judge Mtungi

Ni kweli mkuu.

Hapo ndipo hoja ilipolala.

Wajikite kwenye kujibu hoja.
 
Last edited by a moderator:
Wanafiki utawajua tu Duchu, Lizibon wachumia tumbo plus waLB7
 
Hii saccos inaweweseka kweli. Kwann mnajifanya wajuaji hiv?
 
Nadhani tumeshakuwa kubwa jinga. Tunafanya makosa ndani ya chama tunawasingizia wengine. Kila mtu anayetukosoa ametumwa na CCM. Pamabaf kabisa.
 
Hii thred inadhihiisha jinsi machadema yamechanganyikiwa. Na bado.
 
Kwani chama cha kisiasa mpo nyinyi tu chadema kama wapinzani??

Kwanini kila siku hamuish kulalama mbona wenzenu wapo kimya na mambo yao hatuskii fujo wala migogoro??

Hakuna mwenye haja ya matamko.

Ukweli unaotakiwa ni kwamba kikao gani halali kilikaa na kubariki kunyofoa kipengele cha ukomo wa madaraka??

Wenzenu wote washafanya chaguz zao nyinyi mtaukumbatia huo uungu mtu hadi lini.

Hamuwez kuwa mbadala wa ccm kama nyinyi wenyewe demokrasia imewashinda
Mti wenye matunda mengi ni CDM kaka. lazima upigwe. Ila ccm wachache kwa makamanda watatosha tu.
 
Back
Top Bottom