Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Ikianza kuhusishwa na siasa, nimeshuhudia baadhi ya walimu akiwepo ndugu yangu wametahadharishwa kuondoka sehemu ya kazi kwani kuna wahuni ambao wamelipwa ili kwenda kufanyia fujo walimu ambao hawatagoma. Pamoja na CWT kuwalipa walimu wakati wakiweka saini zao ili wagome kuna chama cha sisa pia inasemekana kimesaidia kutafuta wahuni ili kwenda kuwafanyia fujo wale viherehere wasiotaka kugoma. Chama chenyewe inasemekana ni kile kilichokaa na kujiimarisha kifujo fujo - kwa ushahidi mzuri tembelea baadhi ya shule kuanzia Magomeni hadi Mbezi kwa wale wa Dar walw wa Arusha mitaa ya Njiro na Kijenge, Dodoma pale Kizota.
Avanti.
Avanti.