Sir M.D.Andrew
JF-Expert Member
- Jul 30, 2012
- 201
- 37
Ukitaka umjue mtu mjinga msubiri pale atakaporopoka,ni ujinga kuhusisha mgomo huu na siasa,kwani matatizo ya walimu hamuyajui?mnakuwa wajinga kuhusisha siasa na vyama mambo yanayogusa wananchi moja kwa moja,kama wewe cheo chako ni uenezi na itikadi hili si swala la kukusaidia kueneza ilani ya chama chako,mwalimu hahitaji kushawishiwa na wana siasa hata kidogo,shida zao na maisha magumu ya walimu ni nani asiyeyajua?kafie mbali huko