Mtumishiwetu
Senior Member
- Jul 13, 2022
- 187
- 334
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.