Chama cha Mapinduzi anzeni nyie mikutano ya hadhara

Mtumishiwetu

Senior Member
Jul 13, 2022
187
334
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
 
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Fuso bado zipo kidongo chekundu ?
 
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.

Wewe usiwatafutie balaa wenzio la kupigwa mawe na wananchi wenye hasira na machungu!
 
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
WAANZE MIKUTANO WAKATI HAWAKUWAHI KUZUILIWA?
 
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Nawezaje kupata vichekesho vingine kama Hivi??
 
CHAMA cha Mapinduzi CCM kinapaswa ndio kiwe chama cha kwanza cha siasa kufanya mkutano mkubwa wa hadhara katika Jiji la Dar es Salaam na baadaye Mwanza, Mbeya na Arusha kama sehemu ya kuzindua mikutano ya hadhara iliyotangazwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan.

Je, ni maeneo gani ungependa CCM iyazungumzie katika mikutano hiyo.
Kwani ni lini CCM iliacha kufanya mikutano hiyo mpaka ianze sasa?
 
Back
Top Bottom