mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
Mbona umeishia kwenye ukabila na ukanda tu? Si ungemalizia na ni chama cha kidini pia kama wanavyodai magamba wenzako? Au kipande hicho umekiruka kwa kuwa wewe pia ni mgalatia? Unafiki ni kitu kibaya sana!
Kumbuka mabadiliko ni kama nature'hayakwepeki. So nyinyi fanyeni na ongeeni propaganda zote lakini siku ya mwisho
lazima tutawang'oa tu madarakani....mark my word!
Kumbuka mabadiliko ni kama nature'hayakwepeki. So nyinyi fanyeni na ongeeni propaganda zote lakini siku ya mwisho
lazima tutawang'oa tu madarakani....mark my word!