ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
- Thread starter
- #81
HAYA NI MAPISHI YA LUMUMBA NA MASALIA.Hakuna tuhuma mpyaa hapo
Lengo la thread hii halikuwa kuanzisha au kubuni tuhuma mpya.
HAYA NI MAPISHI YA LUMUMBA NA MASALIA.Hakuna tuhuma mpyaa hapo
Makundi haya matatu ya bendera fuata upepo huwa ni rahisi sana kuvunjwa moyo na kukikimbia chama mara tu upepo utakapoelekea upande tofauti. Kwa mfano, iwapo chadema itafanya jitihada za kuhakikisha jamii inajua ukweli kuwa siyo chama cha ukanda wala ukabila, basi makundi haya mawili i) na ii) yatatoweka.
Vilevile iwapo chadema itasambaza elimu ya uraia na kuwawezesha wananchi kuchagua vyama vyama vya kuviunga mkono kwa hoja, basi makundi yote iii),ii) na i) itayapoteza.
Hili leta hoja ni Gamba halina lolote Mkuu kwa halijatoa sababu za CCM kufanya vibaya kule Mleba na Sehemu nyine nyingi lenyewe limekalia kuituhumu CDM.Mtoa hoja hebu declair intrest,we ni chama gani?
Na upepo wenyewe ni CCM ndio ulioniaminisha kuwa sisi ambao sio waislam chama chetu ni CDM na zamani walituambia CUF ni ya waislam tusiiunge mkono. Hapo wewe ndio unaonekana kuwa mfuata upepo kwa kuwa upepo wenyewe ni CCM na wewe ni mfuasi wa CCM.Unajua kwanini nimekuita "mfuata upepo? Nibaada ya wewe mwenyewe kuji bambanua kua unakipenda CDM kwakua kinaongozwa na mkirsto mwenzio, na kukataa kukiunga mkono CUF kwamadai kuwa ni chama cha waislam ( kwa uwelewa wako wa kishabiki ) sasa inaonyesha siku ikitokea CDM ikiongozwa na Muslim utakikimbia, kwahiyo watu kama wewe munaitwa "bendera ufuata upepo" na ktk thread hii mpo katika kundi 1- (ii) au naongopa?
Ulikolokwitanga: umenena safi sana mimi huwa naashangaa sana watu hapa wanatoa tuuma na vigezo vingi sana ila itimisho lake sasa linakuwa tofauti na kusudio lake. Umesema chadema kuna watu wa aina tatu tumekubali eh CCM kuna watu wa aina ngapi? CUF,TLP Mbona kila kukicha CHADEMA CHADEMA Kina wanyima sana usingizi na dhani kubalini au msikubali CHADEMA inawaumiza sana mioyo yenu ndugu zangu. Tuelekezeni basi sisi vijana na wazee na yeyote anayeipenda nchi yake aende wapi sasa turudi CCM au? Poleni sana tanzania ya leo sio ya mwaka 47 watu wanajua sio kuwa elekeza nini cha kufanya wataipenda CHADEMA wakiona aiwafai wataondoka wenyewe na kwenda chama kingine ila sio kwa kufuata au kwa mashinikizo yako ya kunyimwa uongozi basi kila mtu aiipende. Mtatapatapa sana mwaka huuWatu tuna kila haki ya kuamini kuwa una chuki kwa kunyimwa nafasi na kufukuzwa CDM zaidi ya dhamira ya kuwafanya watanzania kuchagua chama bora. Pamoja na kupiga tararira zote hizi haujatueleza watanzania, hasa sisi vijana wasomi, tusio wanasiasa lakini tunahitaji future nzuri ya watoto zetu, chama mbadala ni kipi?? Yes umeeleza mapungufu ya CHADEMA kwa mujibu wa fikra zako ambazo kimsingi hakuna jipya hapo, ni mambo ambayo tumekuwa tukiyasikia kila siku kutoka kwa watu walewale ambao either ni maccm au wanasiasa njaa waliofukuzwa CDM, je nini chama mbadala kama CDM haifai kwa mujibu wa hoja zako?? Turudi kuiunga mkono CCM?? Twende NCCR?? Twende CUF? Au tuiache nchi yetu ikiendelea KUANGAMIA KWA UFISADI NA UMASKINI?
2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki tenda ya kununua magari ya chama wamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa. Chris Lukosi amekuwa akishutumiwa kuwa sababu ya kujitoa kwake chadema ni kunyimwa tenda hii, lakini pale wadau walipohoji baada ya Lukosi kunyimwa tenda hiyo ni nani amepewa na kwa vigezo vipi?, kinaibuka kigugumizi.
Lengo la thread hii halikuwa kuanzisha au kubuni tuhuma mpya.
Mkuu bado hujanifungua macho, what is the way forward? Umeelezea matatizo ya CHADEMA, fine, mbona hutaki kutuambia tufanyeje baada ya hapo. Tupe fikra mbadala basi!!Lengo la thread hii halikuwa kuanzisha au kubuni tuhuma mpya.
Ni kweli mkuu nkongu ndasu ndiyo vishiriki kufanikisha EPA, MEREMETA, RICHIMOND na ahadi hewa za maisha bora.Tanzania vyama vingi ni laghai mfano cuf,chadema na hata tlp. Angalia chadema wanaishia kufanya mikutano mijini tu, halafu wanasema tutachukua nchi 2015. Nchi haichukuliki kwa kufanya mikutano mijini tu. Huu nao ni ulaghai.
Watu tuna kila haki ya kuamini kuwa una chuki kwa kunyimwa nafasi na kufukuzwa CDM zaidi ya dhamira ya kuwafanya watanzania kuchagua chama bora. Pamoja na kupiga tararira zote hizi haujatueleza watanzania, hasa sisi vijana wasomi, tusio wanasiasa lakini tunahitaji future nzuri ya watoto zetu, chama mbadala ni kipi?? Yes umeeleza mapungufu ya CHADEMA kwa mujibu wa fikra zako ambazo kimsingi hakuna jipya hapo, ni mambo ambayo tumekuwa tukiyasikia kila siku kutoka kwa watu walewale ambao either ni maccm au wanasiasa njaa waliofukuzwa CDM, je nini chama mbadala kama CDM haifai kwa mujibu wa hoja zako?? Turudi kuiunga mkono CCM?? Twende NCCR?? Twende CUF? Au tuiache nchi yetu ikiendelea KUANGAMIA KWA UFISADI NA UMASKINI?
na hiyo ndiyo njia dhaifu sana. kwa watu wenye akili na upeo wa kufikiri hawaoni kama maandamano ni suluhisho
Zemarcopolo hivi umzima kweli wewe?