Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

:msela:mkuu zeMarcopolo tunashukuru kwa taarifa yako nzuri,kweli umejitahidi kuonyesha mapungufu ya CDM ambayo hatukufahamu kabla,ila kitu kimoja tu umetuacha njia panda hasa sisi tusiofungamana na chama chochote cha siasa nchini lakini niwapiga kura wazuri sana kipindi cha uchaguzi,Tatizo kwenye report yako imejaa mapungufu ya CDM na misifa kibao kwa CHAMA CHA MAJAMBAZI bila kutoa solution kwamba kifanyike wakati nchi bado inaendelea kuangamia kila siku
mkuu nafikiri umetumwa na CCM kuja kuanika maovu ya CHADEMA,Nakushauri siku nyingine unapokuja kupost kitu uwe umekamilika sio kutuacha njia panda kama vile una jazba sana
 
ZeMarcopolo wewe ndie una dalili zote za kuumwa ugonjwa wa kufuata upepo, kipindupindu cha uongo na uzandiki dhidi ya CDM na Kichocho cha hofu juu ya nini atakachowafanya kiongozi wa CDM akiingia madarakani!!

Mbinu hizi za kufarijiana haziwasaidii, mie mtumishi wa umma niko kijijini, hapa kijijini sie watumishi wa umma wote tunaiunga mkono CDM wanakijiji ndio usiseme! unaongea nini wewe mtu mdogo!

Umeajiriwa na halmashauri gani?
Naomba ni inbox anuani yako tafadhali.
Asante sana kwa ushirikiano.
 
Ndugu unafia nini???? Deal ya kupima magari?? Wewe unafahamika kusinda kila vita! Ekerege kakushinda, cdm ulikuta wajanja zaidi yako biashara ya bizaa yako hakuna aliyeihusudu ! Pole!!!! Yani lile teke la cdm huko uk linakupa shida kila kukicha uitangaze cdm. Katika watumwa wa nape wewe ndiye bogus kuliko wote !!!
 
Kwa kukariri matukio haujambo. Hata hivyo imethibitika bila ya shaka kuwa wahusika karibu wote wa kinachoitwa ufisadi ni ndugu wa wanacdm kama sio kabila moja na au ni dini moja au raia wamoja.

Holy Cra.p...
 
Ni kweli kabisa mkuu,
Pia ni jukumu letu kuwafumbua macho vijana wenzetu wasije ingia kusiko

Tujifunze nini kutika kwako sasa!!!!!!
Kila uchwao unatuabisha Vijana wa Ki Tanzania UK kwa Tabia zako.
Na ukibisha ntazianika
 
Hivi wewe jamaa upo sawa kichwani kweli??Why unaendekeza ujinga kiasi hicho??? ZeMarcopolo naona nitaanza kukuignore sasa maana sidhani kama upstair kuna something sio bure kabisa, ufisadi wote huu wa CCM still unaona CHADEMA chama cha ulaghai my bad....
 
Last edited by a moderator:
Tujifunze nini kutika kwako sasa!!!!!!
Kila uchwao unatuabisha Vijana wa Ki Tanzania UK kwa Tabia zako.
Na ukibisha ntazianika

Muweke wazi wajinga kama hawa huwa hawana mpya zaidi ya vijihela wanavyopata ndio vinawasumbua sana
 
:msela:mkuu zeMarcopolo tunashukuru kwa taarifa yako nzuri,kweli umejitahidi kuonyesha mapungufu ya CDM ambayo hatukufahamu kabla,ila kitu kimoja tu umetuacha njia panda hasa sisi tusiofungamana na chama chochote cha siasa nchini lakini niwapiga kura wazuri sana kipindi cha uchaguzi,Tatizo kwenye report yako imejaa mapungufu ya CDM na misifa kibao kwa CHAMA CHA MAJAMBAZI bila kutoa solution kwamba kifanyike wakati nchi bado inaendelea kuangamia kila siku
mkuu nafikiri umetumwa na CCM kuja kuanika maovu ya CHADEMA,Nakushauri siku nyingine unapokuja kupost kitu uwe umekamilika sio kutuacha njia panda kama vile una jazba sana

Mkuu mbona umeongea kiustaarabu sana??ungemtukana tu huyu jamaa maana siku zote anaongea ---- tu nothing else!!!
 
Ni kweli kabisa mkuu,
Pia ni jukumu letu kuwafumbua macho vijana wenzetu wasije ingia kusiko

Vijana wenzenu na nani??kuna mtu asiyekuwa mjinga??Au unatuona sisi watoto??Endeleeni hivyo hivyo
 
Kikubwa ni kuwa hakuna tofauti ya hivi vyama vyetu vya siasa. Ukivitazama sana utaona takriban viongozi wote ni wale wale wengine waliwahi kupata kuwatumikia wananchi kupitia CCM lakini kutokana na upepo wa kisiasa leo wamo nccr, cuf, chadema na vinginevyo!

Hakuna asietaka mabadiliko lakini waerevu wanachelea kuona mabadiliko kupitia hivi vyama, na ndio maana kuna kundi kubwa sana la watanzania wanaotaka sheria ya mgombea binafsi ifanye kazi.

Kuna kundi mleta mada alilielezea kiukweli aliyosema ni swadakta! Nakumbuka hata kaka yangu Mhe mtemvu alikuwa ni mmoja wa watu matata sana ndani ya upinzani Tanzania enzi zile lakini alhamdullilah sasa hivi ametulia anawatumikia wananchi wa Temeke na Tanzania kwa ujumla. Hii inaonyesha kuwa wanasiasa siku zote huangalia upande wa mkate uliopakwa siagi!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Hii sio DEMOKRASIA,watanzania tunaenda wapi??kuna wakati tunahitaji kufikiri kabla hatujapost baadhi ya vitu ambavyo kwa asilimia kubwa vinakera wengi
 
Hivi wewe jamaa upo sawa kichwani kweli??Why unaendekeza ujinga kiasi hicho??? ZeMarcopolo naona nitaanza kukuignore sasa maana sidhani kama upstair kuna something sio bure kabisa, ufisadi wote huu wa CCM still unaona CHADEMA chama cha ulaghai my bad....

Nadhani hujamwelewa mleta mada! Soma vizuri btn the lines. Jamaa anasema na akiri kuwa kuna ufisadi na mengi yanayofanywa na ccm ila cdm hawajaja na road map ya nini watafanya ili waonekane kuwa ni mwarobaini wa ufisadi na ndio maana kwa kuzia hoja yake ametolea mfano pango la makao makuu kuwa siri, tenda ya kununua magari, ajira za kujitolea na suala la viti maalumu.

Mimi huwa napenda vitu ambavyo ni #facts ! Nilishawahi kumuuliza mzee wetu mhe kitila mkumbo vigezo alivyotumia kuwachagua wawakilishi wa wanawake wa chadema bungeni, kiukweli majibu yake hayakuniingia akili kwasababu vigezo alivyotumia havikuwa wazi au naweza kusema havikuwa fair kwani kama mimi simtaki Letcia Musore ninatafuta sifa ambazo hana ili nimchinjie baharini.

Halafu utaratibu wenyewe wa kumteua consultant eti achague wabunge wa viti maalum sio kabisa! Naamini kwa kuwa cdm ni tumaini la vijana wengi Tanzania hawatarudia mtindo huu wa kiimla kabisa! Naamini watakuwa wamejifunza na kosa walilofanya.

Insemekana katiba ya chama haielekezi jinsi ya kuteua wabunge wa viti maalumu ni matumaini yangu suala la katiba litafanyiwa marekebisho jadidi ili mfumo mzima uwe na uwazi.

Mwisho napenda kusema pale mtu au chombo chochote kinapokosolewa haiamanishi kupingwa hizi ni changamoto zinazohitaji kufanyiwa kazi ili chama kiimarike.


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Halafu utaratibu wenyewe wa kumteua consultant eti achague wabunge wa viti maalum sio kabisa! Naamini kwa kuwa cdm ni tumaini la vijana wengi Tanzania hawatarudia mtindo huu wa kiimla kabisa! Naamini watakuwa wamejifunza na kosa walilofanya.

Insemekana katiba ya chama haielekezi jinsi ya kuteua wabunge wa viti maalumu ni matumaini yangu suala la katiba litafanyiwa marekebisho jadidi ili mfumo mzima uwe na uwazi.

Consultant mwenyewe ni mjumbe wa kamati kuu ya chama. Yaani ni conflict of interest ya bayana kabisaaaaaa...
 
Back
Top Bottom