Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

Mkuu ZeMarcopolo,

Nilikuwa nakuheshimu sana ingawa kiitikadi ya siasa nilikuwa najua uko upande wa pili. Leo nimegundua una hitilafu. Maana hakuna jipya katika uliloandika hapa. Tuhuma zote hizo umezitoa kule kule ambako siku zote tunazisikia, hazina ushahidi na zimetolewa majibu.

Kwa jinsi ulivyotafuta mahali ili tu, umseme vibaya Dkt Slaa, inadhihiri kuwa ama, unamtumikia ndugu Tandaleone ama unamtumikia TUNTEMEKE. Uandishi katika context na content naona unafanana.

Nyie endeleeni kupiga kelele. Kuongopa. Kutunga kashfa. Kupiga domo kaya ilhali hali ya maisha ya watanzania inakuwa mbaya kila uchao. Sisi tutaeneza tu Habari Njema. Hakika habari yake mtaipata 2015.
 
CHADEMA kupewa msaada toka ujerumani na KINANA kujipatia msaada hapa hapa Tanzania kwa kuendesha kampeni chafu za KUUA TEMBO na kuuza meno ya tembo ipi ni afadhali?
Kinana kutumia fedha za CCM kwenda China kwa ajili ya KUREKEBISHA biashara yake ya MENO YA TEMBO na kuweka kizazi cha tembo Tanzania katika hatari ya kutoweka sio suala la kujadili? Kuendelea kuhubiri udini mliopandikiza ndio manazidi kutufanya watanzania tuendelee kuunga mkono chama cha dini YETU na kuwaachia CCM ya DINI yenu maana mnatutahadharisha kuwa huko CCM kwa USTAADHI Kikwete sisi hatutakiwi ndio maana Sekretariati yote ni waislamu
Maneno yako yanadhihirisha wazi wewe ni CDM bendera mfuata upepo. Kwa siasa hizi tusitege chama m-badala wa CCM kitacho leta tumaini kwetu masikini. Nakama kipo bac sio CDM.
 
Maneno yako yanadhihirisha wazi wewe ni CDM bendera mfuata upepo. Kwa siasa hizi tusitege chama m-badala wa CCM kitacho leta tumaini kwetu masikini. Nakama kipo bac sio CDM.
Acha talalila, nieleze nini kifuate kama hakuna mbadala, je niende CCM kama Mwampamba na Shonza wakati nasubiri hicho chama??

Wadanganyeni wachovu wenzenu sisi wengine tumeishajanjaluka. Mnatudanganya hapa halafu mnaenda kuvuta buku 2 Lumumba huku mnatuacha hatuna pa kupeleka watoto wetu waliofeli. Siasa sio habari za porojo, mwisho wa siku tunataka majibu ya matatizo tuliyonayo
 
Declare your conflict of interest before you start arguing.

Kwa haraka haraka wewe ni kundi la hao hao akina mwampamba unaowataja. Inaonekana pasipo shaka kwamba we ni masalia, kuna ulichokikosa.

Hebu itazame Tanzania chini ya magamba bila CHADEMA halafu niambie tungekuwa wapi. Sitaki kuorodhesha yaliyokwisha fanyika, yanayoendelea kufanyika na yanayoendelea kupangwa kufanyika kwa nia na malengo ya kumuumiza mwananchi wa kawaida wa taifa hili. Je, wewe ni mwananchi wa kawaida na mlalahoi?

Kama ndiyo basi haya unayoandika huku ni sehemu ya ajira yako kutoka CCM. Nakuonea huruma. Kama si kelele za CHADEMA hii nchi ingekuwa wapi? Mungu aibariki Chadema, na wawabariki viongozi wote wenye nia na malengo ya kuwakomboa wananchi wa taifa hili hata kama wapo ndani ya CCM nao wapate baraka tele.

Ifikie mahali tuseme uonevu sasa basi. Na wakati wenyewe ndo huu!!! Huna nguvu ya kuzuia mabadiliko ndugu yangu, just shut up, weka ulicholipwa mfukoni tambaa, lakini ujue hata Yuda Iskariote alifurahi kupokea vipande vya fedha lakini mwisho wake aliiishia kujinyonga. Ole wake mtu yule atayewasaliti wana wa nchi!!!

Muda utaamua......
 
Baati mzuri chama hicho ( CDM ) kwetu wana pwani tumekidharau. Tunakiona sio mkombozi wetu, ajenda yao ni ileile "zidumu fikra za mwelimu" wakitaka waamini ninacho kisema waangalie mahudhurio ya mikutano yao katika mikoa yote ya pwani na kusini.
 
ZeMarcopolo,

Wote nyie wababahishaji, kama wewe siyo mbabahishaji lete hoja zenye mashiko.

Ngoja nikukumbushe: Watanzania hatuhangalii nani anasema upuuzi gani, tunataka kuaminishwa huduma bora za jamii, Elimu, Afya na upatikanaji wa maji na umeme wa uhakika. Hatuitaji barabara mnazozizungumza kila siku bila haibu,nani anasafiri?

Tunataka reli yetu irudi kwa uhakika.

Hata haibu hamuoni, barabara hazina viwango wala hazivutii. Nenda Kenya uliza barabara mpya ziko wapi, utapenda na kuvutiwa. Siyo ninyi propaganda kila kukicha.
 
Katika hali isiyotarajiwa Leo katika kijiji cha Kasharara Kata Karambi Jimbo la Muleba Kusini wananchi zaidi ya 100 wamekabidhi kadi za CCM mbele ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ndugu Mhaji pamoja na Katibu wake Wilbroad Msafiri.

Viongozi hao walikuwa wameenda kusuruhisha mgogoro wa ardhi ambao unanuka harufu ya UFISADI lakini wakakumbana na guvu ya umma na kuambulia kurudi na rundo la kadi za wanachama waliochoka kuona maisha bora kwa kila Mtanzania yakiwa yameandikwa tu nyuma ya tisheti zao huku wao wakiendelea kupigika.
 
Yamkini umetoa dukuduku lako ambalo kwa upeo wako umeona mapungufu yaliyopo ndani ya CDM! Kumbuka usemi unaosema DIVIDE and RULE! Kimsingi CCM imeweza sana kutumia slogan hii ili kupunguza nguvu ya CDM! Sera ya CCM sasa hivi ni kuhakikisha wanapanda mbegu mbaya ya UDINI, UKABILA, UKANDA ili kuhakikisha wanawapata watu wenye akili finyu kukubaliana na hizo hoja potofu! waliweza kuiua CUF simply kwa propoganda za udini na baadaye kukubali kuwapa mabaki kidogo ya keki ya Taifa kwa kuwanyamazisha kabisa. Sasa hivi kazi kubwa wanayoifanya ni propoganda zile zile ili kutafuta mwanya wa kudhoofisha nguvu ya chama!

Mtoa hoja haweza kuainisha ni kitu gani cha kujivunia kwa CCM kwa miaka 51 ya uhuru!
1. Je ni mashimo/mahandaki tuliyoachiwa na wazungu baada ya kutoa madini kwa kupewa 3% ya kinachopatikana!
2. Ni mashirika ambayo waliuza kwa bei isiyofaa (mengine kujiuzia wenyewe) eg NBC, TTCL, TBL, SIGARA na mengineyo!
3. Je ni miaka 51 ya uhuru tunasheherekea tukiwa bado gizan!
4. Je ni miaka 51 ya uhuru tunasheherekea watoto wetu wanasoma wakiwa wamekaa chini bila kuwa na vitabu?
Ninaomba mtoa hoja anijuze ni kwa lipi basi litufanye kuikubali CCM? Utasema barabara lakini kumbuka barabara zote zinazojengwa ni za mkopo ambao kwa mwenye takwimu sahihi atatujulisha ni kiasi gani kila Mdanganyika sorry Mtanzania anadaiwa na vizazi vijavyo tunazidi kurithisha madeni ambayo kundi moja limefaidika na rasilimali za nchi hiii. Tubadilike hata kama ni mjomba yupo ndani! Liwe na liwalo banaaa!:frusty:
 
....wanasema "mti wenye matunda ndio upigwao mawe"...endeleeni kurusha mawe ili matunda yaanguke mpate kula.why always chadema,chadema,chadema?
 
....wanasema "mti wenye matunda ndio upigwao mawe"...endeleeni kurusha mawe ili matunda yaanguke mpate kula.why always chadema,chadema,chadema?

Mkuu wanafanya kila mbinu kuichafua CHADEMA kwa sababu wanajua haitawaacha salama wezi wa rasilimali za nchi hii.
 
Acha talalila, nieleze nini kifuate kama hakuna mbadala, je niende CCM kama Mwampamba na Shonza wakati nasubiri hicho chama??

Wadanganyeni wachovu wenzenu sisi wengine tumeishajanjaluka. Mnatudanganya hapa halafu mnaenda kuvuta buku 2 Lumumba huku mnatuacha hatuna pa kupeleka watoto wetu waliofeli. Siasa sio habari za porojo, mwisho wa siku tunataka majibu ya matatizo tuliyonayo
Unajua kwanini nimekuita "mfuata upepo? Nibaada ya wewe mwenyewe kuji bambanua kua unakipenda CDM kwakua kinaongozwa na mkirsto mwenzio, na kukataa kukiunga mkono CUF kwamadai kuwa ni chama cha waislam ( kwa uwelewa wako wa kishabiki ) sasa inaonyesha siku ikitokea CDM ikiongozwa na Muslim utakikimbia, kwahiyo watu kama wewe munaitwa "bendera ufuata upepo" na ktk thread hii mpo katika kundi 1- (ii) au naongopa?
 
Mkuu ZeMarcopolo naona umetiririka. Sasa tuone hoja kinzani na siyo vioja. Hivi mtu unakuja na hoja kama hii badala ya watu kutoa hoja kinzani mtu anaishia kusema umelipwa kiasi gani! Mtu kama huyui kama hana utapia hoja ni nini?

Uchambuzi huu wa Marcopolo unatakiwa ujibiwe kwa hoja si vioja. Hizi ni chambuzi fikirizi.
Kimbunga, huu unauita uchambuzi? Really?
kwel akili ikiingia mchuzi, kichwa kinaweza kuliwa na panya.
 
Last edited by a moderator:
:nono::nono::nono:

Iko namna na si bure katika hoja hii.....mimi naona ni nadharia tupu hivyo kushindwa kuijadili.....uzuri ni kuwa demokrasia ni pana sana kama mtu haridhiki na mfumo au muundo wa CHADEMA halazimiki kujiunga au kuendelea kuwa nayo!
 
Marcopolo nimependa uchambuzi wako.Umewasaidia sana Chadema wanapaswa kukupongeza badala ya kutoa mipovu.Kuna mashabiki ambao ni matahira wamekariri siasa za vijembe tu utadhani waimba taarabu tena wengine ni wasomi inasikitisha sana.Ptuuuuuuuu
 
Mkuu mimi huwa napenda hoja zijibiwe kwa hoja. Nadhani hoja uliyoileta hapa umeifanyia kazi hivyo basi tunatakiwa tuitafakari na kuichangia/kuijibu kwa hoja. Ukikosa chakula bora unakuwa na utapia mlo vivyo hivyo ukikosa hoja bora unakuwa na utapia hoja.

hizo hoja zenu tutazijibu after 2015 baada ya ww na kamanda ZeMarcopolo kuwa kuwa uhamishoni Msumbiji kwenye hifadhi ya muda.
 
Last edited by a moderator:
Du hakuna m2 anayependa kuwa mpambe.ila upambe hutokana na ukosefu wa ajira.na kutopenda kujishughulisha,na kupenda vya bure ili mtoto aweze kwenda kunako choo.ila ukiwa mpambe saana utu wako unakuwa mashakani.vijana wa mombasa walipenda aluwa kutoka kwa warabu pamoja na tende.cku zikaenda wakajikuta hawapendi kazi.wakapenda kujilaza ufukweni.mara waarabu wakawapa kazi ya kutoa ndala chini ya kitanda pamoja na kusafisha ukuta msafi...ndo madhara ya upambe
 
Back
Top Bottom