ZeMarcopolo..umeiweka vizuri sana.tunaweza kua tumeichoka CCM na ufisadi na udhaufu mwingine wa kiuongozi, lakini CDM siyo mbadala wa CCM kwa kutuonyesha madudu hayo ndani ya uchanga wao kama chama cha kitaifa.
washabiki au dillusional supporters of CHADEMA, I should correctly put it that way wanaamini CDM itamaliza matatizo yote ya Tz-elimu, umaskini, afya, ufisadi, maji safi, miundombinu wengi wamezibwa akili na fikra na chuki za watawala waliopo wanashindwa kuuliza CDM na kuangalia udhaifu mkubwa huu wa CDM ikiwemo mambo ya demokrasia ya ndani na ufisadi wao, kutokua wawazi katika maamuzi yao na mengineo uliyoyaonyesha kwenye thread.
Hawa vipofu wanashindwa kujiuliza Je CDM watahitaji kukuza pato la taifa kwa asilimia ngapi na ndani ya muda gani na kwa njia zipi haswa(kwa sababu ukisema tu tukusanye zaidi kodi ndani ya uchumi mwembamba kama wetu haitotosha, ukisema uongeze kodi kwa wawekjezaji haitotosha, ukisema kuokoa tu hela kutokana namatumizi ya v8 na ukubwa wa serikali na yenyewe haitotosha kupata fungu la kufanya yote wanayoamini hawa blind followers wa CDM na hapo unaitaji kukuza uchumi na hii inachukua muda na mikakati mahsusi ambayo sijawahi isikia kwa CDM).
Je hawa CDM wenyewe ni wanasiasa wanaotumia siasa au wanaharakati wanaotumia siasa na baada yha hapo hawataitaji siasa na (mabaya yote yanayoambatana na siasa ikiwemo rushwa) kung'ang;ania madaraka na kujiongezea nguvu huku wakijenga gap kati yao na wananchi? kwanza sijasikia wakisema watawachukulia hatua gani mafisadi wakubwa walioharibu hili taifa na kuna dalili zote wana dine and wine na mafisadi hawa nyuma ya pazia. huu ni uvugu vugu na siyo mapinduzi kama ambavyo sisi wengi tunavyotaka. na historia ya vyama vya upinzani Afrika ni hii hii ya kufeli kuleta mabadiliko, wapinzani wakiingia wanakua mabwana wakubwa wapya na kazi imeisha.
CDM wangekubali kama wenyewe ni wansiasa tu wanaotaka kujaribu uongozi na kuongoza nchi kutokana na dira yao, ambayo haiko tofauti na ya CCM anyway. lakini huku kujifanya na kuwaaminisha wafuasi wao kua wenyewe ni political saints bent on delevering salvation to the long suffering tanzanias ni uongo nisioweza kuuamini mtu kama mimi mwenye akili kidogo za kufikiria.
washabiki au dillusional supporters of CHADEMA, I should correctly put it that way wanaamini CDM itamaliza matatizo yote ya Tz-elimu, umaskini, afya, ufisadi, maji safi, miundombinu wengi wamezibwa akili na fikra na chuki za watawala waliopo wanashindwa kuuliza CDM na kuangalia udhaifu mkubwa huu wa CDM ikiwemo mambo ya demokrasia ya ndani na ufisadi wao, kutokua wawazi katika maamuzi yao na mengineo uliyoyaonyesha kwenye thread.
Hawa vipofu wanashindwa kujiuliza Je CDM watahitaji kukuza pato la taifa kwa asilimia ngapi na ndani ya muda gani na kwa njia zipi haswa(kwa sababu ukisema tu tukusanye zaidi kodi ndani ya uchumi mwembamba kama wetu haitotosha, ukisema uongeze kodi kwa wawekjezaji haitotosha, ukisema kuokoa tu hela kutokana namatumizi ya v8 na ukubwa wa serikali na yenyewe haitotosha kupata fungu la kufanya yote wanayoamini hawa blind followers wa CDM na hapo unaitaji kukuza uchumi na hii inachukua muda na mikakati mahsusi ambayo sijawahi isikia kwa CDM).
Je hawa CDM wenyewe ni wanasiasa wanaotumia siasa au wanaharakati wanaotumia siasa na baada yha hapo hawataitaji siasa na (mabaya yote yanayoambatana na siasa ikiwemo rushwa) kung'ang;ania madaraka na kujiongezea nguvu huku wakijenga gap kati yao na wananchi? kwanza sijasikia wakisema watawachukulia hatua gani mafisadi wakubwa walioharibu hili taifa na kuna dalili zote wana dine and wine na mafisadi hawa nyuma ya pazia. huu ni uvugu vugu na siyo mapinduzi kama ambavyo sisi wengi tunavyotaka. na historia ya vyama vya upinzani Afrika ni hii hii ya kufeli kuleta mabadiliko, wapinzani wakiingia wanakua mabwana wakubwa wapya na kazi imeisha.
CDM wangekubali kama wenyewe ni wansiasa tu wanaotaka kujaribu uongozi na kuongoza nchi kutokana na dira yao, ambayo haiko tofauti na ya CCM anyway. lakini huku kujifanya na kuwaaminisha wafuasi wao kua wenyewe ni political saints bent on delevering salvation to the long suffering tanzanias ni uongo nisioweza kuuamini mtu kama mimi mwenye akili kidogo za kufikiria.