Yule ni dogo ni bonge la kikaza flani..
kikaza ndo nini?unamcheka nini wakati we mwenyewe kiazi tu
kikaza ndo nini?unamcheka nini wakati we mwenyewe kiazi tu
Kumbe na wewe ulisikia minilicheka kinoma ii inanikumbusha siku moja shilole akihojiwa kwenye xxl akashema yeye ni celebration badala ya celebrity kweli kazi hipo.
Kati ya wasanii wa movie wanaojua kingeleza Wema namkubali sana kwa ngeli yupo bomba sana katika lugha hiyo
Yule ni dogo ni bonge la kikaza flani..
hahahahahaha, ya shilole ndo imenimaliza kabisa, kwamba yeye ni 'celebration' bola huyu wa 'contact' huenda alimaanisha mawasiliano na twanga hana, japo na mimi nilimsikiliza alikuwa akimaanisha contract..khe jamani kizungu sio chetu...
Yule ni dogo ni bonge la kikaza flani..
Kati ya wasanii wa movie wanaojua kingeleza Wema namkubali sana kwa ngeli yupo bomba sana katika lugha hiyo
nyie si wa kumcheka chalz baba
Kiingereza
Muingereza
Waingereza
nyie si wa kumcheka chalz baba