Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

GPA ya 3.8 UDSM 1986 Chemical and Process engineering!

Nimemkumbuka Mwalimu Wangu Kamuzola

Kwenye mtihani Wa MWISHO wa Open book alinikuta na kitabu ambacho katoa mtihani humo humo ilimuuma sana ikabidi aniambie kwa kihaya wengine wasielewe kwamba

IWE KIJANA MPA AKATABO AKO , maana alinijua sana, hapo alina Rweikiza mbunge Wakisoma sheria tunawaita NGUIN
Nadhani hapo akina Pascal Mayalla walikuwa wako Kanda ya Ziwa huko Baba yao akiwa kitengo 😎

Britanicca
Hicho alichokwambia maana yake ni nini
 
GPA ya 3.8 UDSM 1986 Chemical and Process engineering!

Nimemkumbuka Mwalimu Wangu Kamuzola

Kwenye mtihani Wa MWISHO wa Open book alinikuta na kitabu ambacho katoa mtihani humo humo ilimuuma sana ikabidi aniambie kwa kihaya wengine wasielewe kwamba

IWE KIJANA MPA AKATABO AKO , maana alinijua sana, hapo alina Rweikiza mbunge Wakisoma sheria tunawaita NGUIN
Nadhani hapo akina Pascal Mayalla walikuwa wako Kanda ya Ziwa huko Baba yao akiwa kitengo 😎

Britanicca
Hilo ndo tatizo kubwa la ukabila, wahaya mnapeana majibu humo chuoni?
Umepindisha ukweli tuu huyo lecturer alikupa hint kwenye open book exam lazima.
 
GPA ya 3.8 UDSM 1986 Chemical and Process engineering!

Nimemkumbuka Mwalimu Wangu Kamuzola

Kwenye mtihani Wa MWISHO wa Open book alinikuta na kitabu ambacho katoa mtihani humo humo ilimuuma sana ikabidi aniambie kwa kihaya wengine wasielewe kwamba

IWE KIJANA MPA AKATABO AKO , maana alinijua sana, hapo alina Rweikiza mbunge Wakisoma sheria tunawaita NGUIN
Nadhani hapo akina Pascal Mayalla walikuwa wako Kanda ya Ziwa huko Baba yao akiwa kitengo 😎

Britanicca
Big Up Mkuu
 
Kupata gpa ya 4 chuo huo ni wendawazimu...watu mlikua mnapenda ligi za kushindana mpaka chuoni?

Mimi nilikula zangu3.6 tena kwa mbinde sana
 
GPA ni takataka kama haikusaidii

wapo waliopata Gpa za 2.5 wanakula maisha kwenye vitengo wakati wale wenye 4.0+ wapo kitaa hawana ramani au wapo kampuni za mishahara kiduchu kazi mlima.
GPA kweli sio issue sana unaweza kuwa na GPA ya 3 na ukala kitengo kizuri tu serikalini bado wenye na GPA za 4 au 5 wakabaki kitaa wanasota maana mfumo wa sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma wanachoangalia ni ufaulu interview tu hawajali GPA ya ngapi we faulu interview tu wanakupa kitengo,japo nashauri vijana wapate GPA nzuri maana kuna taasisi nyingine hauwezi pata kazi kwa utaratibu maalumu bila kuwa na GPA kubwa kwa mfano BOT ,na kazi za lecturerers
 
Back
Top Bottom