Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 8,128
- 23,769
Mlimani ndio chuo gani?Mlimani
Mlimani ndio chuo gani?Mlimani
Hongera sana mkuu4.1 gpa bachelor of Architecture Ardhi University
Za kutoshaSupp ngapi 🤣
huoni aibu?Gpa yangu 5.0
Chuo-Muslim international university (MUM)-Morogoro
Aibu ya nyokwe.huoni aibu?
Wenye elimu au wenye vyeti ?🤔Ulipata GPA ya ngapi university?
Me.4.0
Wewe je?
NB: Special kwa wenye elimu
Na course uliyosomaUlipata GPA ya ngapi university?
Me.4.0
Wewe je?
NB: Special kwa wenye elimu
CODE NZURI , CODE YA KIBABEMmoja alipata 2.4 woi
Mmoja 4.0 kaamua kuwa mfanya biashara
Mmoja 4.5 yuko huko mbele
Mie sina ila nimetengeneza hizo.
3.8 SUA with a clean sheet means no supplementaryUlipata GPA ya ngapi university?
Me.4.0
Wewe je?
NB: Special kwa wenye elimu
GPA ya juu sio takataka maana kama ingekuwa takataka bhasi watu wasingeweka efforts kuipata.GPA ni takataka kama haikusaidii
wapo waliopata Gpa za 2.5 wanakula maisha kwenye vitengo wakati wale wenye 4.0+ wapo kitaa hawana ramani au wapo kampuni za mishahara kiduchu kazi mlima.
Vyeo vya KijeshiGPA ni nini wakuu? Napenda pia kuchangia hii mada
Sasa hapa polisi jamii ndio inakua G.P.A gani mkuu?Vyeo vya Kijeshi
Gpa ya 0.2Sasa hapa polisi jamii ndio inakua G.P.A gani mkuu?
Ndio maana tunadharaulika sanaa. Inabidi lifutwe tuuGpa ya 0.2