Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

Kuna course wewe ukiingizwa hutoboi hata week unaomba reform wakati wenzio wanaona kawaida wenzio wanapiga 10/10 kila pepa wewe ukijitahidi sana una 0.5/10, acha dharau
Narudia tena Chuoni hamna kozi ngumu kama ulichagua mwenyewe kwa mapenzi yako, labda kama ulichaguliwa na mtu au ulichagua kwa mihemko.āœļø
 
Watu wanaopaniki na huu uzi Kwani what’s the big deal? Mtoa mada kauliza tu GPA zile mlipata bachelors degree. Sasa mnaosema ohh itakusaidia nini ohh elimu ya mkoloni ohh kuna hawakusoma na wana maisha.. hayo yote ya nini? Take it lightly people and enjoy others responses.
Anyway mi nilipata 3.8 Mzumbe moro
 
Watu wanaopaniki na huu uzi Kwani what’s the big deal? Mtoa mada kauliza tu GPA zile mlipata bachelors degree. Sasa mnaosema ohh itakusaidia nini ohh elimu ya mkoloni ohh kuna hawakusoma na wana maisha.. hayo yote ya nini? Take it lightly people and enjoy others responses.
Anyway mi nilipata 3.8 Mzumbe moro
Waswahili tuna shida ya inferiority complex. Hatuna kabisa utamaduni wa ku appreciate mafanikio ya watu, yawe makubwa au madogo.

Tunachokifanya ni kutafuta kasoro na kuyaponda mafanikio ili yaonekane si lolote si chochote, yaani success na failure hazina tofauti! Baada ya hapo tunakunja kishoka na kujiona tupo sawa na hao waliofanikiwa katika jambo husika.

Zungumzia hata mafanikio ya pesa utaambiwa ooh dunia tunapita tu, ukifa hutozikwa nazo, mara wote matajiri na masikini tunapumua pumzi ya aina moja. Wakimaliza kuzitusi pesa wanaenda kubeti wapate million 200 waepukane na kadhia za umasikini!
 
Waswahili tuna shida ya inferiority complex. Hatuna kabisa utamaduni wa ku appreciate mafanikio ya watu, yawe makubwa au madogo.

Tunachokifanya ni kutafuta kasoro na kuyaponda mafanikio ili yaonekane si lolote si chochote, yaani success na failure hazina tofauti! Baada ya hapo tunakunja kishoka na kujiona tupo sawa na hao waliofanikiwa katika jambo husika.

Zungumzia hata mafanikio ya pesa utaambiwa ooh dunia tunapita tu, ukifa hutozikwa nazo, mara wote matajiri na masikini tunapumua pumzi ya aina moja. Wakimaliza kuzitusi pesa wanaenda kubeti wapate million 200 waepukane na kadhia za umasikini!

Ha ha sio poa mkuu, watu tuliokuwa tunafanya vizuri shuleni tunaandamwa sio poa! Raha yao waone tumepigika!
 
Ha ha sio poa mkuu, watu tuliokuwa tunafanya vizuri shuleni tunaandamwa sio poa! Raha yao waone tumepigika!
Hatari sana!

Kipindi cha shule watakuonea wivu na baadhi yao kufikia hatua ya kukuwinda kishirikina au kwa simu wakuue au wakutie kichaa.

Ukinusurika huko baada ya shule wanakuandama wakichekelea maisha yanapokupiga.

Ukitusua maisha tena wanakuwinda wakufanyizie.

WanadamušŸ™Œ
 
Watu wanaopaniki na huu uzi Kwani what’s the big deal? Mtoa mada kauliza tu GPA zile mlipata bachelors degree. Sasa mnaosema ohh itakusaidia nini ohh elimu ya mkoloni ohh kuna hawakusoma na wana maisha.. hayo yote ya nini? Take it lightly people and enjoy others responses.
Anyway mi nilipata 3.8 Mzumbe moro
Inferiority complex
 
Back
Top Bottom