Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

Challenge: Ulipata GPA ya ngapi Chuo Kikuu?

Kweli wewe Kimeo alafu unakuja kujinadi ilhali ni kilaza mrembo.

Unaongea kwa kubonga eti nimemaliza Mlimani, wakati kwenye orodha ya TCU hiko chuo cha Mlimani wala hakipo.
Kama hauna D mbili huwezi kuelewa mlimani ni chuo gani hapa bongo
 
Sina haja ya kutaja chuo
Ila 3.5 ilitosha na huku nikikomaa na mitikasi yangu, chuoni sionekani
 
GPA ya 3.8 UDSM 1986 Chemical and Process engineering!

Nimemkumbuka Mwalimu Wangu Kamuzola

Kwenye mtihani Wa MWISHO wa Open book alinikuta na kitabu ambacho katoa mtihani humo humo ilimuuma sana ikabidi aniambie kwa kihaya wengine wasielewe kwamba

IWE KIJANA MPA AKATABO AKO , maana alinijua sana, hapo alina Rweikiza mbunge Wakisoma sheria tunawaita NGUIN
Nadhani hapo akina Pascal Mayalla walikuwa wako Kanda ya Ziwa huko Baba yao akiwa kitengo 😎

Britanicca
 
GPA ni ukubwa wa cramming uliyokuwa nayo chuo,...sisi tunataka results mtaani ya hio GPA yako
Ulipata GPA ya ngapi university?

Me.4.0

Wewe je?

NB: Special kwa wenye elimu
uliyokua
 
GPA ya 3.8 UDSM 1986 Chemical and Process engineering!

Nimemkumbuka Mwalimu Wangu Kamuzola

Kwenye mtihani Wa MWISHO wa Open book alinikuta na kitabu ambacho katoa mtihani humo humo ilimuuma sana ikabidi aniambie kwa kihaya wengine wasielewe kwamba

IWE KIJANA MPA AKATABO AKO , maana alinijua sana, hapo alina Rweikiza mbunge Wakisoma sheria tunawaita NGUIN
Nadhani hapo akina Pascal Mayalla walikuwa wako Kanda ya Ziwa huko Baba yao akiwa kitengo 😎

Britanicca
Hongera sana mkuu kuna vyuo na baadhi ya Course ukipata GPA kuanzia 3.4 kuelekea juu wewe ni Kichwa kweli kweli
 
Back
Top Bottom