- Thread starter
- #221
Mvulana wa mkoani bwanaMwanaume wa dar
Mvulana wa mkoani bwanaMwanaume wa dar
Mna chujiwa muwa hamuwezi kutafunaMvulana wa mkoani bwana
Tupe angalau kiwango cha makusanyo ya mapato ya halmashauri za miji uliyotaja maana itatuonyesha uhai wa mzunguko wa pesa na pengine idadi ya watuPicha za nini wakati jambo lipo wazi kabisa.
Mvulana wa mkoani migongo imeshachoka kwa kazi ngumu na shida ,adi wanashindwa kufanya kazi vizuri.Mna chujiwa muwa hamuwezi kutafuna
Mhindi nao hamuwezi kula hadi kachumbari
Wanaume w dar buana
Unatokea mkoani gani?Tupe angalau kiwango cha makusanyo ya mapato ya halmashauri za miji uliyotaja maana itatuonyesha uhai wa mzunguko wa pesa na pengine idadi ya watu
Absolutely notSo you get informations
Acha kudiscuss watu, discuss issues on the table. Wewe unaongea vitu ambavyo huwezi kuvisupport na data zozote.Unatokea mkoani gani?
Umesahau bukoba mkuu hakuna upuuzi wa ccm kuleMikoa tajwa ukiondoa Kigoma na Mara, mingine yote wakazi wake ndo walioichagua ccm kwa mbwembwe!!!!
Takwimu zinapatikana ofisi ya takwimu ya serikaliAcha kudiscuss watu, discuss issues on the table. Wewe unaongea vitu ambavyo huwezi kuvisupport na data zozote.
its okeyAbsolutely not
Acha uvivu mkuu. Ukileta hoja ni vizuri ukajipanga.Takwimu zinapatikana ofisi ya takwimu ya serikali
Nimejipanga vilivyoAcha uvivu mkuu. Ukileta hoja ni vizuri ukajipanga.
Mwaga hizo takwimu tuzitathmini. Unaposema mji mmoja una maendeleo kuliko mwingine unalinganisha nini? km za Mitaa yenye lami? idadi ya shule au Hotels za kiwango fulani? viwanja vya ndege? etcNimejipanga vilivyo
Ndio ni hicho tu wanachozidi ChalinzeAta mananasi uchochea mzunguko wa fedha na maendeleo
Nadhani unafanya utani!! Yaani chalinze iizidi musoma!! Chalinze kuna tasisi zipi zinazoleta huo mzunguko wa fedha hadi kuzidi shinyangaKwa mzuguko wa fedha,majengo,maendeleo mji wa chalinze unazidi makao makuu ya mikoa ifuatayo
1.Shinyanga
2.Kigoma
3.Lindi
4Mtwara
5.Singida
6.Kagera(Bukoba)
7.Mara(Musoma)
8.Simiyu(Bariadi)
Kazi kwenu wavulana wa mikoani
Kuna shughuli mbambali hasa za kibiasharaNadhani unafanya utani!! Yaani chalinze iizidi musoma!! Chalinze kuna tasisi zipi zinazoleta huo mzunguko wa fedha hadi kuzidi shinyanga
Musoma,Shinyanga ni miji iliyodumaa kiuchumi/kibiasharaNadhani unafanya utani!! Yaani chalinze iizidi musoma!! Chalinze kuna tasisi zipi zinazoleta huo mzunguko wa fedha hadi kuzidi shinyanga
Please ifute bukoba kwenye list nimekupa picha za baadhi ya maeneoMusoma,Shinyanga ni miji iliyodumaa kiuchumi/kibiashara
Ata harare ulikuwa ukiiona kwenye picha maghorofa tupu,uchumi=0Please ifute bukoba kwenye list nimekupa picha za baadhi ya maeneo
Sehemu gani isiyo na mzunguko wa hela mpaka safari za ndege zinaongezwa? Ona hii habari uone kwamba hii bukoba sio ya mchezoAta harare ulikuwa ukiiona kwenye picha maghorofa tupu,uchumi=0