Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Chalinze inazidi mikoa ifuatayo

Hahaha! Chalinze hapohapo au kunachalinze nyingine?
Usipachukulie poa Chalinze,fedha inayoingia kwa siku moja ni nyingi mno inazidi hiyo mikoa kwa mbali sana
 
Baadhi ya mitaa ya bukoba
Wengine tuliponzwa na maneno ya watu,ya kwamba bukoba ni noma kwa biashara,niliyoyakuta ni tofauti na uhalisia
Screenshot_20181128-122957.jpeg
Screenshot_20181128-122830.jpeg
Screenshot_20181128-122712.jpeg
Screenshot_20181128-122728.jpeg
Screenshot_20181128-122704.jpeg
Screenshot_20181128-122632.jpeg
Screenshot_20181128-122639.jpeg
Screenshot_20181128-122537.jpeg
Screenshot_20181128-122418.jpeg
Screenshot_20181128-122428.jpeg
tapatalk_1543333622472.jpeg
 
Ungezichukua kwanza alafu unge onyesha walau kwa uchache ingekupa Credibility ya unachokisema lakini maneno matupu yenye Sura ya ushabiki ni ngumu kuaminika
Nilidhani umenielewa ,kuhusu sheria ya takwimu apa Tanzania
 
Toa mtwara weka njombe na ruvuma nitakuelewa
Mkuu umeshawahi kufika Njombe au unaisikia tu? kwa taarifa yako kwa sasa Wilaya ya Njombe ina halmashauri tatu za Makambako Mji, Njombe Mji na Wilaya Njombe (vijijini).

Mzunguko wa fedha ni mkubwa kwa sababu ya biashara za mbao, viazi na mahindi
 
Napafahamu vizuri Sana Ndio maana sikubabaika kuitia kwenye list
Mkuu umeshawahi kufika Njombe au unaisikia tu? kwa taarifa yako kwa sasa Wilaya ya Njombe ina halmashauri tatu za Makambako Mji, Njombe Mji na Wilaya Njombe (vijijini).

Mzunguko wa fedha ni mkubwa kwa sababu ya biashara za mbao, viazi na mahindi
 
Back
Top Bottom