- Thread starter
- #201
Usipachukulie poa Chalinze,fedha inayoingia kwa siku moja ni nyingi mno inazidi hiyo mikoa kwa mbali sanaHahaha! Chalinze hapohapo au kunachalinze nyingine?
Usipachukulie poa Chalinze,fedha inayoingia kwa siku moja ni nyingi mno inazidi hiyo mikoa kwa mbali sanaHahaha! Chalinze hapohapo au kunachalinze nyingine?
Takwimu zipo serikalini ofisi ya takwimuTupe Statistical data kivipi chalinze iko juu
Wengine tuliponzwa na maneno ya watu,ya kwamba bukoba ni noma kwa biashara,niliyoyakuta ni tofauti na uhalisia
Ungezichukua kwanza alafu unge onyesha walau kwa uchache ingekupa Credibility ya unachokisema lakini maneno matupu yenye Sura ya ushabiki ni ngumu kuaminikaTakwimu zipo serikalini ofisi ya takwimu
Nilidhani umenielewa ,kuhusu sheria ya takwimu apa TanzaniaUngezichukua kwanza alafu unge onyesha walau kwa uchache ingekupa Credibility ya unachokisema lakini maneno matupu yenye Sura ya ushabiki ni ngumu kuaminika
Mkuu umeshawahi kufika Njombe au unaisikia tu? kwa taarifa yako kwa sasa Wilaya ya Njombe ina halmashauri tatu za Makambako Mji, Njombe Mji na Wilaya Njombe (vijijini).Toa mtwara weka njombe na ruvuma nitakuelewa
Picha za nini wakati jambo lipo wazi kabisa.weka takwimu na picha picha kuthibitisha madai yako
Kwamba haziruhusiwi kutolewa au?Nilidhani umenielewa ,kuhusu sheria ya takwimu apa Tanzania
Mkuu umeshawahi kufika Njombe au unaisikia tu? kwa taarifa yako kwa sasa Wilaya ya Njombe ina halmashauri tatu za Makambako Mji, Njombe Mji na Wilaya Njombe (vijijini).
Mzunguko wa fedha ni mkubwa kwa sababu ya biashara za mbao, viazi na mahindi
Mtwara muombe gesi iendee vizuri tofauti na hapo hakuna kituToa mtwara weka njombe na ruvuma nitakuelewa
Kwa maoni yangu hata Makambako inaizidi Chalinze kwa mbali sanaNapafahamu vizuri Sana Ndio maana sikubabaika kuitia kwenye list
ZinatolewaKwamba haziruhusiwi kutolewa au?
Kwa maoni yangu hata Makambako inaizidi Chalinze kwa mbali sana
Xo wat?Zinatolewa
Uzuri sijashindanisha Chalinze na makambako,apa ni Chalinze vs makao makuu ya mikoaKwa maoni yangu hata Makambako inaizidi Chalinze kwa mbali sana
Mtwara muombe gesi iendee vizuri tofauti na hapo hakuna kitu
So you get informationsXo wat?